Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Namba nilishatoa ipo juu kabisa,, umeona wanavonikejeli
 
Weka no yako wasamaria wema watakusaidia. Jiepushe sana na maisha ya umalaya ya kutafuta pesa. Siyo mazuri. Mwombe Mungu atakusaidia. Atakuonyesha njia.
0679497293 Rahma Yusuf
 
Hayo maneno ya sponsor na kudanga ni rejesta mzee baba hayana maana moja ya jumla kwenye kiswahili rasmi kwaiyo kila mtu anaweza kuzitumia katika angle yake ilimradi tu wao wanaowasiliana wanaelewana
Hakuna neno ambalo kila mtu anaweza kulitumia katika angle yake haijalishi ni rejesta au msimu lazima liwe na maana moja ya kueleweka ambayo jamii inaijua, kwenye mahusiano hapa bongo ukisema sponsor kila mtu anajua ni mwanaume mwenye uwezo kiuchumi ambaye anadate na mwanamke kwa lengo la kuchunwa, hao wanunuaji wa siku moja wana majina yao yani wewe unataka kuniambia mpiga debe wa buza naye akiamua kununua malaya wa buku tano tayari kashakuwa sponsor wakati inajulikana sponsor hatakiwi kuwa mlala hoi lazima awe na uwezo fulani kiuchumi
 
Hilo nalo litapita, Mungu akufanyie wepesi kipenzi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kumanina wallah nchi ngumu hii
 
Namba Joseph mtoa mada Rahma
 
Mbona hata wewe Nimeshaona uzi zako kama mbili ulizozileta zote zimekaa kidangaji dangaji au biashara imekua ngumu?
 
Kwahiyo unaona bora awe anaomba na kuendelea kunyanyasika kiasi hiki??
FYI sijawahi kuishi mkoa wowote ule ndani ya Tanzania nje ya Dsm.
 
Baki na ubishi wako. Kama upo around na kijichi njoo hapa getway tumwagilie moyo kijana wikiend tayari
 
Mbona hata wewe Nimeshaona uzi zako kama mbili ulizozileta zote zimekaa kidangaji dangaji au biashara imekua ngumu?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kila mdangaji ana story yake simanzi mkuu, mjini hapa
 
maumivu yakuachie alama ya ukomavu, sio fikra za kudanga and the likes kumbuka hakuna tuzo za mateso, usijitese na usiteseke jenga akilini mwako kuwa hii ni hali yakupita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…