1.Kabila gani? Mnyamwezi
2.Unaishi wapi kwa Sasa? Dar / Moro (kibiashara) na Dodoma ila now niko Dar
3.Ukifa ungependa ukazikiwe wapi? Sijajua nadhani watakaobaki ndio watahamua
4.Umeoa au Umeolewa? Nimeoa
5.Unawatoto wangapi? Watatu
6. Wanasoma wapi ? Wawili Feza Boys Sec mmoja St. Mary (Primary)
7.Upo chama gani ? Sijuhusishi na siasa kabisa
8.Kiongozi gani unamuona anafanyakazi vizuri hata nje ya chama chako hapa Tanzania? Kiongozi anayefanya kazi vizuri ni Mh. William Lukuvi nina mfano mmoja niliwahi kutafuta hati ya eneo kwa miaka kumi mpk nikakata tamaa lakini alipoingia kwenye hiyo wizara nilipigiwa simu nikaifuate. Pia anafanya kazi yule mzee Mungu ambariki. Hati ya kiwanja ilikuwa mtihani sana hapa nchini