Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Course mpya na wewe ulisema umemaliza chuo una miaka miwili nyumbani na ulimalizia Mzumbe..hahaha

Jamaa acha ujuaji basi usitake kujua kila kitu Kama wewe unanifahamu weka hapa taarifa zangu… mtu hunijui nimeleta mwenyewe uzi wangu unakuja kunibeza sijui chai

Haya wewe andika story yako hapa maana tunafahamiana
 
Pole sana,ila kaka yako alitaka uzinduke usingizini,hiyo ajira ya 250k
kwa mwezi ni kizuizi cha mafanikio yako. Pia naye usikute anayapitia hayo hayo unayoyapitia ila anapambana kiume naye apate nauli hadi mwisho wa mwezi.

Una uwezo wa kulima chinese spinachi
kwenye mifuko ya simenti au mchicha hapo hapo nyumbani au kulima maua ya kwenye makopo
na ukaipata hiyo 250k bila kulipa nauli ya kwenda kazini na maisha yakasonga.

Kudanga na ukalipwa ni kipaji,Unaweza kudanga na ukadhurumiwa na hakuna pa kushtaki,ungewapata wadangaji
wakakueleza wanayoyapitia,utajua hakuna njia ya kutoka kimaisha kirahisi.
Kila aliyefanikiwa kimaisha,ana historia yake.Wewe shukuru Mungu angalau umesoma
siku moja Mungu atakujalia upate kipato kizuri,si lazima kuajiriwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…