Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #41
Nakupa codes kuhusu Raba hii kali ya Air Max
Buku nane hiyo ongezea elfu nne agiza bapa la nyagi Kula buku 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani 🙏🏾
Kaka naomba chimbo la magauni ya kikeNakupa codes kuhusu Raba hii kali ya Air Max
Buku nane hiyo ongezea elfu nne agiza bapa la nyagi Kula buku 8www.jamiiforums.com
Hizo nguo ni common sana mitaa ya Mchikichi na NyamweziKaka naomba chimbo la magauni ya kike
[emoji91]Sikupi chimbo, nakupa maono! Nakupa code! Nakupa madini
Kama hutaki bas mzee usinichoshe, tusichoshane..
Kuna watu wanavaq brand kali sana wanapenda kung'aa. Leo natak nizingumzie code ya tisheti kali zinaitwa "Unkut" original, sio grade 2 za elf 9. Hizi unkut zimesimama, grade 1 mzee
Unalijua jengo linaitwa Miami? Mchikichi na Congo? Hapo ulizia mwamba mmoja anaitwa Mkombozi stoo. Chukua kazi kali, vaa katambe
Kalaga bahoView attachment 3131954View attachment 3131955View attachment 3131956View attachment 3131957View attachment 3131959View attachment 3131960
FAKA hujambo?Mali safi
Huyo jamaa hanaga kazi mbovu...Unkut ni brand moja kali sana. Inatoa tisheti za kueleweka sana.. kama converse tu! Hao jamaa ni wakali sana kwenye tisheti za quality nzur.. chimboni hizi ni 17. Ukiivaa tisheti imesimama vibaya yani..
Nenda YLb store na wale jamaa wanaoangaliana nao pale. Achilia mbali kina sejo.. jamiiforums mafaza wengi humu zile hawavaiHuyo jamaa hanaga kazi mbovu...
Napafahamu hapo..
Japo Raha Tower kule ground sasa hivi wapo wengi..
Fulana za kisukuma hizo. Wanavaa sana wasukuma na mashemeji zangu wanyamwezi.Mmh sijazielewa bado boss ebu weka nyingine..
Mwanangu una nongwa kichizi.. we kabila gani nikutaftie za kikwenu za elfu 28Fulana za kisukuma hizo. Wanavaa sana wasukuma na mashemeji zangu wanyamwezi.
Nataka nifike zilipo mkuuJinzi mkuu zipo kibao.. kwa nn nisikuletee ulipo? Uko mkoa gani? Jinzi ziko za 20, zipo za 22 nyingine 25 kuna kazi nyengine mpaka 35. Unataka kwemda wenyewe nikuelekeze?
Raha RESTAURANT mtaa wa muhonda na Congo.Nataka nifike zilipo mkuu
Mi ni Mzigua90 wa HandeniMwanangu una nongwa kichizi.. we kabila gani nikutaftie za kikwenu za elfu 28
Huyo Nape kashakuchaji au bado?
Shukran mkuuRaha RESTAURANT mtaa wa muhonda na Congo.