Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipoanzisha hapa Uzi last week kuwatakeni muwe mnalia hata mara moja tu kwa Mwezi si mliniona Mimi ni Muongo?Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Mbege?Maji😊
🤣🤣🤣🤣🙌🏾Ukitetemeka nchale.Na ukijichezecha kama pun'go nakulenga nchale tu.Uchichikitike.
😀😀Ulikua unalia umbea.
Ahsante mkuuPole sana
Ni serious kabisaHii serious au utani
Lieni ili msife mapemaUsitushauri wanaume kulia...
😅Miss Maria naomba unisaidie namba yako unishauri jinsi ya kulia
Hamtaki kurithi nyumba na madeni tukifa mapema?Lieni ili msife mapema
Kabisa.Maana kulia ni fani tosha.Kuna uliaji wake kulingana na uzito wa tukio.Kuna kulia kwa kwikwi,kwa sauti ya chinichini na kulia kwa sauti ya juu huku unatamka kila neno likuijialo kichwani kama unanena kwa lugha.Full ubunifu.Miss Maria naomba unisaidie namba yako unishauri jinsi ya kulia
Hapa sio suala la kuwa evaluated..hapa ni kupata muda mzuri wa kumwaga uchungu..hofu..na mashaka kupitia machozi yako...hivyo ili hili litokee inabidi ubongo usiwe disturbed uwe na kazi moja ya kuchakata hisia za uchungu ili kuleta machozi yaweze kutoka nje na uchungu wote uondoke...Evaluation team haitokuwekea viwango na alama stahiki.Jumuika usijitenge kama muhavi/mchawi.
Mna kazi sana ninyi wenye macho yenye machozi.Hapa sio suala la kuwa evaluated..hapa ni kupata muda mzuri wa kumwaga uchungu..hofu..na mashaka kupitia machozi yako...hivyo ili hili litokee inabidi ubongo usiwe disturbed uwe na kazi moja ya kuchakata hisia na uchungu ili kuleta machozi yaweze kutoka nje na uchungu wote uondoke...
Mm siku hizi ndo nimepunguza kidogo au tuseme sanaMna kazi sana ninyi wenye macho yenye machozi.
Umekua raia sugu.Mm siku hizi ndo nimepunguza kidogo au tuseme sana
Kabisa. Sasa mtoto wangu alie na mimi nilie kweli? Kinachobakia kwa sasa nikienda kwenye misiba hata ya watu ambao sio wa karibu sana naliaaaa nachanganya machungu yote, misiba ya ndg zangu waliotangulia zamani naiweka kwny akili napiga kilio kimoja kitakatifu ila cha kimya kimya nikitoka hapo mwepesiiii.Umekua raia sugu.