Leo natangaza rasmi kuacha kushabikia soka la Tanzania

Leo natangaza rasmi kuacha kushabikia soka la Tanzania

Mzee iliwezekana vipi kwa barcelona iliyoshinda goli tatu nyumbani kufungwa goli nne bila na liverpool?

Unamtenganishaje kocha na lawama kwenye matokeo mabovu?, hata kipigo cha juzi pale old trafford lawama nyingi zimeenda kwa kocha, kocha hata kama ameshinda mechi nyingi ila kushindwa kushinda mechi rahisi na muhimu kunaondoa maana yote ya hizo statistics

Pengine hizo statistics ndiyo sababu pekee iliyomfukuzisha, watu wameangalia mechi alizo shinda zilikua ngumu kuliko hiyo ya juzi
huwenda kwenye hizo mechi alizoshinda alikua serious ila saizi kafanya uzembe
 
Gomez ameonewa na hamtapata coach bora kama gomez nakuambieni pale simba mmeweka siasa ila uyu jamaa anajua shida anapangiwa na wazee wanaojifanya kuijua simba ila mtahjuta
Mpira wa Tanzania ndio upuuzi wake huu. Kocha anakuwa hana final say hata kwa kikosi kinachoanza mechi sasa ni ujinga gani huo?
 
Mkuu Da Rosa ni kocha mzuri. Ni mambo madogo madogo tu yakurekebisha.

Unataka kuniambia kwa uliyoandika hapo Da Rosa ni kama Ole Gunnar?
Ndio Gomes ni Ole. Kwa mfano Bocco tangu msimu unaanza ana struggle hayupo kwenye form bado anang'ang'ania kumuanzisha ikiwa ana Kagere bench!

Tunaelewa game ya ugenini(Jwaneng) kipaumbele ilikuwa ni kuzuia cha ajabu na cha kushangaza kaanza na line up ile ile game ya nyumbani!

Mimi nilianza kukosa imani na Gomes ile game ya kaizer ugenini, kila mtu anayefuatilia PSL anajuwa Kaizer silaha yao ni mipira mirefu(sijui kama aliangalia video za kaizer), jamaa akaenda kufunguka matokeo yake tukala 4 tena za aina moja
 
Ndio Gomes ni Ole. Kwa mfano Bocco tangu msimu unaanza ana struggle hayupo kwenye form bado anang'ang'ania kumuanzisha ikiwa ana Kagere bench!

Tunaelewa game ya ugenini(Jwaneng) kipaumbele ilikuwa ni kuzuia cha ajabu na cha kushangaza kaanza na line up ile ile game ya nyumbani!

Mimi nilianza kukosa imani na Gomes ile game ya kaizer ugenini, kila mtu anayefuatilia PSL anajuwa Kaizer silaha yao ni mipira mirefu(sijui kama aliangalia video za kaizer), jamaa akaenda kufunguka matokeo yake tukala 4 tena za aina moja
Ndio hiki kitu ambacho nimekiita uzembe. Mambo mengine yapo wazi kabisa. Lazima kocha ajue mbinu za kucheza mechi za knockout hizo za home and away.

Halafu unawezaje kumdharau mpinzani wako mnae compete katika level moja? Ni uchizi kabisa huo.
 
Mkuu sidhani kama itakuwa rahisi hivyo. Ngoja tuone lakini kwa wakati huo mimi nimeshaamua kuchukua likizo isiyo na muda maalum.
Sawa pumzika ni mawazo yako
Wengine mpira ni kama burudani nyingne tu
Kufunga, kufungwa, suluhu jambo la kawaida kwenye michezo hata timu iwe kwenye hali gani
 
Sawa pumzika ni mawazo yako
Wengine mpira ni kama burudani nyingne tu
Kufunga, kufungwa, suluhu jambo la kawaida kwenye michezo hata timu iwe kwenye hali gani
Ni kweli mkuu. Mimi mwenyewe kusema ukweli kwasasa sina starehe nyingine zaidi ya mpira. Lakini mpira wa Tanzania unakera sana asee. Yani kila kukicha ni madudu tu.

Bora nifocus tu kwenye mpira wa Ulaya kwasasa.
 
Ndio hiki kitu ambacho nimekiita uzembe. Mambo mengine yapo wazi kabisa. Lazima kocha ajue mbinu za kucheza mechi za knockout hizo za home and away.

Halafu unawezaje kumdharau mpinzani wako mnae compete katika level moja? Ni uchizi kabisa huo.
Uchizi wa level za juu mkuu, ukiondoa Aussems huyu Da Rosa nilimpenda sana lakini ukweli ni kwamba Simba kwake ni mzigo mkubwa!


Kuna lingine sikuzungumzia, Gomes ni mtu wa mabeef anzia kwa Kagere mpaka Mkude, tena wanakuja na sababu nyepesi eti Mkude mlevi wakati Chama nahisi ni mlevi kuliko.


Nilimpenda Aussems kwasababu alikuwa ana tabia kama za Klopp kuishi na wachezaji kama familia, hii inasaidia kuboost morale
 
Hata huko utapigwa na muhaho tu...

Ona mashabiki wa Barca, Madrid, Man U, Juve wanavyotia huruma sasa, utafikiri hizo timu hazikuwahi kuwa giants of Europe...

Kula yamini tu komaa na Simba hadi kieleweke, miaka michache ijayo itaeudi kuwa ya neema kama ilivyokuwa miaka ya kina Chama, Mafisango, Masatu na kurudi nyuma zaidi...

Madrid gani unaongelea Mkuu hii hii ambayo imetoka kumla Barca kichwa Camp Nou juzi na favorite wa kushinda La liga na UCL msimu huu?
 
Hata alivyoondoka kishongo sven si mlianzisha thread za hivi
 
Sema tu Simba imekupa stress acha visingizio. Then huyo kocha wenu kajiuzulu mwenyewe ulikata timu imbembeleze abaki wakati hataki kazi anymore?
 
Uchizi wa level za juu mkuu, ukiondoa Aussems huyu Da Rosa nilimpenda sana lakini ukweli ni kwamba Simba kwake ni mzigo mkubwa!


Kuna lingine sikuzungumzia, Gomes ni mtu wa mabeef anzia kwa Kagere mpaka Mkude, tena wanakuja na sababu nyepesi eti Mkude mlevi wakati Chama nahisi ni mlevi kuliko.


Nilimpenda Aussems kwasababu alikuwa ana tabia kama za Klopp kuishi na wachezaji kama familia, hii inasaidia kuboost morale
Lakini indiscipline sio jambo ya kufumbia macho. Yawezekana Chama alikuwa anakunywa lakini mazoezi hachelewi wala kukosa.
 
Back
Top Bottom