Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 1,226
- 1,757
Funza mbona hunijibu nauliza hivi "Nawezaje kuita media nitoe ya moyoni hali ya kuwa mimi choka mbaya"?Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi na pia ningependa niweke wazi kuwa sitataja jina langu wala sehemu ninayofanyia kazi
1.Kabila gani?
2.Unaishi wapi kwa Sasa? 3.Ukifa ungependa ukazikiwe wapi?
4.Umeoa au Umeolewa?
5.Unawatoto wangapi?
6. Wanasoma wapi ?
7.Upo chama gani ?
8.Kiongozi gani unamuona anafanyakazi vizuri hata nje ya chama chako hapa Tanzania?
Nilijibu post namba #81 ila naruduia tenaFunza mbona hunijibu nauliza hivi "Nawezaje kuita media nitoe ya moyoni hali ya kuwa mimi choka mbaya"?
Haya bhanaAisee!!!
Huyu jamaa anapenda lile jukwaa la wakubwa uku ni nadra sana kumkuta!Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi na pia ningependa niweke wazi kuwa sitataja jina langu wala sehemu ninayofanyia kazi
Mkuu vipi upo jukwaa Hilo?Huyu jamaa anapenda lile jukwaa la wakubwa uku ni nadra sana kumkuta!
Sawa my I love you crazy my wangu[emoji3][emoji3]My wangu huyo ni babu tuu hata asikupe moyo kuuma.
[emoji23][emoji23][emoji7][emoji7]haya my wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Sawa my I love you crazy my wangu[emoji3][emoji3]
Mkuu you are taking all the goodies...Sawa my I love you crazy my wangu[emoji3][emoji3]
Asante funzadume Kwa kunitoa matongotongoNilijibu post namba #81 ila naruduia tena
Inategemea na nini unachotaka kukiongea kama ni habari utasikilizwa. Wanahabari kazi yao ni kuuza habari kwa hiyo kama habari yako inauza watakusikiliza
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji7][emoji7]haya my wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mkuu you are taking all the goodies...
Nikiwa mkubwa nataka niwe Mwifwa hahaaaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera mkuu, mambo yako si haba kama unavyojipambanua, kumudu ada ya Feza Boys kwa watoto wawili si jambo la mchezo1.Kabila gani? Mnyamwezi
2.Unaishi wapi kwa Sasa? Dar / Moro (kibiashara) na Dodoma ila now niko Dar
3.Ukifa ungependa ukazikiwe wapi? Sijajua nadhani watakaobaki ndio watahamua
4.Umeoa au Umeolewa? Nimeoa
5.Unawatoto wangapi? Watatu
6. Wanasoma wapi ? Wawili Feza Boys Sec mmoja St. Mary (Primary)
7.Upo chama gani ? Sijuhusishi na siasa kabisa
8.Kiongozi gani unamuona anafanyakazi vizuri hata nje ya chama chako hapa Tanzania? Kiongozi anayefanya kazi vizuri ni Mh. William Lukuvi nina mfano mmoja niliwahi kutafuta hati ya eneo kwa miaka kumi mpk nikakata tamaa lakini alipoingia kwenye hiyo wizara nilipigiwa simu nikaifuate. Pia anafanya kazi yule mzee Mungu ambariki. Hati ya kiwanja ilikuwa mtihani sana hapa nchini
[emoji44][emoji41][emoji23][emoji23][emoji7][emoji7]haya my wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hongera mkuu, mambo yako si haba kama unavyojipambanua, kumudu ada ya Feza Boys kwa watoto wawili si jambo la mchezo