ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Naona upo katika harakati[emoji137][emoji137][emoji137]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona upo katika harakati[emoji137][emoji137][emoji137]
Game ya leo na Wolves nahisi itakua ngumu kutokana na Ramsey na Xhaka kutokuepo.Funzadume ni jina nilijipa na ninaitwa Funzadume mwana wa Washawasha. Nilijiita hivyo baada ya mzee wangu kujipa aka ya washawasha ndio mie ili kwenda nae sawa nikajiita funzadume
Mie sijihusishi na siasa kabisa
Shabiki wa Arsenal na Simba
Umemaliza form four kati ya mwaka 1994 -1996Mwaka tuliomaliza ilikuwa ni one ya juu sana na niliongoza somo moja kitaifa
Baada ya wewe kuwa my EksiNaona upo katika harakati
Ni sifa ya kuwa mTz [emoji23][emoji1787]. Hata bosi hua anasema "Mimi ni kiongozi wa wanyonge na masikini hawa" .Kwahiyo unapenda kuwa maskini?
Umeolewa?Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi na pia ningependa niweke wazi kuwa sitataja jina langu wala sehemu ninayofanyia kazi
Wakati unatolewa unyumba wako ulijisikiaje?Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi na pia ningependa niweke wazi kuwa sitataja jina langu wala sehemu ninayofanyia kazi
Mbona sikumbuki kama mimi ni eksi wakoBaada ya wewe kuwa my Eksi
Jibu swali mkuuNitake radhi ndugu yangu
Khaaaa.Mbona sikumbuki kama mimi ni eksi wako
....Inasemekana...1996 hesabu yake ilikuwa tata sana. Kama una Pass ya mwaka huo kwenye hesabu jione mshindi.form four kati ya mwaka 1994 -1996
Uko sahihi kabisa.....Inasemekana...1996 hesabu yake ilikuwa tata sana. Kama una Pass ya mwaka huo kwenye hesabu jione mshindi.
Mimi licha ya kuajiriwa ninafanya shughuli nyingine ambazo zinaingiza kipato Zaidi ya ajira ninafuga kuku wa nyama, nina mabwawa ya samaki na nina mashamba. Ninachoweza kushauri ni kwamba anza kuwa na wazo la biashara au kilimo ndio utafute mtaji wake tena kwa kuanza kidogo kidogo sio lazima uwe na mamilioni cha muhimu ni wazo. Usipokuwa na wazo unaweza kujikuta unanunua simu ya laki nane kumbe hiyo laki 8 ndio ingekufanya kuwa Tajiri kama ungenunua heka mbili za shamba nje ya mji.Kwa mfano ungekua umesomea kozi ambayo haiajiriki halafu hauna namna ya kupata mtaji ungefanyaje ili kujikwamua kiuchumi?
Wewe hapo wautesa moyo wangu...Kwani babu unateseka na nini?
Tena anataka matajiri awanyooshe waishi kama mashetani. Uzuri anatuomba tumwombee akawe kiongozi wa malaikaNi sifa ya kuwa mTz [emoji23][emoji1787]. Hata bosi hua anasema "Mimi ni kiongozi wa wanyonge na masikini hawa" .
Asome kwa bidii sana kwani mtaji wa kwanza katika Maisha ya mwanadamu ni elimu, ukiwa na elimu mambo mengine yote yatakaa sawaKwa ufahamu na uzoefu wako ukiombwa ushauri wa kimaisha na mtoto msikivu anae ingia form one ungemshauri nini.....?