Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaMuda utasema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaMuda utasema.
Unajua Bwana linajengwa kwa shilingi ngapi? Unajua umeme unazalishwa kwa gharama gani? Unajua service za zile machine za kuzalisha umeme zinafanywa kwa kiasi gani cha fedha?Hizo gharama za ujenzi nani analipa? Si mwananchi? Sasa anepaswa kufaidika na uwekezaji wake ni nani kama si mwananchi?
Na kama gharama za kuzalisha umeme zinashuka, na umeme ni mwingi kuliko demand ya ndani ni kwanini bei isishuke?
Aisee we ni mpumbafu aisee hujui ulisemaloViwanda vinahitaji mtaji,Bei ya umeme ni factor ndogo,mtu hawezi anzisha kiwanda kisa tu Bei ya umeme ndogo
Swali la kisenge kivipi?Wewe jamaa unamaswali ya kisenge mno. Wewe una dalili zote za kua choko mzoefu
Kwahiyo kodi ninayo lipa ni hiyo ya bando tu? Kwahiyo situmii umeme wenye kodi lukuki? Situmii usafiri unaohitaji petrol yenye kodi lukuki, sinunui bidaa zenye kodi lukuki? , hiyo bando nimekutolea kama mfano tuKwa hiyo iyo hela yako ndo inaenda kuzalisha umeme? Barabara zinajengewa hela ipi? Dawa hospitalini zinanunuliwa kwa hela ipi? Mishahara ya watumishi wa Umma inalipiwa hela ipi?
Icho ki 150 za vocha ndo kifanye upunguziwe umeme? Chizi kabisa wewe
Yote hayo yanafahamika, suala ni kwamba umeme wa maji nafuu mno hivyo gharama za uzalishaji zitashuka sana, pili like bwawa ni kubwa na umeme utakaozalishwa ni mwingi mno, hivyo kwa logic ya kawaida, kitu kikiwa kingi na cha gharama nafuu maana yake bei yake inaoaswa kushuka, ila kwa ajili ya hizo maintanance kuna Megawatt zinaweza kuwa allocate d kuuzwa nje ya nchi kwa market price iliyopo ili kuweza kuservice mitambo na kusaidia shirika kusimama imara na kulipa madeni.., simple logic.Unajua Bwana linajengwa kwa shilingi ngapi? Unajua umeme unazalishwa kwa gharama gani? Unajua service za zile machine za kuzalisha umeme zinafanywa kwa kiasi gani cha fedha?
Yanafahamikaje? Umekuwa mpiga ramli?Yote hayo yanafahamika, suala ni kwamba umeme wa maji nafuu mno hivyo gharama za uzalishaji zitashuka sana, pili like bwawa ni kubwa na umeme utakaozalishwa ni mwingi mno, hivyo kwa logic ya kawaida, kitu kikiwa kingi na cha gharama nafuu maana yake bei yake inaoaswa kushuka, ila kwa ajili ya hizo maintanance kuna Megawatt zinaweza kuwa allocate d kuuzwa nje ya nchi kwa market price iliyopo ili kuweza kuservice mitambo na kusaidia shirika kusimama imara na kulipa madeni.., simple logic
Hivi mbona unajisumbua kubishana na majitu mapumbafu Ina maana kwa umri alionao hajui hata Kodi inakusanywa vipi yaani Kuna wananchi wengine ni hasaraKwahiyo kodi ninayo lipa ni hiyo ya bando tu? Kwahiyo situmii umeme wenye kodi lukuki? Situmii usafiri unaohitaji petrol yenye kodi lukuki, sinunui bidaa zenye kodi lukuki? , hiyo bando nimekutolea kama mfano tu
Hizo hela za Petrol ndo zinatosha kufanya hayo? Huo umeme unaolipa hako kodi chanzo chake ni Bwawa la Nyerere tu? Hakuna vyanzo vingine ambavyo navyo vinagharama za uzalishaji na gharama za matengenezo?Kwahiyo kodi ninayo lipa ni hiyo ya bando tu? Kwahiyo situmii umeme wenye kodi lukuki? Situmii usafiri unaohitaji petrol yenye kodi lukuki, sinunui bidaa zenye kodi lukuki? , hiyo bando nimekutolea kama mfano tu
Gujinga kabisa wewe Kwahiyo wewe hujui kabisa Kuwa umeme wa maji ninafuuYanafahamikaje? Umekuwa mpiga ramli?
Ni nafuu kivipi? Kwenye hiyo nafuu hakuna gharama za uzalishaji? Hakuna gharama za matengenezo ya mitambo?Gujinga kabisa wewe Kwahiyo wewe hujui kabisa Kuwa umeme wa maji ninafuu
Chawa wa mama kaziniNi nafuu kivipi? Kwenye hiyo nafuu hakuna gharama za uzalishaji? Hakuna gharama za matengenezo ya mitambo?
Au unakariri tu ni nafuu jinga wewe
Unauzaje chakula nje kwa jirani wakati wanao hapo ndani hawajashiba,tosheleza mahitaji yako ndani then ndio uangalie njeUjinga ni mzigo kwa hiyo kampuni za kitanzania kwenda kuuza umeme ili kutuletea kipato nayo ni nongwa?
Yaani tayari ni ajenda ya kisiasa sisi masikini kama tunaweza kupata vya kuuza ili tujiingizie kipato ni jambo zuri sio tu kuuza mahindi na maharage.
Kama tunauza na umeme jambo zuri sana hata awe mtoto wa nani binafsi nasupport kampuni za kitanzania kufanya hivyo.
Sio kila siku zinakuwa tu kampuni za kigeni kufanya hivyo napongeza sana kampuni ya tanzania inayofanya hivyo.
Aisee watanzania wengine ni wajinga sana hivi megawatt 2100 zinazozalishwa bila kutumia fuel utafananisha na vyanzo vingine kama magenerator yanayotumia Petroli, Kwa hizo megawatt 2100 hata wasiposhusha Kwa wananchi wa kawaida basi washushe Kwa wenye viwanda na wa allocated mwengine Kwa sgr Ili mizigo isafiri Kwa bei nafuuNi nafuu kivipi? Kwenye hiyo nafuu hakuna gharama za uzalishaji? Hakuna gharama za matengenezo ya mitambo?
Au unakariri tu ni nafuu jinga wewe
Swali zuri 😂Oyaa hii nadharia ina ukweli ndani yake tuanze na huyo Abdul alikuwa na mishe gani hadi kuanzisha hiyo solar company yakuuza umeme
Acha ujinga wewe!Aisee watanzania wengine ni wajinga sana hivi megawatt 2100 zinazozalishwa bila kutumia fuel utafananisha na vyanzo vingine kama magenerator yanayotumia Petroli, Kwa hizo megawatt 2100 hata wasiposhusha Kwa wananchi wa kawaida basi washushe Kwa wenye viwanda na wa allocated mwengine Kwa sgr Ili mizigo isafiri Kwa bei nafuu
Na huo ndio ukweli wenyewe !! 🙏💯Exactly, na hiki ndicho ninachokisemamsiku zote! Malengo ya mradi yanakwepeshwa kwa makusudi! Kuna faida gani sisi tuumie hivi kujenga Mradi kwa mika kibao halafu faida ziende Uganda, Rwanda na Malawi?! Sisi tunafaida gani na huo mradi kama bei haishuki, viwanda havikui na ajira haziongezeki?!!!!!