dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Nawaona nawAona [emoji102]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisema humu JF kuna uvumi kwamba jirani yako mnaeangaliana milango anamchukua mkeo. Tabia hii waliianza wakati uko Ukonga. Habari hizi zinaukweli?Swali gani? Nahisi sijaliona kwa bahati mbaya
MahabaJamani mpenzi nimeutesa na nini?[emoji23]
Shida ni mahaba tu bebi?Mahaba
Ewaaaaa.... sasa umeanza kuwa mtoto mzuriShida ni mahaba tu bebi?
Naja piem kukupea
Mazao gani?Huwezi amini ndugu yangu nina shamba Morogoro kuna mazao nilipanda ada yote inatoka huko na ziada juu. Kuna siri kubwa sana kwenye kilimo watu tu hawajui
Asanteee mkuu, nawezaje kumpata moderator? Mi natumia app na pia natumia simu siyo PCNi kweli mie ni member konkii sana kule masharti ya kuingia omba kwa moderator atakuunganisha mie nimejiunga zamani hata sikumbuki masharti yake
Khaa hufananii na huo umri vituko ulivyonavyo humu jf
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah! Hili jukwaa lipo wapi me nataka Niungwe[emoji2]
Yaan we babu jamaniLamba lolo....
Daaahhh, wakubwa mtaendelea kula mema ya nchi.
Kilimo nakielewa sana mkuu, big up sanaHuwezi amini ndugu yangu nina shamba Morogoro kuna mazao nilipanda ada yote inatoka huko na ziada juu. Kuna siri kubwa sana kwenye kilimo watu tu hawajui
Nakuambia darasa letu kuna watu walianza na kumi na tano unaniambia sijui kwamba zamani walikuwa wanasoma wakiwa wakubwa?Ndio maana hujajua zamani walikuwa wanasoma wakiwa na umri mkubwa.
Kijijini ilikuwa ukimaliza shule ya msingi, unaenda kuoa moja kwa moja
Nimekuelewa zaidiMmoja tu na tuko mbioni kumwagana nataka kuishi bila mchepuko ingawa michepuko inasaidia somehow kuweka ndoa zetu ziwe sawa (wakubwa watanielewa hapa)
Kizuri kula na mwenzio mh mjumbe...Nimekuelewa zaidi
kumbe hujanywa CHAI sasa..wewe umeulizwa umekunywa CHAI?? ungejibu HAPANA tu mkuuu SUPU CHAPATI sio chai.Nimegonga supu chapati