Leo ndio leo - TAIFA STARS vs CHAD uwanja wa Taifa

Leo ndio leo - TAIFA STARS vs CHAD uwanja wa Taifa

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
jan10.JPG


TAIFA Stars ilithubutu kuifunga Chad kwao, leo iifunge timu hiyo Uwanja wa Taifa Dar es Salaam ili isonge mbele.

Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumza mtihani muhimu kwa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakati itakaporudiana na Chad mchezo wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014.

Mchezo wa kwanza uliochezwa N’djamena, Chad Ijumaa iliyopita Taifa Stars iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 yaliyofungwa na Mrisho Ngassa na Nurdin Bakari.

Kama ikifanikiwa kushinda mchezo wa leo, Taifa Stars itakuwa kundi moja na nchi za Morocco, Ivory Coast na Gambia katika kampeni za kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza mwakani, ambapo fainali zake zitafanyika Brazil mwaka 2014.
 
Mechi inachezwa saa ngapi kwa wenye taarifa zaidi Kiingilio cha chini ni TZS 2,000 na cha juu kabisa ni 20,000
 
kuna chanel yoyote imepanga kuonyesha...TBC, STARTV..!!??
 
jamani hilo game linaanza saa ngapi kwa mida ya Tz, hakuna anayejua?
 
Taifa Stars huwa wanafungwa mechi muhimu,kumbuka ile na Mozambique.Subiri leo uone.Mie huwa siwaamini.Any way tunawatakia kila la kheri kwani watz wana hamu ya kuiona timu yao ikifika mbali.
 
Mechi inaanza saa 10 jioni kwa saa za hapa nyumbani kwa hiyo bado saa moja mtanange uanze, Tanzania to win 3-1
 
hii nimeipata kwenye website ya tff

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"]Vikosi vya Mechi ya Leo Stars VS Chad [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]https://www.jamiiforums.com/index.p...s-chad&format=pdf&option=com_content&Itemid=2[/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]https://www.jamiiforums.com/index.p...out=default&page=&option=com_content&Itemid=2 [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]https://www.jamiiforums.com/index.p...0YXJzLXZzLWNoYWQmY2F0aWQ9MzpuZXdzJkl0ZW1pZD0y [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]Written by Super Administrator [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: createdate"]Tuesday, 15 November 2011 09:39 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania (Taifa Stars) vs Chad
2014 FIFA World Cup- Brazil
Preliminary Competition African Zone
(Round one- 2nd leg)
1600hrs- Tuesday 15th November 2011
National Stadium

Taifa Stars:
Juma Kaseja (1)
Shomari Kapombe (2)
Idrissa Rajab (15)
Juma Nyosso (4)
Aggrey Morris (6)
Shabani Nditi (19)
Thomas Ulimwengu (20)
Henry Joseph (17)
Mbwana Samata (10)
Nizar Khalfan (16)
Mrisho Ngassa (8)

Subs:
Mwadini Ally (18)
Erasto Nyoni (12)
Hussein Javu (23)
Mohamed Rajab (11)
Ramadhan Chombo (21)
Abdi Kassim (13)
Nurdin Bakari (5)
John Bocco (9)
Juma Jabu (3)
Godfrey Taita (7)

Chad (tentatively line up)
Brice Mabaya (1)
Sylvain Doubam (5)
Massama Asselmo (15)
Armand Djerabe (4)
Yaya Karim (2)
Herman Doumnan (6)
Ferdinand Gassina (17)
Ahmat Mahamat Labo (10)
Ezechiel Ndouassel (11)
Hassan Hissen Hassan (7)
Dany Karl Marx (9)

Subs:
Cesar Abaya (12)
Wadar Igor (13)
David Mbaihouloum (8)
Dillah Mbairamadji (16)
Djingabeye Appolinare (3)
Rodrigue Casmir Ninga (18)
Mahamat Habib (14)
Marius Mbaiam (
Abakar Adoum (
Jules Hamidou (
Ekiang Moumine (
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kikosi cha mauuji kitakuwa hivi...

Juma Kaseja (1)
Shomari Kapombe (2)
Idrissa Rajab (15)
Juma Nyosso (4)
Aggrey Morris (6)
Shabani Nditi (19)
Thomas Ulimwengu (20)
Henry Joseph (17)
Mbwana Samata (10)
Nizar Khalfan (16)
Mrisho Ngassa (8)

Subs:
Mwadini Ally (18)
Erasto Nyoni (12)
Hussein Javu (23)
Mohamed Rajab (11)
Ramadhan Chombo (21)
Abdi Kassim (13)
Nurdin Bakari (5)
John Bocco (9)
Juma Jabu (3)
Godfrey Taita (7)
 
Back
Top Bottom