Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio na nina watoto watatu
Ume ni QUOTE kimakoda.. Uongo!.?Hakuna mwanaume asiyechepuka ninaongea ukweli toka moyoni mwangu. Muhimu tumia kinga kwa ajili ya kujilinda wewe,mke, familia na taifa kwa ujumla. Tuache unafiki tuongee ukweli
Funza dume.. Sio kweli.Kipimo cha akili kupita kiasi ni maksi kubwa
Nimefanya mahesabu ndio nikapata hilo jibuNi kweli hata ukiangalia umri wangu utagundua nimemaliza miaka hiyo
Ushawahi pakua au kupakuliwa BirianLeo naomba mniulize chochote kuhusu mimi na pia ningependa niweke wazi kuwa sitataja jina langu wala sehemu ninayofanyia kazi
Mmmh sidhaniAsome kwa bidii sana kwani mtaji wa kwanza katika Maisha ya mwanadamu ni elimu, ukiwa na elimu mambo mengine yote yatakaa sawa
Huo mchepuko una watoto wangapi?Mmoja tu na tuko mbioni kumwagana nataka kuishi bila mchepuko ingawa michepuko inasaidia somehow kuweka ndoa zetu ziwe sawa (wakubwa watanielewa hapa)
Bila shaka nilikuwa nachombeza tuSijawahi vyote hivyo