Leo Nape anaupiga mwingi...

Leo Nape anaupiga mwingi...

Jinga sana yule hana lolote. Tukisema tuichunguze ccm na serikali yake wakati wa msoga gang na yeye akiwa itikadi na uenezi kuna atakayebaki? Au hajui kwamba watu tumefunika kombe ili mwanaharamu apite?! Jinga kabisa huyo.
Mkuu,
Lakini hayumo kwenye ripoti ya Bashiru Ally ya kuchunguza mali za chama kwasababu ni clean! Anafaa kuwa Presidential Material kwasababu ana ujasiri kama wa babake.
 
Kwani ubaya wa Nape kutaka uchunguzi wa hiyo mikopo na matumizi yake upo wapi?

Kwanini asihoji matumizi na thamani ya miradi iliyofanyika?

Wacheni huo unafiki wenu kisa legacy,hakuna legacy ya kulazimisha hapa duniani.
Umemsikia hata siku moja akihoji ESCROW , RICHMOND NA DOWANS?
 
Umemsikia hata siku moja akihoji ESCROW , RICHMOND NA DOWANS?
Hiyo siyo kazi yangu.
Naongelea hili alilosema la kuchunguza ufisadi uliofanyika awamu ya 5 kuna ubaya gani?
 
Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?

Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?

Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?

Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.

Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.
Mkuu ulitaka mpaka Nape auwawe na mrundi?
 
Hiyo siyo kazi yangu.
Naongelea hili alilosema la kuchunguza ufisadi uliofanyika awamu ya 5 kuna ubaya gani?
Ni kumchafua Marehemu tu. Hana Lolote yule.

Atuambie kwa nini Twiga wetu walikuwa wanapandishwa ndege.
 
Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?

Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?

Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?

Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.

Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.
Akipatia apongezwe na akikosea asemwe, there is nothing wrong with that. Mtu anachokifanya/anachokisema is what counts, kama ameongea yanayopaswa kupewa credit so let it be.
 
Ni kumchafua Marehemu tu. Hana Lolote yule.

Atuambie kwa nini Twiga wetu walikuwa wanapandishwa ndege.
Hakuna lolote awamu ya 5 ndiyo awamu inayo ongoza kwa ufisadi tangu tupate uhuru
 
Akipatia apongezwe na akikosea asemwe, there is nothing wrong with that. Mtu anachokifanya/anachokisema is what counts, kama ameongea yanayopaswa kupewa credit so let it be.
Upo sahihi kabisa kiongozi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Aliwa
Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?

Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?

Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?

Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.

Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.
Wakati wa uchaguzi uliopita aliwahi kuomba aachiwe awavunje wapinzani wake miguu jimboni kwake. Alisema mambo ya amani hayo hayawabusu wao.
 
Kama Rais Samia alianza dk za mwanzo tu za mchezo kuupiga mwingi sana. Wapinzani tulifurahia na kauli mbiu Mama anaupiga mwingi. Kipo wapi?

Ujinga ule ule wapinzani wameubeba na kuanza kumpamba kijana muasisi wa bao la mkono kuwa kwa kuhoji deni la Magufuli anaupiga mwingi. Unajiuliza huu unafiki wa Nape mpaka leo wapinzani hawajifunza?

Si kila anayemshambulia Magufuli leo ni Mzalendo. Muulizeni Alikighu? Alikwii? Alikuwa wapi? Wakati ninyi mnapinga mambo mbalimbali yeye alifanya nini? Huyu si ndo alienda kuomba msamaha huku akicheka cheka ili abaki na Ubunge? Na kuwaponda wenzie kwa Magufuli?

Leo anaupiga mwingi? Si lazima kila sehemu mtie mkono mambo mengine mngeyaacha tu. Mimi nimejikuta sasa namwelewa Magufuli kuliko hata zamani. Hawa watu wanafiki ni wabaya kuliko hata akina sabaya ambao walijipambanua mapema wao ni watu wa namna gani.

Shauri zenu. Kuna siku Nape ataongea tena maneno mtamshukia kama Kipanga.

Uko sahihi Nape ni mnafiki mkubwa sana, anatafuta namna ya kutoka, na hii si mara ya kwanza, akishapata anachotaka anarudi nyuma na kuwaponda hao hao wanaomsifia.
 
Ukiwa huna chembechembe za unafiki maisha yako ndani ya CCM yatakuwa ni magumu mno.
 
Back
Top Bottom