Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Mkuu,Jinga sana yule hana lolote. Tukisema tuichunguze ccm na serikali yake wakati wa msoga gang na yeye akiwa itikadi na uenezi kuna atakayebaki? Au hajui kwamba watu tumefunika kombe ili mwanaharamu apite?! Jinga kabisa huyo.
Binafsi nilimuonea huruma kwa yaliyomkuta. Kutembea na camera njia nzima, kuomba msamaha, mke kuhusishwa daah. That was BAD experience.Angem....... kama ni mweupe
Udhalilisho ule ni fulaha kubwa sana kwa mdhalilishajiBinafsi nilimuonea huruma kwa yaliyomkuta. Kutembea na camera njia nzima, kuomba msamaha, mke kuhusishwa daah. That was BAD experience.
Halafu Kuna watu wanahoji kwann hakusema haya kabla? Wanasahau aliwahi kutembea mwenyewe kwenda kuomba asamehewe. Kilichomsukuma kufanya vile hakijulikani.Udhalilisho ule ni fulaha kubwa sana kwa mdhalilishaji
Halafu Kuna watu wanahoji kwann hakusema haya kabla? Wanasahau aliwahi kutembea mwenyewe kwenda kuomba asamehewe. Kilichomsukuma kufanya vile hakijulikani.
Inawezekana lakini hilo tumbo lilitaka kufanywaje maana aliambiwa pia mkewe ni mtu wa maombi kisha akasamehewa akaambiwa akachape kazi.Hakjulikan??..tumbo
Umemsikia hata siku moja akihoji ESCROW , RICHMOND NA DOWANS?Kwani ubaya wa Nape kutaka uchunguzi wa hiyo mikopo na matumizi yake upo wapi?
Kwanini asihoji matumizi na thamani ya miradi iliyofanyika?
Wacheni huo unafiki wenu kisa legacy,hakuna legacy ya kulazimisha hapa duniani.
Hiyo siyo kazi yangu.Umemsikia hata siku moja akihoji ESCROW , RICHMOND NA DOWANS?
Mkuu ulitaka mpaka Nape auwawe na mrundi?Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?
Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?
Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?
Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.
Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.
Magufur hakuwa malaika hivyo kusema achunguzwe siyo dhambiUmemsikia hata siku moja akihoji ESCROW , RICHMOND NA DOWANS?
Ni kumchafua Marehemu tu. Hana Lolote yule.Hiyo siyo kazi yangu.
Naongelea hili alilosema la kuchunguza ufisadi uliofanyika awamu ya 5 kuna ubaya gani?
Hapo uko sawa.Magufur hakuwa malaika hivyo kusema achunguzwe siyo dhambi
Akipatia apongezwe na akikosea asemwe, there is nothing wrong with that. Mtu anachokifanya/anachokisema is what counts, kama ameongea yanayopaswa kupewa credit so let it be.Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?
Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?
Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?
Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.
Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.
Hakuna lolote awamu ya 5 ndiyo awamu inayo ongoza kwa ufisadi tangu tupate uhuruNi kumchafua Marehemu tu. Hana Lolote yule.
Atuambie kwa nini Twiga wetu walikuwa wanapandishwa ndege.
Isiwe dhambi kwa mtu kuhoji fedha za umma zilivyo tumikaHapo uko sawa.
Lakini sio kwa namna ya Nape. Mwana Siasa Yule.
Upo sahihi kabisa kiongoziAkipatia apongezwe na akikosea asemwe, there is nothing wrong with that. Mtu anachokifanya/anachokisema is what counts, kama ameongea yanayopaswa kupewa credit so let it be.
Wakati wa uchaguzi uliopita aliwahi kuomba aachiwe awavunje wapinzani wake miguu jimboni kwake. Alisema mambo ya amani hayo hayawabusu wao.Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?
Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?
Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?
Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.
Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.
Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?
Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?
Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?
Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.
Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.