Leo ndio mwanzo na mwisho kwa Mayele kufunga hatrick michuano ya CAF

Leo ndio mwanzo na mwisho kwa Mayele kufunga hatrick michuano ya CAF

Hongera kwa kuanza kutetema hadharani najua unawakilisha Makolo wenzako sema tu walikuwa wanatetema maliwatoni.

Niwakumbushe tu Mayele ni hatari hata sisi Yanga tunamuogopa
Mimi ni Yanga lia lia namuogopa sana Mayele tangu asifiwe Inonga Varane kuwa ndio kiboko ya Mayele nae Mayele akawapasua Simba goli mbili safi huku Inonga Varane akiwa uchochoro!!

Mayele anafunga timu yoyote iwe mbovu iwe nzuri, iwe ya ndondo iwe club bingwa ya dunia ye anapiga tu na kufumua mishono yote!!Simba na uzuri wao wanaojisifu Mayele aliwafanya asusa!!

Mayele anafunga magoli aina zote na hakabiki.

Goli la tatu leo la Mayele ni la kiwango cha dunia hata Brazil au Man City wangefungwa tu na Mayele! Mayele ndo kiboko ya Simba kwasasa hawamuwezi!!
 
Ebwana hii Zalan ni mbovu tuache utani. Kuna timu za mtaani hapa Dar zinaweza kupiga mpira kuzidi hawa jamaa.
 
Hadi kaanzishiwa thread special kwa ajili yake!!? Dah, Mayele now level za juu sana.
 
Mimi ni Simba damu tena lia lia, mtu yeyote anayejua soka kama mimi bila ushabiki wala unazi, Mayele ni Mtu Kazi,.jamaa movements zake ni za hatari sana, ni mshambualiaji hatari sana, sio wa kawaida kwa level zetu za kibongo, Leo amefunga tena hatrick kwa timu mbovu ambayo sijapata kuiona tangu niujue mpira, alikuwa akifanya atakavyo mzee wa kutetema.

Hata hivyo, namhakikishia Mayele Leo ndio mechi yake ya mwisho kufunga hattrick kwenye michuano hiyo, hutakuja kukutana na vibonde tena kama Zalan, hatua mliyoingia sasa hivi kwa mpira ule hadi mbustiwe half time, nawaaga michuano ya Caf kwenu bye bye, mechi inayofuata mnaanza hapa kwa Mkapa na mnakwenda kuchinjiwa huko Ethiopia au Sudan kwa Ibenge.

Shukuruni Mungu mkitolewa raundi ya 2 mtaenda kwenye michuano ya Confederation kupambana tena. MAYELE akifunga tena hattrick nitakwenda kufanya usafi uwanja aa kaunda nikiwa uchi wa mnyama.Kudadadeki.
goli 3 tena? hata moja ni itakuwa ngumu kwake
 
Mimi ni Simba damu tena lia lia, mtu yeyote anayejua soka kama mimi bila ushabiki wala unazi, Mayele ni Mtu Kazi,.jamaa movements zake ni za hatari sana, ni mshambualiaji hatari sana, sio wa kawaida kwa level zetu za kibongo, Leo amefunga tena hatrick kwa timu mbovu ambayo sijapata kuiona tangu niujue mpira, alikuwa akifanya atakavyo mzee wa kutetema.

Hata hivyo, namhakikishia Mayele Leo ndio mechi yake ya mwisho kufunga hattrick kwenye michuano hiyo, hutakuja kukutana na vibonde tena kama Zalan, hatua mliyoingia sasa hivi kwa mpira ule hadi mbustiwe half time, nawaaga michuano ya Caf kwenu bye bye, mechi inayofuata mnaanza hapa kwa Mkapa na mnakwenda kuchinjiwa huko Ethiopia au Sudan kwa Ibenge.

Shukuruni Mungu mkitolewa raundi ya 2 mtaenda kwenye michuano ya Confederation kupambana tena. MAYELE akifunga tena hattrick nitakwenda kufanya usafi uwanja aa kaunda nikiwa uchi wa mnyama.Kudadadeki.
You need to seek toilet paper before you sit on the stool.
 
Bomu Limeelekezwa 'Mochwari'....!

Ajabu Watu wanalia machozi Ya Furaha Kwa kuifunga 'Eti' timu Inaitwa ZALANI...Mechi zote upo kwenu...!
there is so many ways of killing bed bugs{kunguni} provided they are dead.
 
Yanga na michuano ya kimataifa wapi na wap, kila kitu kinawakataa mpaka rekodi zinakataa kuwabeba, mmekutana na timu mbovu mpaka haielezeki,
Haya bc tusubiri kuona mayele afunge tena hat trick c mnasem atafunga?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Yanga wanachoitaji ni ushindi tu msianze kuamisha mada kutafuta kichaka cha kujifichia, mnaanza kuanzisha mada zisizokuwa na kichwa wala miguu ili asipofunga hat trick ndo iwe kichaka chenu cha kupatia pa kupumulia, Yanga inacheza kama timu na sio mayele ndo anacheza peke yake uwanjani
 
Back
Top Bottom