Leo naolewa

Kama uko kwenye akiri zangu vile ana ujasiri Wa hali ya juu sana , hata muda Wa kuingia humu sijui kaupataje,ila hongera zake
Dah unaujasiri we dada fikiria wanawake wangapi wanaujasiri wa kutamka kuwa wanaolewa
 
Kwanini umeamua kuolewa?
 

Kuna wenzako walikua wanasema jana kwamba hawatafua...hawata mpikia mume chakula...hawatadeki nyumba maana wataajiri housegirl !!

Vipi na wewe una mawazo kama yao????
 
Hongera sana,nami ntafuatia siku si nyingi kuingia kwenye ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…