GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hivi kweli kabisa Logically hizi Klabu zetu pendwa nchini za Simba SC na Yanga SC kwa Uswahili uliozitawala na Ujanja Ujanja ( Usamjo Usamjo ) ni za Kudhaminiwa Bilioni 26.1 na Mbet kwa Miaka Mitano na Bilioni 12 na Sports Pesa kwa Miaka Mitatu?
Klabu pekee nchini Tanzania kutokana na Structure yake na high level of Professionalism iliyonayo ( iliyopo ) ningeambiwa imedhaminiwa kwa Mabilioni hayo ningeamini upesi kwa 100%, ila siyo kwa Simba SC na Yanga SC.
Kwa mfano utaniambiaje GENTAMYCINE kuwa Umenidhamini kwa Tsh Bilioni 26,168,005,000/= halafu kila mwaka unanigawia Pesa Kimgawanyo usio sawa badala ya kunipa Tsh Bilioni 5,233,601,000/= ambayo ndiyo ninapaswa nipewe?
Mfano utaniambiaje GENTAMYCINE kuwa unanipa Tsh Bilioni 12 kwa Miaka Mitatu na kwamba kila mwaka utakuwa unanipa Tsh Bilioni 4 huku ukijua kuwa Timu yangu bado haina ( haijapata ) kivile Mafanikio ya Kimataifa ambayo yangesaidia Kuiongezea Thamani?
Nisizunguke sana na GENTAMYCINE sijazoea Unafiki ukweli ni kwamba hizi Sponsorship Deals zote ni za Kupikwa ili Kuwahadaa Mashabiki Wajinga ( Ngumbaru ) na Wapumbavu ( Popoma ) ambao Masikini ya Mungu Wengi Wao uwezo wao wa Kuchanganua Mambo ni Finyu ( Mdogo ) sana na Pole yao pia.
Najua kuna mtakaosema kuwa kama hii Mikataba waliyoingia hivi Vilabu Vikubwa Viwili vya Tanzania ni vya Magumashi ( Uwongo ) mbona TRA na Watu wa Gaming Board walikuwepo?
Ukweli ni kwamba kwa Watendaji dhaifu na wepesi Kuhongwa kutoka katika hizi Taasisi tajwa hapo juu sitoshangaa kusikia kuwa nao waliitwa Kwanza Maji Mafupi ( Chemba ) kisha Wakasukwa na Kusukika kwa Ahadi ya 10% ili tu Wauchune ( Wanyamaze ) wakati hivi Vilabu viwili vikicheza na Akili za Mashabiki wao ( zao )
Kuna Mtendaji wa Kampuni Moja iliyodhamini Moja ya Klabu hizi nimemuangalia alipokuwa akiwasilisha Details za Mkataba na Usoni mwake ameonekana kabisa Dhambi ya Uwongo inamsuta na anadanganya wazi wazi baada ya Kufuzu Maelekezo ya Kuwadanganya Mashabiki, Wapenzi na Wanachama.
Hakuna sijui wa B26.1 wala wa B12 Ok?
Klabu pekee nchini Tanzania kutokana na Structure yake na high level of Professionalism iliyonayo ( iliyopo ) ningeambiwa imedhaminiwa kwa Mabilioni hayo ningeamini upesi kwa 100%, ila siyo kwa Simba SC na Yanga SC.
Kwa mfano utaniambiaje GENTAMYCINE kuwa Umenidhamini kwa Tsh Bilioni 26,168,005,000/= halafu kila mwaka unanigawia Pesa Kimgawanyo usio sawa badala ya kunipa Tsh Bilioni 5,233,601,000/= ambayo ndiyo ninapaswa nipewe?
Mfano utaniambiaje GENTAMYCINE kuwa unanipa Tsh Bilioni 12 kwa Miaka Mitatu na kwamba kila mwaka utakuwa unanipa Tsh Bilioni 4 huku ukijua kuwa Timu yangu bado haina ( haijapata ) kivile Mafanikio ya Kimataifa ambayo yangesaidia Kuiongezea Thamani?
Nisizunguke sana na GENTAMYCINE sijazoea Unafiki ukweli ni kwamba hizi Sponsorship Deals zote ni za Kupikwa ili Kuwahadaa Mashabiki Wajinga ( Ngumbaru ) na Wapumbavu ( Popoma ) ambao Masikini ya Mungu Wengi Wao uwezo wao wa Kuchanganua Mambo ni Finyu ( Mdogo ) sana na Pole yao pia.
Najua kuna mtakaosema kuwa kama hii Mikataba waliyoingia hivi Vilabu Vikubwa Viwili vya Tanzania ni vya Magumashi ( Uwongo ) mbona TRA na Watu wa Gaming Board walikuwepo?
Ukweli ni kwamba kwa Watendaji dhaifu na wepesi Kuhongwa kutoka katika hizi Taasisi tajwa hapo juu sitoshangaa kusikia kuwa nao waliitwa Kwanza Maji Mafupi ( Chemba ) kisha Wakasukwa na Kusukika kwa Ahadi ya 10% ili tu Wauchune ( Wanyamaze ) wakati hivi Vilabu viwili vikicheza na Akili za Mashabiki wao ( zao )
Kuna Mtendaji wa Kampuni Moja iliyodhamini Moja ya Klabu hizi nimemuangalia alipokuwa akiwasilisha Details za Mkataba na Usoni mwake ameonekana kabisa Dhambi ya Uwongo inamsuta na anadanganya wazi wazi baada ya Kufuzu Maelekezo ya Kuwadanganya Mashabiki, Wapenzi na Wanachama.
Hakuna sijui wa B26.1 wala wa B12 Ok?