Pax Vobiscum
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 450
- 757
Haaaaaaa mkuu mbona unahofu Sana, mi nipo zangu nafanya Mambo yangu Sina muda na Mambo ya watu.....Endelea na majukumu yako.....!!!!!!Umedandia treni kwa mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaaa mkuu mbona unahofu Sana, mi nipo zangu nafanya Mambo yangu Sina muda na Mambo ya watu.....Endelea na majukumu yako.....!!!!!!Umedandia treni kwa mbele
Haaaaa mkuu kumbe upo hiyo mitaa, ngoja nikusome kwenye GPS hapo kwa chambo mi nipo magorofani hapa
Duh natamani nije kweli ha ha ha kweli michepuko haiepukiki lol
Mkuu mbona hii 'fleet' haikisi kipato ulichokisema hapo juu....au hukusema vioato vyote....Gari za kutembelea nazo 3, Prado ya 2008, Harrier New model ya 2005 na Vitz ya 2000 (my favorite). Kwenye biashara nina magari pia na matreka na mashine ya kuvunia mpunga.
Gari za kutembelea zote sio dream car zangu. Niliachana na magari baada ya kugundua kuwa hayana mchango mkubwa sana kwenye uwekezaji niliwekeza sana kwenye makazi yangu ya Dar ndio sehemu inayonipa furaha. Napenda sana kuishi nyumba nzuri na hiyo ni nadhiri nilijiwekea toka mdogo
Nimeelezea kuwa nina miradi inayoniingizia kuliko mshahara.Mkuu mbona hii 'fleet' haikisi kipato ulichokisema hapo juu....au hukusema vioato vyote....
Je unawezaje kumanage biashara/miradi ilihali umeajiriwa?
Unamshauri nini kijana muajiriwa lakini mwenye 'access' ya mtaji wa kutosha....siri ni nini?
Kwa kijana mwenye mtaji namshauri afanye kitu kingine kitachomuingizia kipato. Huwezi kuwa tajiri kama una chanzo kimajo tu cha mapato. Fanya shughuli yoyote inayokuingizia kipato hata ndogo tu. Ifanye shilingi kumi iwe zaidi ya shilingi kumi ukiiweka bila kuifanyia kazi haizaiMkuu mbona hii 'fleet' haikisi kipato ulichokisema hapo juu....au hukusema vioato vyote....
Je unawezaje kumanage biashara/miradi ilihali umeajiriwa?
Unamshauri nini kijana muajiriwa lakini mwenye 'access' ya mtaji wa kutosha....siri ni nini?
Mkuu acha jumbe za kutengeneza maudhi. try to be fairUlishaliwa 0713.... Prove me wrong
Mkuu una chambo ya kila aina, unashindwaje kumnasa.....Duh natamani nije kweli ha ha ha kweli michepuko haiepukiki lol
Amina, ubarikiwe sana na wewe kwa kuwa open minded.Nauopokea ushauri wako na nitaufanyia kazi. Ubarikiwe
Siyo 'aliyotokea' hilo ni tusi na hajaliona. Sehemu inayofanana na sehemu aliyotokea!Tangu lini mgegedo unajeruhi? Huwezi kushindana na sehemu uliyotokea wewe
Mkuu hujajibu swali post #425 narudia tena how do you handle your own weaknesses ?Nitake radhi bwana mdogo
Mwanamke uliyenae ndie uliempenda ujanani!?Nimeelezea kuwa nina miradi inayoniingizia kuliko mshahara.
Mke wangu si mwajiriwa na ndie anayenisaidia kumanage mambo mengi mie pia napiga mishe sana j3 mpk j3