Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa.

Nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizuri.

Mnapopatwa na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tu ni tiba pia.

====

MAONI YA MWANASAIKOLOJIA NA MSHAURI WA MASUALA YA AFYA JAMII, JIWA HASSAN
 
😂😂😂 Ukimaliza, jiqngalie kwa kioo na ujiulize kwanini unalia
 
Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
 
Ulilia kwa dakika ngapi ukapata nafuu?
 
Mligeuka kua bendi ya Washirika watu njatanjata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…