Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Watafiti wanasema mtu anapolia mwili unaachia oxytocin na opiods fulan zinaitwa endorphins,
Hizo kemikali zinasaidia kuondoa physical and emotional pain.

Ni kweli kulia kuna faida sana.
 
Watafiti wanasema mtu anapolia mwili unaachia oxytocin na opiods fulan zinaitwa endorphins,
Hizo kemikali zinasaidia kuondoa physical and emotional pain.

Ni kweli kulia kuna faida sana.
Ndiyo tulielie tu kama majuha?Aaarh waaapiii!Lieni wenyewe.
 
Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
Ulikua unalia umbea.
 
Hakikisha unakua mwenyew unalia Kwa Raha zako Kwa kujiachia
Nitajipaje tathmini ya kiwango changu cha kulia?Ni vema wakawepo wathaminishaji wa uliaji wangu,kiwango cha sauti,mikunjo ya midomo na utetemekaji mwili wakati wa zoezi ili nijue kama nipo good au nafeli sehemu niongeze manjonjo.
 
Sio unalia mara hodi unaacha kwanza unaenda kufungua..au mara unaitwa na mtoto unaacha...unatakiwa uende hata porini au chooni ndo sehemu nzuri au bafuni..
Usijifiche.Lia tukuone live!Na tutapendekeza kama uliaji wako ni mzuri au ni boring tu.
 
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
kwahivyo umeona rasmi faida muhimu za kububujikwa na machozi, right?🐒
 
Back
Top Bottom