Leo nayatoa ya moyoni

Leo nayatoa ya moyoni

Pole kiongozi ila JF kuna ma pretenders wengi sana hizi ID zinaficha mengi nakumbuka 2012 niliopoa kibibi humu ndani jinsi kilivyokuwa kinanata kama under 20 wengine wake za watu ila ukiwa nae chemba anakwambia am single kivumbi kinakuja siku umetulia zako unakuta kuna namba ngeni inakupigia simu inakuchimba mkwara kuwa unachukua mali yake...sema mwisho wa siku JF idumu mana tumepata na wachumba humu na marafiki wa kudumu.
Hongera kwa kupata mchumba humu

Msitusahau kwenye harusi yenu
 
Kiongozi Ushimen, ulikuwa unawasomesha watoto wa X wako?
Kwa nini ulipenda kuwaleta girls wako jf baada ya kuwa wapenzi, huoni kuwa uliwaleta kwenye midomo ya simba?

Pole sana, best way kufurahia hii platform ni kujiweka mbali na pm. Nilijifunza kitu juzi hapa, don't trust strangers, waweza kushangaa simple conversations baina yako na mwenzako zimekuwa "talk of the forum" bila wewe kujua. Kuna viazi humu balaa...
Khaa kuna viazi kumbe..sweet au irish potatoes[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu Ushimen katika hii battle i will stand on the side of your x! kakuchakaza kijinga sana... kwa lipi hasa mtu hujazaa nae unam cancel still umsomeshee watoto wa mwanaumme mwenzio?! ili iweje sasa? we HakiElimu ama vepe??
Au ndo wale wanaume wa rombo wa kusaidiwa na wa Kenya nn?
 
Huu uzi leo ndio dinner yangu,sibanduki hapa hata kwa katapila.
Dah,nina hamu iliyotukuka ya kuona mwisho wake.
Huhuuuuuu JF tamu sana aisee.
nifah muhusika anaanza na k.... Mwisho wa story umalizie jina. Ahaaaaaa huu ubuyu mtamu!
 
hivi ni njia gani hawa watu hutumia kupata wachumba,?........sielewi!..
 
Acha tu rafiki nilijionea mwenyewe sema na mimi ubishi wangu mana alikuwa akinambia utauweza mziki wangu ila nikawa najua ni changamsha Genge labda anayaweza sana kumbe anaongelea umri...
Pole sana mkuu huku kuna wabibi na wababu hata mkikutana ka mwapendana hamna shida mkuu
 
Hivi ....
Kama unapata mshahara wa 8m, then ukawa na mpenzi wako na kisha ukaamua kumlipia ada mtoto wa mpenzi wako kuna ubaya?
kwa hili tuu bas pm zitajaa maana inaoneka baadhi ya wanawake wenzangu ni mama huruma.
 
Back
Top Bottom