Leo ndio mwanzo na mwisho kwa Mayele kufunga hatrick michuano ya CAF

Leo ndio mwanzo na mwisho kwa Mayele kufunga hatrick michuano ya CAF

Mimi ni Simba damu tena lia lia, mtu yeyote anayejua soka kama mimi bila ushabiki wala unazi, Mayele ni Mtu Kazi,.jamaa movements zake ni za hatari sana, ni mshambualiaji hatari sana, sio wa kawaida kwa level zetu za kibongo, Leo amefunga tena hatrick kwa timu mbovu ambayo sijapata kuiona tangu niujue mpira, alikuwa akifanya atakavyo mzee wa kutetema.

Hata hivyo, namhakikishia Mayele Leo ndio mechi yake ya mwisho kufunga hattrick kwenye michuano hiyo, hutakuja kukutana na vibonde tena kama Zalan, hatua mliyoingia sasa hivi kwa mpira ule hadi mbustiwe half time, nawaaga michuano ya Caf kwenu bye bye, mechi inayofuata mnaanza hapa kwa Mkapa na mnakwenda kuchinjiwa huko Ethiopia au Sudan kwa Ibenge.

Shukuruni Mungu mkitolewa raundi ya 2 mtaenda kwenye michuano ya Confederation kupambana tena. MAYELE akifunga tena hattrick nitakwenda kufanya usafi uwanja aa kaunda nikiwa uchi wa mnyama.Kudadadeki.
Kwaiyo mnaanza kutafuta kichaka cha kujifichia baada ya kufeli kila kitu, yanga wanachoitaji ni ushindi full stop aijalishi wamefungaje iyo habari ya hat trick ni mengineyo kwenye mpira wa miguu sio lazima kufunga kila mechi kwasababu mayele achezi peke yake uwanjani ndio maana kukawepo wachezaji 11, Team work ndio inayoleta matokeo na ayo mengine ni nyongeza tu, Mayele keshaonyesha ubora wake kwaiyo unapolala unamuota mayele na kumuwekea masharti ya ajabu ajabu kana kwamba anacheza peke yake uwanjani ayo masharti pia kawawekee kina boko na kibu denis pia
 
Yanga na michuano ya kimataifa wapi na wap, kila kitu kinawakataa mpaka rekodi zinakataa kuwabeba, mmekutana na timu mbovu mpaka haielezeki,
Haya bc tusubiri kuona mayele afunge tena hat trick c mnasem atafunga?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kwa mfano ikatokea leo simba akafungwa zaidi ya goli mbili na wamalawi, napo wamalawi waseme wamekutana na timu mbuvu?
 
Kwaiyo mnaanza kutafuta kichaka cha kujifichia baada ya kufeli kila kitu, yanga wanachoitaji ni ushindi full stop aijalishi wamefungaje iyo habari ya hat trick ni mengineyo kwenye mpira wa miguu sio lazima kufunga kila mechi kwasababu mayele achezi peke yake uwanjani ndio maana kukawepo wachezaji 11, Team work ndio inayoleta matokeo na ayo mengine ni nyongeza tu, Mayele keshaonyesha ubora wake kwaiyo unapolala unamuota mayele na kumuwekea masharti ya ajabu ajabu kana kwamba anacheza peke yake uwanjani ayo masharti pia kawawekee kina boko na kibu denis pia
Yaani mayele kawafanya hadi kumsahau mshambuliaji wao wa kizungu
 
Yani Utopolo wanataka kuozesha dada zao kwa Mayele mahari ni zile bao sita
 
Back
Top Bottom