Leo nayatoa ya moyoni

Mkuu Ushimen katika hii battle i will stand on the side of your x! kakuchakaza kijinga sana... kwa lipi hasa mtu hujazaa nae unam cancel still umsomeshee watoto wa mwanaumme mwenzio?! ili iweje sasa? we HakiElimu ama vepe??
Ni mapenzi tu, hujui alichokuwa akifanyiwa, alimpenda kwa dhati na niwazi bidada alimdanganya kuwa baba wa mtoto kawatekeleza. lol
 
Najaribu kuangalia unavyo jitahidi kufungua macho walau uweze waona ID zao kwenye maandishi aiseeee....[emoji1] [emoji1]

ila mimi nina swali mkuu

On serious note

Huyo X ni mtamu? I mean anajua mambo?
 
Mie naomba tu uni P.M. Huyo X walau tu nimjue ha ha ha ha lol...aise pole sana.
 
Tena hatari sio kidogo aiseeee.....
Ngoja kwanza nijifikirie, kama vipi nitawataja kwa I'd zao kwenye herufi 1 ya mwanzo na 2 za mwisho
Hapo nikishindwa kujiongeza najitukana kwa kingereza.....i lav me!!!
 
Kumbe ulikuwa mkwala tu kuwa ukitaka hata hapakuchi utakuwa umeshamfahamu...
Naomba nikupuuze kulikotukuka.
Niwafahamu,nisiwafahamu.....
Ulitaka nije niwaanike hapa au nikuambie?
Kwa mtonyo gani?
 
ila mimi nina swali mkuu

On serious note

Huyo X ni mtamu? I mean anajua mambo?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Anapitapita hapa jamvini aiseeee...
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Anapitapita hapa jamvini aiseeee...
[emoji125] [emoji125] [emoji125]

kweli tena mimi mizigo kama hiyo naipenda...with more experirience they must be good at it
 
Hii picha ilikuwa ngumu pia ilinipotezea muda wangu sana katika kuuchimba ukweli wa pande zote mbili... nilitumiwa mpaka cheti cha ndoa cha mlalamikaji akiwa ameolewa na mwanaume mwingine. sikutaka kumhukumu mtu kwa kuwa naijua maana ya haki ya msingi ya mtuhumiwa na kwa kuwa mtuhumiwa alikuwa Rafiki Yangu nikamuhoji katika kuupata ukweli ni upi.

ni mahojiano yalioambatana na hasira, malalamiko, lakini mwisho wa siku nilimuelewa na kumwambia kile ambacho anatakiwa kufanya. lakini cha ajabu hata mimi rafiki yake akanichukia na hata pale nilipokuwa nikimtania alikuwa tofauti na mimi. Upande wa mlalamikaji nae alinipa vitu kibao ambavyo vilinithibitishia kuwa kuwa mlalamikaji alikuwa na haki. nilitumiwa mpaka mambo ambayo hayafai lakini mwisho wa siku nikabaki nimetulia kuangalia game na mnyukano. Kila siku upande wa mlalamikaji ulikuwa ukija na Ushahidi mzito lakini kile nilichokiongea na@USHIMEN bado kilikuwa ndio msimamo wangu. Licha ya mlalamikiwa kunichukia lakini bado nilimuona ana haki ingawa si kwa asilimia mia moja na bado nilikuwa nikimpenda kama dada. Hatimaye Majuzi nadhani amelitambua na ameendelea kuwa Dada Rafiki. Mengine yataendelea kuwa siri katika maisha Yangu.

TUKUBALIANE NA UKWELI NA TUANZE MOJA KATIKA HILI. HONGERA USHMEN KWA KUONGEA UKWELI.

MAKAPUKU
for
life
 
Heshima kwako ibra87.

SASA NISEME WAZI KWAMBA NIMEAMUA RASMI KUFUNGA UKIRASA WA UZI HUU,
Naomba mnisamehe wale wote nilio wakwaza na kwa wale wadada mnao nyukana pasipo mashiko, nawasihi tu msameheane kwa hili lililo toke na kumbukeni kwamba ninyi ni watu wazima na mna watoto wanao wategemea.
Maisha yaendelee jamani
 

hahahahahahhahaahhaah...duhhhhhh

JF Big brother hiii meeeen

sasa mkuu....mimi naomba tu huyo ex wa msela mwambieni aje kwangu

Mi napenda watu wenye experience
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…