Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
- Thread starter
- #21
Game imeishaanza mbele wako Samata na Ulimwengu wakisaidiwa na Henry na Ngassa na Nizar ushindi upo japo mapema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dakika ya 30 Tanzania tunacheza kwa kujiamini sana tumekosa magoli 2 ya wazi, hawa jamaa weupe kwa kweli
Huyu kocha akipigwa leo anafungashiwa vilago kwa nini hajawapanga wachezaji wa Yanga??
Any updates?
Bado ni bilabila.