Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Ukweli mimi huwa ni ngumu sana yaani kuna wakati nilipatwa na msiba ule mv nyerere bwana mdogo alienda pamoja na mke wake japo niliumia mno yaani moyoni nahisi kabisa nalia lknb machozi hayatoki hata kidogo
nikaona isiwe tabu nikavunga tu

chaajabu kesho yake hata sauti haitoki hata kidogo watu wakawa wanasema uliupaswa ulie kwa sauti.
Nasubiri ukifa.Ntalia huku namkonyeza mkeo.
 
Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
Madhara ya pombe hayo...ilistimulate oxytocin...
 
Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
😂😂😂😂😂😂
 
Kuna siku nililia sana yani... Zaidi ya saa nzima... Kila wandugu wakiuliza kinachoniliza ndio kama walikuwa wanachochea... Simu zinapigwa kila mahali hata kuongea siwezi ni kilio tu... Kwi kwii na machozi kutiririka...

Maisha yako na dimensions nyingi.
 
Absolutely, unafiwa na baba yako halafu unaambiwa usilie jikaze we mtoto wa kiume! Utajikaza sawa ila moyo unabaki na majeraha ya sonono kwa muda mrefu yanayopelekea kuchukua uhai wako pia.
Wenzetu wanalia wanamaliza kabisa chapter
Kifo hakina mbabe, great anger mixed with deepest sorrow, kuna kitu kinakaba kooni..haielezeki. ila chozi kama chozi halitoki.
 
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Machozi hupunguza maumivu na sumu nyingi mwilini

Thread 'Hata wanaume hulia' Hata wanaume hulia
 
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Machozi hupunguza maumivu na sumu nyingi mwilini

Thread 'Hata wanaume hulia' Hata wanaume hulia
 
Ni kweli dawa ni kulia tu...acha tulie tujiponyeshe...lieniii😃
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
 
Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
Hii umenikumbusha mbali😂😂😂


Itoshe kusema wanaume tumeumbwa tofauti sana
 
Back
Top Bottom