Senene wanapatikana bukoba bunazi na sehemu nyingine kulingana na hali ya hewa tu wako kama panzi mara nyingi wanakuwepo msimu wa masika mwezi wa 3/4 na wa 11/12 pia wanaharibika kulingana na ulivyo waandaa na utunzaji wako..
Senene wa kukuangwa anakaa hata miezi 3 lakini hakikisha yale mafuta wamekauka na kifaa kulikuwa hakina unyevunyevu lakini pia senene wakubanikwa hukaa sana kuliko hata kukaangwa usafi pia inasaidia senene kudumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.