Leo natamani kusikia kutoka kwenu wadada

Leo natamani kusikia kutoka kwenu wadada

Yaani unajua kabisa mfuko huu una buku buku huu una 5 plain afu huu una ugai Gai mwekundu😂😂😂 apo lazima mzigo uende kwenye buku buku shwaaaaaa😂😂😂 afu unamwambia Sina sema Kuna ishu naiskilizia hapa ila shika hii nitakucheki jioni😃😃😃
🤣🤣🤣Ndo umenifumbua moyo na masikio
 
1. Hawatoi mtonyo mpk mtu apangilie shida tele. Wengine hawawezi [emoji3]
Wakizembea, kuna wale wababa wanatumaga tu. Watanyakuliwa hao GFs wao.

2. Wajifunze kukiss, wasitujazie mimate mdomoni

3. Haipakwi mate ile,. Aneng'eneke mpk ilainike yenyewe.

4. Nyash slap kuna muda zinakuwa kibao kibao haswa mpk kinauma

5. Wanang'ata chuchu [emoji23] hee wajue kuna muda zinaumaga.

6. Mtu anakuona cheusi mangara, af anakazana kukutoa love bite, ni anataka kukuua au. Hiii kesi nimeitoa hukooo

Narudi my wangu
Aiseee
 
Asalaleeee! Hapa nimeona changamoto kubwa ni hela na style za kukamuana!

Ndugu mama zangu, dada zangu, wadogo zangu na wengine wote niwashukuru kwa uwasilishaji wenu, nitumie fursa hii kwa niaba ya Mwenyekiti wetu kuwahakikishia kua hela tutawapa na Kwa kuanza kila mmoja aache account number yake

Kuhus mikao wakati wa kufaidi uumbaji wa kitu kama kile Cha Tessy, Kwa kwel mtaendelea kukalia mpaka pale utakapofikisha miaka 50 Kwa sababu haiwezekani nitoe hela afu nihangaike kama karmakenge😁 as long as umepokea hela lazima uelekee kibla, kwanza wanaume tukiwa juu tunawahi kukojoa ko muwe wavumilimu hasa kipindi hiki kigumu

Pia Mwenyekiti ameniagiza niwaambie kwamba jitahidi ule hela za anaekukula siyo kila ukiona kidume unaendekeza shida

Naomba kuwasilisha
Mpaji Mungu
Afisa masoko na mahusiano ya jamiii
 
Back
Top Bottom