Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Pole sana kadogo......ndio maisha. Watu wanapitia mengi sana....hata kaka yako anapitia mengi huwez jua ni kiasi gan anajibana ahudumie familia na ahudumie nyumban. Uwe mvumilivu....unayopitia Sasa hivi sio hatma ya maisha yako ni mapito tu. Na Kila mtu ana mapito yake. Kwa neema ya Mungu ipo siku utasahau yote haya unayopitia sasa. Jipe moyo....usidange
 
Kuna wadada wengi wamedanga na kufanikiwa kujenga nyumba nzuri, kumiliki magari makali na biashara kubwa.

Huwa nawashangaa sana wadada wanaoziacha k zao zinachakaa kwa UTI kwa kutozitumia kutafuta hela.
 
Kwahiyo unaona bora awe anaomba na kuendelea kunyanyasika kiasi hiki??
FYI sijawahi kuishi mkoa wowote ule ndani ya Tanzania nje ya Dsm.
Hey sawa umeishi dsm..lakini nlichojua nakuelewesha ni umbali toka eneo tajwa Hadi jingine.
Bunju Hadi magomeni ni mbali sana
Pia sijasema ni Bora aendelee kuomba na kunyanayasika.kuna option nyingine nyingi kapeea hapo ikiwemo kutafuta room nafuu maeneo ya karibu Ili save pesa.

Hizo changamoto tajwa hata mie nazipitia right now na nakaza moyo.so namuelewa.

Ni hayo.na kama nimekukwaza Kwa comment yangu...I'm sorry kipenzi[emoji4]
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

0679494293. Rahma Yusuf
Nilitaka kukutumia chochote, lakini file lako ni chafu! Acha wengine wasaidie
Screenshot_20240511_115023_Edge.jpg
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

0679494293. Rahma Yusuf
Mhmhm
 
Umeulizwa umesomea nini, lakini bado haujajibu. Pia umesema umehitimu chuo, hiyo elimu yako ni Diploma au Degree. Be serious, you can get serious helper.
 
Kuna wadada wengi wamedanga na kufanikiwa kujenga nyumba nzuri, kumiliki magari makali na biashara kubwa.

Huwa nawashangaa sana wadada wanaoziacha k zao zinachakaa kwa UTI kwa kutozitumia kutafuta hela.
Itategemea huyo mdangaji anakutana na wanaume wa aina gani na ana akili ipi ya kuweza kufanya kitu cha maendeleo vinginevyo anaweza jikuta anaishia kumiliki nguo nzuri, mawigi, simu ya gharama na habari yake inakua imeishia hapo.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Dear uwezi kufungua code zote humu maana kuna baadhi ya watu tunafahamiana Nao humu so wakati mwingine tunabadilisha wahusika, mahali hata majina

Leo nimesema nipo kenya kesho nitakuwa TZ hiyo haibadili maana ya ninachokisema

Tatizo watu tunazingatia mambo ya kipuuzi kuliko ya msingi

Ikitokea mtu ameomba CV yangu basi yeye ndio atajua wapi nilizaliwa na wapi nilipo, siwezi kujiexpoziii kila kitu Jf Kuna wenginee wakisoma tu wanajua huyu ni mtu fulani so be positive binti
Nakuunga mkono hapa, mwenye akili kawaid ku-twist details mimi sijawahi kuandika location yangu ya ukweli, chuo nilichosoma kwa stori ya kawaida tu kwafaida gani upoteze anonymous yako.
 
Dah! Nimelia saana
Sasa ukilia wewe...inamsaidia nini yeye!?....

Lia na ugumu wa maisha yako!, na sio ugumu wa maisha ya mwingine!

Maana mkandarasi wa maisha yako ni wewe mwenyewe! Ni either uchague kujenga chini ya kiwango! It's up to u....

Hatutakuwepo kukuokoa pindi nyumba uliyoijenga na kusimamia mwenyewe itakapo kuwa inaanguka!

Dunia imechakaa sana siku hizi...wapo watunzi Wazuri sana wa script!...

Maana unaweza tumia akili tu...ukapata pesa pasipo kuvuja jasho!

And that's social Engineering!
 
Kifupi kazi unayofanya inamaslah madogo na inakua ngumu kujikimu, anyway ukiitaji nauli ya kuanzia sema… kiroho safi
Mzee baba vipi wewe ndio unatakiwa kujiongeza hadi namba ya simu imeachwa hapo kwenye bandiko
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

0679494293. Rahma Yusuf
Hapo namba za simu ni za nini, au ndiyo kujitangaza kwenyewe huko na kaka mtu ikawa ndiyo sababu ya kujitangaza?
 
Back
Top Bottom