Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

Katika mambo naenjoy katika maisha yangu ni kulia

Yaani nalia zangu weeeeh hadi nichoke halafu najifuta machozi najifunika shuka nalala....Mtu akiniamsha naangua tena kilio naliaaaaaa hadi nilale zangu mwenyewe.......😅
 
Hapo utakua haujitibu bala unaongeza mshtuko wa moyo..kwa mawazo ya fulani ananionaje domo langu..au nafananaje sura...
Unatakiwa usijibanebane wakati wa kulia.Jiachie huku unaongea vimanenomaneno kama mganga wa kienyeji.Cry it loudly!Do it more professional and for health-wise.
 
Absolutely, unafiwa na baba yako halafu unaambiwa usilie jikaze we mtoto wa kiume! Utajikaza sawa ila moyo unabaki na majeraha ya sonono kwa muda mrefu yanayopelekea kuchukua uhai wako pia.
Wenzetu wanalia wanamaliza kabisa chapter
Mkuu nenda Kalilie hata chooni au bafuni
 
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Hata Mimi mtoto wangu akilia,namwangalia tuu akimaliza kulia namba,anakuwa kachangamka!Pia kwa mtoto mchanga akilia muache kidogo ndo umpe nyonyo mapafu yanakua vizuri(strong)!
 
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Amen,Mimi hufanya hivo piaa
 
Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
😂😂
 
Back
Top Bottom