Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Toa mstari ya bible tukajisomee wakati tunafanya homework ya mwalimu King'ang'i.huo ulikuwa utamaduni wa wayahudi wote, kasome historia ya wayahudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa mstari ya bible tukajisomee wakati tunafanya homework ya mwalimu King'ang'i.huo ulikuwa utamaduni wa wayahudi wote, kasome historia ya wayahudi
Tena?Sehemu gani hiyo ya bible waliyoandika hivyo hadi nikitaka kuifikia usingizi unanizidi nguvu?Alievunja ndoa ya yusuph na mke wake wa Kwanza Ni Nani? Maana biblia inasema kabla ya MARIAMU alikua na MKE na wototo 6
Bikra kabla ya kuzaliwa Yesu.Mimi na ugalatia wangu nashangazwa sana na wanaomuita Maria kuwa ni bikira wakati Yesu alikuwa na wadogoze ambao wengine wakawa Wanafunzi wake
Mimba ya yesu ilitokea kimiujiza bila tendo ndo maana akaitwa bikira...waliofatia nadhani tendo lilifanyika😀Yeye ndo first born
kiranga tulia kwanza tumalizane na mtoa madaUnaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Unaweza kuondoa contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo huyo Mungu?
Kama maswali yangu hamjajibu na mimi pia hamjamalizana nami.kiranga tulia kwanza tumalizane na mtoa mada
Wewe bado tupo nawe sana.Kuwa mwenye upole kama umesingiziwa kesi ya ugaidi.Kama maswali yangu hamjajibu na mimi pia hamjamalizana nami.
Mimi na ugalatia wangu nashangazwa sana na wanaomuita Maria kuwa ni bikira wakati Yesu alikuwa na wadogoze ambao wengine wakawa Wanafunzi wake
Wadogoze au wakubwaze😊😊😊😊🚶
Sasa si alimzaa akiwa bikra mkuu. Tena bila mtwangio kumgusa! Hoja yako ingekuwa na mashiko kama kabla ya kumzaa Yesu alikuwa tayari na watoto, nilidhani!
Umejuaje bikra yake ni aina yake,mkuu unafurahisha sana![]()
Alievunja ndoa ya yusuph na mke wake wa Kwanza Ni Nani? Maana biblia inasema kabla ya MARIAMU tayar alikua na MKE na wototo 6, ambao ndo Kaka zake na dada zake yesu.
NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO,Bikra kabla ya kuzaliwa Yesu.
Naomba reference mkuu, kujifunza hakuna mwishoAlievunja ndoa ya yusuph na mke wake wa Kwanza Ni Nani? Maana biblia inasema kabla ya MARIAMU tayar alikua na MKE na wototo 6, ambao ndo Kaka zake na dada zake yesu.
Naomba reference mkuu, kujifunza hakuna mwisho
Kuna watu wanaomuita bikra mpaka leoBikra kabla ya kuzaliwa Yesu.
Wakati anapewa Hilo jukumu la kumzaa Yesu alikuwa bikiraMimi na ugalatia wangu nashangazwa sana na wanaomuita Maria kuwa ni bikira wakati Yesu alikuwa na wadogoze ambao wengine wakawa Wanafunzi wake
WanaokoseaKuna watu wanaomuita bikra mpaka leo
Achana na hekaya za abunuasi.MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?
Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.
Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.
Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
Khaaa ,kaka biblia hiihii ? Mbona hii mpya?Alievunja ndoa ya yusuph na mke wake wa Kwanza Ni Nani? Maana biblia inasema kabla ya MARIAMU tayar alikua na MKE na wototo 6, ambao ndo Kaka zake na dada zake yesu.
Wewe unakuja na hoja badala ya kuithibitisha wataka tukasome tukusaidie kuthibitisha hoja yako?huo ulikuwa utamaduni wa wayahudi wote, kasome historia ya wayahudi
Asante mkuu.![]()
Saint Joseph - Wikipedia
en.wikipedia.org