Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

This is religious balderdash, faith based hogwash full of a priori fallacies and circular logic.

For someone who professes to like physics, this is a letdown.

Yani ni kama vile umesema Mungu yupo, kwa sababu yupo.

Hujajenga hoja yabkimantiki, unajenga ushawishi wa kiimani. I am not interested in that.

The logic is so circular.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Toa jibu linalotatua contradiction hii.

Usiweke jibu ambalo linaonesha huwezi kutatua contradiction hii kama "God just let things happen". Hili ni jibu la kasisi mjinga asiyejua kumtetea Mungu wake, si jibu la mtu mwerevu anayejua mantiki na fizikia.
Hilo nishakujibu, we ndo unarudiarudia hilo swali, ni kama vile kuna majibu tayar unayo kichwan unataka niyaseme na hutaki kusikia majibu mengi, unataka majibu tuu yanayoendana na your preconceived stereotypes, mm sina hayo.

We both have circular logics, in our own different ways.

Just because I'm a physics enthusiast doesn't mean my answers have to be complicated or long, this is faith we are talking about here, its not physics, I don't need to give you weird explanations.
 
Hilo nishakujibu, we ndo unarudiarudia hilo swali, ni kama vile kuna majibu tayar unayo kichwan unataka niyaseme na hutaki kusikia majibu mengi, unataka majibu tuu yanayoendana na your preconceived stereotypes, mm sina hayo.

We both have circular logics, in our own different ways.

Just because I'm a physics enthusiast doesn't mean my answers have to be complicated or long, this is faith we are talking about here, its not physics, I don't need to give you weird explanations.
Jibu gani? La "Mungu kapanga tu"?
 
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?

Unaweza kuondoa contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo huyo Mungu?
Ila ni jukumu lako / lake kueleza Mungu ni nini? Wengine hata Ng’ombe ni Mungu, ambpo ni rahisi kuprove yupo
 
Ila ni jukumu lako / lake kueleza Mungu ni nini? Wengine hata Ng’ombe ni Mungu, ambpo ni rahisi kuprove yupo
Nimekuwa nikisisitiza kuwa kwenye maongezi yangu ya Mungu, naanzia kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu wote.

Huyu ana cover Allah wa Waislamu, Jehovah wa Wayahudi na Wakristo, na miungu wengine wengi.

Huyu anakuwa contradicted na Epicurean Paradox/ the problem of evil.
 
Nimekuwa nikisisitiza kuwa kwenye maongezi yangu ya Mungu, naanzia kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu wote.

Huyu ana cover Allah wa Waislamu, Jehovah wa Wayahudi na Wakristo, na miungu wengine wengi.

Huyu anakuwa contradicted na Epicurean Paradox/ the problem of evil.
Unafahamu kwamba huyo Mungu unaemtaja ni ‘Pure Conscious Energy’ ?

Nakupa characteristics za energy

- Can be converted to matter kwa uwiano wa (E=MC^2). Hivyo hata wewe ni conscious energy, hence kuumbwa kwa mfano wake.

- Cannot be created nor can it be destroyed, but can be changed from one form of energy to another, or from one state (energy) to another state (matter)? Hivyo wewe ni sehemu ya Mungu na energy ya kuishi (life)ndio Mungu mwenyewe. Na ukifa kinachotoka mwilini mwako ni consious energy ndani yako (Mungu) na Consciousness ya kwako wewe (Roho).

- Unafahamu kwamba energy inaweza kufanya Concious deisions at the quantum levels? (‘Young’s double slit‘ na ‘Delayed choice quantum eraser’ inavyotumika kupredict matokeo ya mechi za mpira kwa uhakika wa 100% (CERN facility))

- On that note, achana na hizo definition za Mungu za kuokoteza, Mungu ni ‘Pure Conscious energy’, na hakuna kitu utafanya kubadilisha kile ambacho kipo, hata kesho tayari ipo, unaweza ukaomba pemgine kubadilisha kesho, ila God as pure conscious energy alishamaliza kazi yake kabla yabmida kuanza, its a movie playing out, over and over for eternity, wewe ni Kiranga, na utaishi hii role yako katika Movie for eternity over and over.


Everthing has been preprogrammed, like a virtual reality, and the programmer, is the God of Gods, sio huyo mnaemtaja, na hayupo ulimwenguni (ndani ya programme). Hivyo huo uoendo mnaotaka kwa Mungu hata sijui ni upi, we are just playing out his programme.


BE ENLIGHTENED AND ENJOY AN ETERNITY OF BEING KIRANGA.
 
Unafahamu kwamba huyo Mungu unaemtaja ni ‘Pure Conscious Energy’ ?

Nakupa characteristics za energy

- Can be converted to matter kwa uwiano wa (E=MC^2). Hivyo hata wewe ni conscious energy, hence kuumbwa kwa mfano wake.

