mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Pole binti
Maisha lazima yaendelee
Maisha lazima yaendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay lakini sipo maeneo hayoBaki na ubishi wako. Kama upo around na kijichi njoo hapa getway tumwagilie moyo kijana wikiend tayari
Sawa sawa.. hopeful tutakutana wikiend moja.Okay lakini sipo maeneo hayo
Hey sawa umeishi dsm..lakini nlichojua nakuelewesha ni umbali toka eneo tajwa Hadi jingine.Kwahiyo unaona bora awe anaomba na kuendelea kunyanyasika kiasi hiki??
FYI sijawahi kuishi mkoa wowote ule ndani ya Tanzania nje ya Dsm.
Nilitaka kukutumia chochote, lakini file lako ni chafu! Acha wengine wasaidieHapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini
Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake
Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..
Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka
Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe
Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..
Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi
Ni hayo tu wakuu
0679494293. Rahma Yusuf
MhmhmHapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini
Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake
Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..
Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka
Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe
Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..
Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi
Ni hayo tu wakuu
0679494293. Rahma Yusuf
Uko serious njoo nikuoe.Ni kweli ila maisha yanatupa hizo chaguzi
Yaani nimewaza leo kuna mtu anataka nikaishi nae au niende tu labda ugumu wa maisha utapungua
Na mimi kaniwazisha sn, is it fictious/non fictious narration.Mhmhm
Itategemea huyo mdangaji anakutana na wanaume wa aina gani na ana akili ipi ya kuweza kufanya kitu cha maendeleo vinginevyo anaweza jikuta anaishia kumiliki nguo nzuri, mawigi, simu ya gharama na habari yake inakua imeishia hapo.Kuna wadada wengi wamedanga na kufanikiwa kujenga nyumba nzuri, kumiliki magari makali na biashara kubwa.
Huwa nawashangaa sana wadada wanaoziacha k zao zinachakaa kwa UTI kwa kutozitumia kutafuta hela.
Hii mbon kawaida tu unapoandika mada inayohusu maisha yako ku-twist baadhi ya details ili usiharibu Anonymous ya ID yako labda uwe hujui nini maana ya JF.Mjumbe hauwawiii!!!
Kwa hisani ya wafukua makaburi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2986177
Nakuunga mkono hapa, mwenye akili kawaid ku-twist details mimi sijawahi kuandika location yangu ya ukweli, chuo nilichosoma kwa stori ya kawaida tu kwafaida gani upoteze anonymous yako.Dear uwezi kufungua code zote humu maana kuna baadhi ya watu tunafahamiana Nao humu so wakati mwingine tunabadilisha wahusika, mahali hata majina
Leo nimesema nipo kenya kesho nitakuwa TZ hiyo haibadili maana ya ninachokisema
Tatizo watu tunazingatia mambo ya kipuuzi kuliko ya msingi
Ikitokea mtu ameomba CV yangu basi yeye ndio atajua wapi nilizaliwa na wapi nilipo, siwezi kujiexpoziii kila kitu Jf Kuna wenginee wakisoma tu wanajua huyu ni mtu fulani so be positive binti
Sasa ukilia wewe...inamsaidia nini yeye!?....Dah! Nimelia saana
Mzee baba vipi wewe ndio unatakiwa kujiongeza hadi namba ya simu imeachwa hapo kwenye bandikoKifupi kazi unayofanya inamaslah madogo na inakua ngumu kujikimu, anyway ukiitaji nauli ya kuanzia sema… kiroho safi
Hapo namba za simu ni za nini, au ndiyo kujitangaza kwenyewe huko na kaka mtu ikawa ndiyo sababu ya kujitangaza?Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini
Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake
Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..
Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka
Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe
Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..
Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi
Ni hayo tu wakuu
0679494293. Rahma Yusuf
Tukiza boliMzee baba vipi wewe ndio unatakiwa kujiongeza hadi namba ya simu imeachwa hapo kwenye bandiko