Leo nawataka wauza/wavaa tisheti kali tu

Of course ni katangazo fulani hv amaizing sana ila kwa kuwa we mwanetu sana na daima unapenda tupendeze basi hatuna budi zaidi ya kwenda kuchukua pamba hapo kwa mwanao
Ninakuza network, ninakuwa na wana jf.. nahitaji zaidi.. sooner nitaanza kuuza pochi za nos wangu pale kawe ukwamani. Mniunge mkono wazee sijaomba hela bila kazi wala sijawasumbua kunipa kazi. Nimejiongeza ndege, nikupe jinzi gani hapo Kilwa?
 
Hizo pullover n [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…