Labla angekua na kibamia, tango hapana kwa kweli
Ongeza nyama mkuu huwezi niandikia herufi nneHaya...
Nyama kama zipi binamu.....?Ongeza nyama mkuu huwezi niandikia herufi nne
Kama hizi ulivyo andika sasaNyama kama zipi binamu.....?
Sawa....Kama hizi ulivyo andika sasa
Umesahau hili kaka!Nipe changamoto za huo ufugaji hasa sato
Na kingine nataka kujua hivi sangara hazifugiki!!?
Germany
Kwahiyo ndie aliekupotezea uvulana wakoToka niko form six
Hakuna mwanaume asiyechepuka ninaongea ukweli toka moyoni mwangu. Muhimu tumia kinga kwa ajili ya kujilinda wewe,mke, familia na taifa kwa ujumla. Tuache unafiki tuongee ukweli
Hata jirani awe mbali lkn milango inatizamana. Unaweza ukapuuza huu ujumbe lkn ungeufanyia kazi ungeepusha mengi kama vile wife kuchukua hela ndani na kumpa mtu anywee pombe na kulipia gestiNaishi kwenye nyumba ina ukuta eneo lote na pia ni pakubwa sana majirani wako mbali sana
Poa mkuu nimefatilia uzi wako wote, hongera sana.Habari za siku wakuu?
Naomba unipe mbinu za ufugaji wa samaki, asante.Asante una cha kuuliza?