Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
-
- #41
Mpira wa bongo ni magumashi mzee. Hautakaa upige hatua. Ukipiga hatua mbili mbele unarudi nyuma tano.Sema tu Simba imekupa stress acha visingizio. Then huyo kocha wenu kajiuzulu mwenyewe ulikata timu imbembeleze abaki wakati hataki kazi anymore?
Gomez ameonewa na hamtapata coach bora kama gomez nakuambieni pale simba mmeweka siasa ila uyu jamaa anajua shida anapangiwa na wazee wanaojifanya kuijua simba ila mtahjuta
Huna ulijuwalo,Sema tu Simba imekupa stress acha visingizio. Then huyo kocha wenu kajiuzulu mwenyewe ulikata timu imbembeleze abaki wakati hataki kazi anymore?
Huna ulijuwalo,
Ukimfukuza wewe inabidi ulipie mkataba wote, ndio maana mnafanya makubaliano anaandika barua ya kuacha kazi na mnamlipa mlichokubaliana, hiyo ndio system ya wahindi hadi kwenye viwanda vyao.
Issue ni kwamba hakuomba kuondoka, yeye ndio mtu wa kuibembeleza Simba.Bado ishu ni Ile Ile ulitaka wambembeleze abaki?
baada ya mwezi usifungue thread ya kuisifia simba wala yanga mkuuMimi ndio nimeandika leo mkuu sijawahi kuandika hapo kabla.
Gomes hajaonewa wala nn sababu nikua hana vyeti vya CafGomez ameonewa na hamtapata coach bora kama gomez nakuambieni pale simba mmeweka siasa ila uyu jamaa anajua shida anapangiwa na wazee wanaojifanya kuijua simba ila mtahjuta
Madrid gani unaongelea Mkuu hii hii ambayo imetoka kumla Barca kichwa Camp Nou juzi na favorite wa kushinda La liga na UCL msimu huu?
Hii hii mkuu...
Bado haijakaa sawa ile timu
Mashabiki wa simba wenye mioyo myepesi kama mtoa mada, watapata tabu sana msimu huu!Nimesoma wote kabla ya kuweka comment...
Hizo habari za Biashara mi naona umeweka kama kisingizio tu...
Mwishoni mwa uzi ukamwaga sumu zako za Simba...
Sahihi kabisa mkuu hahaaaaa,,Nimesoma wote kabla ya kuweka comment...
Hizo habari za Biashara mi naona umeweka kama kisingizio tu...
Mwishoni mwa uzi ukamwaga sumu zako za Simba...
Bado ana hoja, symbol ya mpira wa Tanzania ni Simba SC pekee, hao wengine ni midomo tu hawana lolote.Nimesoma wote kabla ya kuweka comment...
Hizo habari za Biashara mi naona umeweka kama kisingizio tu...
Mwishoni mwa uzi ukamwaga sumu zako za Simba...
Huyu chalii ni utopolo anajifariji kwa simbaSi useme tu unaacha kushabikia mpira sababu Simba kakatwa mkia [emoji2960][emoji23]
Vip uto ya ulaya Man u haifanyi makosa ya kujirudiaBora huo wa huko sio wa kijinga kama huu wa kwetu hapa bongo. Angalau watu wanajielewa na hawafanyi makosa ya kujirudia rudia.
Muke ya zee toz
Hao watarekebisha soon maana kule wanadai team ni kubwa kuliko uwezo wa kochaVip uto ya ulaya Man u haifanyi makosa ya kujirudia
Oya tuheshimiane mkuu. Usiniite utopolo 😡Huyu chalii ni utopolo anajifariji kwa simba