Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #81
kwahivyo umeona rasmi faida muhimu za kububujikwa na machozi, right?🐒
Ndiyo mkuukwahivyo umeona rasmi faida muhimu za kububujikwa na machozi, right?🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahivyo umeona rasmi faida muhimu za kububujikwa na machozi, right?🐒
Ndiyo mkuukwahivyo umeona rasmi faida muhimu za kububujikwa na machozi, right?🐒
Unatakiwa usijibanebane wakati wa kulia.Jiachie huku unaongea vimanenomaneno kama mganga wa kienyeji.Cry it loudly!Do it more professional and for health-wise.Hapo utakua haujitibu bala unaongeza mshtuko wa moyo..kwa mawazo ya fulani ananionaje domo langu..au nafananaje sura...
Ndo maana ya kukaa peke yako ili kilio kiende vzr..Unatakiwa usijibanebane wakati wa kulia.Jiachie huku unaongea vimanenomaneno kama mganga wa kienyeji.Cry it loudly!Do it more professional and for health-wise.
Evaluation team haitokuwekea viwango na alama stahiki.Jumuika usijitenge kama muhavi/mchawi.Ndo maana ya kukaa peke yako ili kilio kiende vzr..
Kweli kabisa ndo nimerealize iko kitu hamna kitu kibaya kama kubeba sorrow Na maumiv mwiliniNdiyo maana Wanawake mnaishi muda mrefu kuliko sisi wa baba!
Mkuu nenda Kalilie hata chooni au bafuniAbsolutely, unafiwa na baba yako halafu unaambiwa usilie jikaze we mtoto wa kiume! Utajikaza sawa ila moyo unabaki na majeraha ya sonono kwa muda mrefu yanayopelekea kuchukua uhai wako pia.
Wenzetu wanalia wanamaliza kabisa chapter
Ni mwendo wa kulia tuNi kweli dawa ni kulia tu...acha tulie tujiponyeshe...lieniii😃
Unalia kama mtoto anavoliaga😅😅😅Nitajipaje tathmini ya kiwango changu cha kulia?Ni vema wakawepo wathaminishaji wa uliaji wangu,kiwango cha sauti,mikunjo ya midomo na utetemekaji mwili wakati wa zoezi ili nijue kama nipo good au nafeli sehemu niongeze manjonjo.
Yes uzuri Mimi nlikua mwenyewe home nikafungulia mzikiSio unalia mara hodi unaacha kwanza unaenda kufungua..au mara unaitwa na mtoto unaacha...unatakiwa uende hata porini au chooni ndo sehemu nzuri au bafuni..
Unapaswa kulia kwa viwango na ubunifu sana.Kuna kipindi unatakiwa ulie kama lori linapanda mlima huku gia zinabadilishwa.Unalia kama mtoto anavoliaga😅😅😅
😂🤣Unapaswa kulia kwa viwango na ubunifu sana.Kuna kipindi unatakiwa ulie kama lori linapanda mlima huku gia zinabadilishwa.
Hata Mimi mtoto wangu akilia,namwangalia tuu akimaliza kulia namba,anakuwa kachangamka!Pia kwa mtoto mchanga akilia muache kidogo ndo umpe nyonyo mapafu yanakua vizuri(strong)!Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Pole sana😂😂😂Yani nlikua nshaanza kuishiwa nguvu Na depression
Hii serious au utaniUkimaliza OSHA macho Kwa Maji ya baridi ya kwenye fridge itapendeza Zaidi
Amen,Mimi hufanya hivo piaaHatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
😂😂Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.