Leo nayatoa ya moyoni

Leo nayatoa ya moyoni

Jamani,baada ya kuusoma huu uzi kwa utulivu wa hali ya juu na kuutafakari kulikotuka.....
Naomba nami nitoe yangu ya moyoni.
Kwanza nianze na wewe X,umetuvua nguo wanawake wenzio mama,tena hasa sisi tulio na wapenzi wetu huku JF ndio tumebaki uchi haswaaaa!
Umalaya huo umalaya gani?
Hivi unatumia pesa za mwanaume wako wa wakati huo unaenda kuchukulia sijui kupanga hotel na kulala na the so called X wako?

Hivi kwanini huwa hamuwezi kuachana na wanaume zenu moja kwa moja?
Huku unataka,huku unataka....
Ona sasa umelipiga bakuli la dhahabu teke unabaki unajiliza liza.
Mbaya zaidi umepigwa picha ya uchi ukiwa 'on top!'
Uwiiiiiii Nifah mimi ningekufa jamani!
Ushimen una moyo sana,hongera.

Halafu unaonekana malaya uliyekubuhu maana una watoto na kila mwanaume!
Una waume wangapi mama?Maana kuna sehemu katika story nimeona "mume wa pili"!!!!

Katika wanawake wapumbavu wewe namba 1!
Unapata mwanaume anakusomeshea watoto?Mungu akupe nini mwanamke? Loooh!

Haya,baada ya upuuzi wako ukapotezewa bwana mkubwa akampata 'mchuchu' mwingine,ndio nini kumtesa hivyo mwanamke mwenzio?
Ajabu ni watu wazima mlioko kwenye 30's zenu!

Una bahati sana umempata huyo KILAZA,ningekuwa mimi Nifah ndio NG (New GF) ungekomaje?
Kaa pembeni bibi weeee,acha wenye stara zao wajilie vyao.
Shankupe wewe endelea kupasha viporo na mumeo (wewe unamuita X) huko.
Huna hadhi ya kula vipya,vyako viporo tu.
Nifah hili suala lilikuwa gumu na bado ni gumu tena sana... Hiii vita inapiganwa kwa mbinu na kila aina ya SILAHA tusubiri part 2
 
Umakini ndio maisha mama. Na wakikutumia wakimaliza wanahadithiana. Hahaha nacheka kama mazuri
HAYA BAADHI YA WANAWAKE WA JF JIANGALIENI MNAVYODHARAULIWA NA HAWA BAADHI YA WANAUME WA DAR, WANAPASIANA TU. Muwe makini sana.
 
Yani mleta mada kwa sisi wanawake TUNAMUITA MWANAUME WA HAJA, MWANAUME WA MAANA, YANI ANGEPATA MWANAMKE ANAEJITAMBUA TU, Tatizo Kapata Mwanamke Chizi na asieangalia future ya watoto wake na yeye mwenyewe, hawa watu walifika hatua nzuri yani kwa upande wa mwanaume nadahni alikuwa na nia njema kabsaa, na ukumbuke walikuwa wanapanga kila kitu usikute ulibaki muda mfupi wa ndoa, Mungu akaamua kumuonyesha kama mwanamke ulieanae ni JINI MAHABA, LAKINI HAPO HAKUNA CHA KUMSHANGAA.
Shoga umenifurahishaje?Hebu kunywa chochote upendacho pls.

Huyu Mungu nae ana maajabu sana jamani!
Mwanaume wa maana anampa mwanamke mpumbavu,malaya asiyejitambua.
Inauma sana.
 
Shoga umenifurahishaje?Hebu kunywa chochote upendacho pls.

Huyu Mungu nae ana maajabu sana jamani!
Mwanaume wa maana anampa mwanamke mpumbavu,malaya asiyejitambua.
Inauma sana.
Kwakweli roho imeniuma, hana mana hata chembe, hakuwa mwanamke bora, bali bora mwanamke
 
Chezea kuachwa wewe?
Huhuuuuuuu nijikalie kimya mie.
Naona JIPU limeiva,linatumbuka lenyewe.
Nifah kuna mengi sana tena sana. mengi yamesemwa na mengi yakatendeka... ukaribu wangu na dada yangu nikawa mtu wa kutupiwa tuhuma zote. lakini nikawa na imani na dada angu
 
Hujawajua tu?
Mbona kuna sehemu humu wana ligi X na NG na wanatajana kabisa?
Hufai wewe,tutakupa ban kwenye chama cha wambea.
Ha ha ha si unajua TUNAZIDIANA UTAFITI lol. sijawajua na nahisi ndio sabab leo nimeamka na homa.
 
Umakini ndio maisha mama. Na wakikutumia wakimaliza wanahadithiana. Hahaha nacheka kama mazuri
ha ha ha hah kazi ipo. yani jf muda mwengine kama maskani za mitaani..Wakikataliwa au kuchuniwa PM pia wawe wanahadithiana basi.
 
Wanahadithiana pia. Kwa hiyo ukikatalia kadhaa wanaacha kuja pm. Ukikubalia watatu umeita mkutano wa nzi
ha ha ha hah kazi ipo. yani jf muda mwengine kama maskani za mitaani..Wakikataliwa au kuchuniwa PM pia wawe wanahadithiana basi.
 
Back
Top Bottom