- Cannot be created nor can it be destroyed, but can be changed from one form of energy to another, or from one state (energy) to another state (matter)? Hivyo wewe ni sehemu ya Mungu na energy ya kuishi (life)ndio Mungu mwenyewe. Na ukifa kinachotoka mwilini mwako ni consious energy ndani yako (Mungu) na Condcioisness ya kwako wewe (Roho).

- Unafahamu kwamba energy inaweza kufanya Concious deisions at the quantum levels? (‘Young’s double slit‘ na ‘Delayed choice quantum eraser’ inavyotumika kupredict matokeo ya mechi za mpira kwa uhakika wa 100% (CERN facility))

- On that note, achana na hizo definition za Mungu za kuokoteza, Mungu ni ‘Pure Conscious energy’, na hakuna kitu utafanya kubadilisha kile ambacho kipo, hata kesho tayari ipo, unaweza ukaomba pemgine kubadilisha kesho, ila God as pure conscious energy alishamaliza kazi yake kabla yabmida kuanza, its a movie playing out, over and over for eternity, wewe ni Kiranga, na utaishi hii role yako katika Movie for eternity over and over.


Everthing has been preprogrammed, like a virtual reality, and the programmer, is the God of Gods, sio huyo mnaemtaja, na hayupo ulimwenguni (ndani ya programme).



BE ENLIGHTENED AND ENJOY AN ETERNITY OF BEING KIRANGA.
Nimemtaja Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu wote.

Hiyo "Pure Conscious Energy" ina upendo wote?

Hii ni dini mpya tu unaanzisha na kuivika majina ya kisayansi.

You are misrepresenting the double slit experiment in a very unscientific way.

How do you prove there is "Pure Conscious Energy"?

Are you a panpsychist?

I neither deserve nor desire any eternity of anything.
 
Maneno ya Mwenyei Mungu kwa Waislam ni Qur'an.

Umewahi kuisoma Qur'an?
Nilitaka tupeane maarifa ndio maana nikauliza yale maswali but uliamua kukanusha intro, bila kujibû maswali yaliyofata japo uliyaelewa.

Ulijibu ukiamini unabishana na mkristo, ikabidi ujihami. Sio kila anaehoji anakupinga.

Umeuliza kama huwa nasoma qur’an jibu langu ndio nasoma, na sio qur'an tu, nasoma pia biblia na vitabu vya imani zingine kama uhindu, Injili ya ufanisi, Hare krishna, ubudha, Animism, Kiyahudi, Mormonism, Sayansitolojia, Zoroasta, Baha'i, Sikhism, Confucianism, Taoism, Shinto, Christian science, The new age movement...... etc
 
Nani hao ambao "mshasema"?Au unaota tu? Au huelewi maana ya neno hadith katika Uislam? Katika Uislam kuna Qur'anambayo ni mbali kabisa na zinzoitwa "hadith", kama haitoshi, Waislam hawakubaliani kabisa na Hadith ambazo haziendani na Qur'an.

Qur'an ndiyo kitabu pekee leo hii duniani chenye "chain" ya kutoka kiliposhushwa haijakatika na ndicho kitabu pekee duniani hakitegemei maandiko katika uhifadhi wake.

Ni kitabu pekee kilichohifadhiwa na watu wengi zaidi duniani. Huo peke yake ni muujiza.
Mnaponichosha ni hapo mnapoanza kuruka vitabu vyenu..........Hadith hamfundishwi huko misikitini?
 
Mnaponichosha ni hapo mnapoanza kuruka vitabu vyenu..........Hadith hamfundishwi huko misikitini?
Naona unaendelea kuleta uongo wako.

Kitabu na muongozo wa kwanza wa Waislam ni Qur'an.

Wapi tumeikana Qur'an?

Pia elewa kuwa Qur'an ni kwa ajili yako pia, imeletwa kuwa ni muongozo kwa wote, siyo kwa watu fulani tu.
 
Kwanza tuwe na heshima mijadala kama hii, futa upumbavu wako onesha hekima zako. Siyo unakuja na "derogatory terminologies".
Mtazamo wako wewe kwake inaweza ukawa ni ukosefu wa adabu pia. So nashauri chagua ukomavu
 
Mnaponichosha ni hapo mnapoanza kuruka vitabu vyenu..........Hadith hamfundishwi huko misikitini?
Ngoja nikusaidie dada maana wenyewe wakija watajibu kwa jaziba badala ya kukufafanulia.

Hadithi ni ripoti inayohusishwa na Mtume Muhammad, inayoelezea maneno na matendo yake na kuwakilisha chanzo kikuu cha kujua historia yake ya mamlaka.

Kwa hiyo hadith sio qur'an.
 
Ni vyema ukaelezea with refference mkuu

Mnapindua Neno la Mungu ili kukidhi matakwa ya ibada ya sanamu
Mimi reference ninazo nyingi sana mkuu. Je, wewe unaweza ukatoa angalau reference imayoonyesha hao watoto walikuwa na wa Yusuf na Mariam.
Mimi huwa nachangia kulingana na hoja, ingehitaji reference zilizonifunza nasi ningeingia kabatini kuzileta hapa. Kwa kuwa maongezi, shutuma na malalamiko ya hapa havina references nali uelewa aliouchagua mu, na mimi ni sehemu ya watu so nimekuja vivyo hivyo.
 
