Leo naomba kujuzwa kuhusu senene wa bukoba

Leo naomba kujuzwa kuhusu senene wa bukoba

Piga Ngoma Ya Saida Kalori
Nawaleta Sasa Wahaya Wa Katelero, Bunazi, Nshamba, Minzilo, Rwamisheni
 
Ukitaka madini ya protini na chuma, kula panzi aina ya 'senene'
 
Senene wanapatikana bukoba bunazi na sehemu nyingine kulingana na hali ya hewa tu wako kama panzi mara nyingi wanakuwepo msimu wa masika mwezi wa 3/4 na wa 11/12 pia wanaharibika kulingana na ulivyo waandaa na utunzaji wako..

Senene wa kukuangwa anakaa hata miezi 3 lakini hakikisha yale mafuta wamekauka na kifaa kulikuwa hakina unyevunyevu lakini pia senene wakubanikwa hukaa sana kuliko hata kukaangwa usafi pia inasaidia senene kudumu
 
Back
Top Bottom