Leo nawataka wauza/wavaa tisheti kali tu

Leo nawataka wauza/wavaa tisheti kali tu

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Sikupi chimbo, nakupa maono! Nakupa code! Nakupa madini

Kama hutaki bas mzee usinichoshe, tusichoshane..

Kuna watu wanavaq brand kali sana wanapenda kung'aa. Leo natak nizingumzie code ya tisheti kali zinaitwa "Unkut" original, sio grade 2 za elf 9. Hizi unkut zimesimama, grade 1 mzee

Unalijua jengo linaitwa Miami? Mchikichi na Congo? Hapo ulizia mwamba mmoja anaitwa Mkombozi stoo. Chukua kazi kali, vaa katambe

Kalaga baho
IMG-20241014-WA0035.jpg
IMG-20241014-WA0041(1).jpg
IMG-20241015-WA0085.jpg
IMG-20241015-WA0057.jpg
IMG-20241015-WA0157.jpg
IMG-20241016-WA0194.jpg
 

Attachments

  • IMG-20241015-WA0172.jpg
    IMG-20241015-WA0172.jpg
    87.4 KB · Views: 5
Sikupi chimbo, nakupa maono! Nakupa code! Nakupa madini

Kama hutaki bas mzee usinichoshe, tusichoshane..

Kuna watu wanavaq brand kali sana wanapenda kung'aa. Leo natak nizingumzie code ya tisheti kali zinaitwa "Unkut" original, sio grade 2 za elf 9. Hizi unkut zimesimama, grade 1 mzee

Unalijua jengo linaitwa Miami? Mchikichi na Congo? Hapo ulizia mwamba mmoja anaitwa Mkombozi stoo. Chukua kazi kali, vaa katambe

Kalaga bahoView attachment 3131954View attachment 3131955View attachment 3131956View attachment 3131957View attachment 3131959View attachment 3131960
Kaka nongwa kwaiyo hizi ndo ile Ya mazoezi 12 au 11??
 
Mmh sijazielewa bado boss ebu weka nyingine..
Hizi je?[ATTACH
IMG-20241016-WA0194.jpg
IMG-20240723-WA0022.jpg
=full]3131982[/ATTACH]

Hizi ni chapa ya unkut! Ila kuna jamaa wanaitwa YLB store wapo Raha na congo chini ya jengonlinaitwa Raha redtaurant mturuki flani hiv

Hapo pia kuna wahuni kibao wanauza hizi. Kuna mchizi anaitwa sejo collection
IMG-20241004-WA0260.jpg
IMG-20241004-WA0258.jpg
IMG-20241004-WA0240.jpg
IMG-20241004-WA0246.jpg
IMG-20241004-WA0266.jpg
IMG-20241004-WA0284.jpg
IMG-20241004-WA0248.jpg
 

Attachments

  • IMG-20241016-WA0192.jpg
    IMG-20241016-WA0192.jpg
    49.5 KB · Views: 6
Hizi je?[ATTACHView attachment 3131981View attachment 3131983=full]3131982[/ATTACH]

Hizi ni chapa ya unkut! Ila kuna jamaa wanaitwa YLB store wapo Raha na congo chini ya jengonlinaitwa Raha redtaurant mturuki flani hiv

Hapo pia kuna wahuni kibao wanauza hizi. Kuna mchizi anaitwa sejo collection
View attachment 3131986View attachment 3131987View attachment 3131988View attachment 3131989View attachment 3131990View attachment 3131991View attachment 3131992
Active
Cookie
Naombeni msaada
 
Sikupi chimbo, nakupa maono! Nakupa code! Nakupa madini

Kama hutaki bas mzee usinichoshe, tusichoshane..

Kuna watu wanavaq brand kali sana wanapenda kung'aa. Leo natak nizingumzie code ya tisheti kali zinaitwa "Unkut" original, sio grade 2 za elf 9. Hizi unkut zimesimama, grade 1 mzee

Unalijua jengo linaitwa Miami? Mchikichi na Congo? Hapo ulizia mwamba mmoja anaitwa Mkombozi stoo. Chukua kazi kali, vaa katambe

Kalaga bahoView attachment 3131954View attachment 3131955View attachment 3131956View attachment 3131957View attachment 3131959View attachment 3131960
Models 3 tu ndo nimezielewa
 
Back
Top Bottom