Utanibishia vipi na nimeweka ushahidi wa tafsiri ya Qur'an?
Bila kuingia kwenye usahihi au uppotoshaji au kujichanganya kwa Quran Tukufu, uelewa wako wa kilichoandikwa na Qura'an huwa ni Changamoto. Qur'an haihitaji uisome kikasuku, inahitaji utulivu na inahitaji umuombe Mungu wako akufungue akili na kukuangazia kipimdi unaisoma. Sasa sijui kama umewahi kufanya hivyo.
 
Mimi reference ninazo nyingi sana mkuu. Je, wewe unaweza ukatoa angalau reference imayoonyesha hao watoto walikuwa na wa Yusuf na Mariam.
Mimi huwa nachangia kulingana na hoja, ingehitaji reference zilizonifunza nasi ningeingia kabatini kuzileta hapa. Kwa kuwa maongezi, shutuma na malalamiko ya hapa havina references nali uelewa aliouchagua mu, na mimi ni sehemu ya watu so nimekuja vivyo hivyo.
Pendekezo kwamba Yusufu alioa kabla ya kutajwa katika Maandiko kama mchumba wa Mariamu ni ya kubuni kabisa (Luka 1:26-27). Hakuna ushahidi wa kimaandiko, au hata pendekezo la hila, kwamba Yusufu alikuwa ameoa mtu mwingine isipokuwa Mariamu.

Wazo la kwamba Mariamu alikuwa mke wa pili wa Yosefu lilitokana na mapokeo ya Kikatoliki katika jitihada za kueleza kuwepo kwa "ndugu na dada" za Yesu (Mathayo 13:55).

Baadhi ya ndugu za Yesu hata wanaitwa majina katika Biblia: Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda. Mapokeo ya Kikatoliki yamesisitiza kwa muda mrefu kwamba watu hao wanaweza kuwa binamu za Yesu au watoto wa Yosefu kutoka kwa ndoa ya awali. Wakatoliki, kwa msaada wa vitabu fulani vya uwongo, (pseudepigraphical books) wametunga simulizi za kubuniwa kuhusu Yosefu, wakisema kwamba alikuwa mwanamume mzee ambaye alikuwa ameoa na alikuwa na watoto wengine wengi kabla ya kuchumbiana na Mary. Nadharia hii ni muhimu kwa theolojia ya Kikatoliki ili kuthibitisha fundisho lao kwamba Mariamu alibaki bikira, hata baada ya kumzaa Yesu.Ndio maana bado wanamuita bikra maria.
 
Mimi na ugalatia wangu nashangazwa sana na wanaomuita Maria kuwa ni bikira wakati Yesu alikuwa na wadogoze ambao wengine wakawa Wanafunzi wake
Nyerere anapoitwa Baba wa Taifa ni baba yako? Kuna jambo hufanyika kumpa mtu hadhi ambayo huwa haifutiki
 
Nimemtaja Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu wote.

Hiyo "Pure Conscious Energy" ina upendo wote?

Hii ni dini mpya tu unaanzisha na kuivika majina ya kisayansi.

You are misrepresenting the double slit experiment in a very unscientific way.

How do you prove there is "Pure Conscious Energy"?

Are you a panpsychist?

I neither deserve nor desire any eternity of anything.
1.) Hili nimeshajibu kwenye post yangu hapo juu, au hajaisoma?

2.) Unaweza ukaiita dini mpya au chochote upendacho, ila ni taarifa mpya kwako, ipokee au ikatae kwa hoja. Au ulitaka nikupe hizo ‘dini’ zingine zisizo na utetezi wa hoja?

3.) Kwamba nafanya ‘misinterpretation‘, unatakiwa udhihirishe hilo kwa hoja, sio useme tu then itoshe. Dhihirisha kwa hoja.

4.) Hilo nimeshajibu kwenye kipengele cha ‘Delayed choice quantum eraser’, au hujaisoma?
 
Wakatoliki, kwa msaada wa vitabu fulani vya uwongo, (pseudepigraphical books)
Mkuu, tangu umeanza kuandika hapo juu kwenye hii comment nilikufuatilia kwa makini sana, ila ulipokuja hapo, ukarudi palepale ambapo mimeshasema wachangiaji wanatoa shutuma kishabiki kwa hisia bila ya reference.
Umeamua kuchagia mapendekezo ya wakatoliki kama ulivyoyaita. Umesehau kuwa hata Biblia unayoisoma ni mapendekezo yao.
Bado nasoma comments za watu. Nikimpata ambaye nitaona hakika yupo logical, japo nami nitafungua kabati la vitabu.
Otherwise nitaendelea kufuatilia watu wanavyo ventilate.
 
Back
Top Bottom