Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #21
Castr my family
Mtu sana we jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu sana we jamaa.
Hizo kazi kaka, material super na kazi zimesimama kwelikweliModels 3 tu ndo nimezielewa
Nongwa huna nongwa mwananguSikujua kama na hizi unataka mkuu
Hii imekaa vizuri. Bei zipoje?Shadow itafte hiiView attachment 3132023
Sawq mkuu nitajitahidi.. mnataka bei ya dukani au bei yangu mana mm nakupa elelezo uende mwemyew ila watu wa mikoani wananicheki inbox naenda mmNi vizuri ukatuwekea na bei kabisa
Hii mkuu inauzwa 24 wauzaji wapo kariakoo ni watu wa printing wanaitwa dar city printing. Tanzania nzima wanazo wao tu hizo. Wachekicheki mitandaon hukoHii imekaa vizuri. Bei zipoje?
Ninakuza network, ninakuwa na wana jf.. nahitaji zaidi.. sooner nitaanza kuuza pochi za nos wangu pale kawe ukwamani. Mniunge mkono wazee sijaomba hela bila kazi wala sijawasumbua kunipa kazi. Nimejiongeza ndege, nikupe jinzi gani hapo Kilwa?Of course ni katangazo fulani hv amaizing sana ila kwa kuwa we mwanetu sana na daima unapenda tupendeze basi hatuna budi zaidi ya kwenda kuchukua pamba hapo kwa mwanao
Warwanda wako wametunyima hela makaveli 😂Mwanangu wa machimbo, huna baya mwamba
View attachment 3132348Kalaga baho nahitaji jinzi 2 mkuu, nicheki inbox uniletee leo mimi naishi Makumbusho. Nicheki inbox
View attachment 3132344
Hizo pullover n [emoji91][emoji91][emoji91]Hizi je?[ATTACHView attachment 3131981View attachment 3131983=full]3131982[/ATTACH]
Hizi ni chapa ya unkut! Ila kuna jamaa wanaitwa YLB store wapo Raha na congo chini ya jengonlinaitwa Raha redtaurant mturuki flani hiv
Hapo pia kuna wahuni kibao wanauza hizi. Kuna mchizi anaitwa sejo collection
View attachment 3131986View attachment 3131987View attachment 3131988View attachment 3131989View attachment 3131990View attachment 3131991View attachment 3131992
Unkut ni brand moja kali sana. Inatoa tisheti za kueleweka sana.. kama converse tu! Hao jamaa ni wakali sana kwenye tisheti za quality nzur.. chimboni hizi ni 17. Ukiivaa tisheti imesimama vibaya yani..Hizo pullover n [emoji91][emoji91][emoji91]
Jinzi mkuu zipo kibao.. kwa nn nisikuletee ulipo? Uko mkoa gani? Jinzi ziko za 20, zipo za 22 nyingine 25 kuna kazi nyengine mpaka 35. Unataka kwemda wenyewe nikuelekeze?Nipe chimbo la jeans na bei zake mkuu
Washamba wale, 🤣😂Warwanda wako wametunyima hela makaveli 😂
Tungejua mkuu tungewapeleka mnazi mmoja pale kitumbiniWashamba wale, 🤣😂
Ila naamini haikuwa riziki mzee.