cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nshaweka PMKweli tena weka nikutumie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshaweka PMKweli tena weka nikutumie
Humu wa kutuma pesa hayupo ni kuchoshana na msg za uko mkoa gani? As if yy mwenyewe yupo Ulaya 🤣Nimecheka kuzimia, haha
Cc Sport ladyy
Tatizo hafikirii, anakurupuka mpenda savanna huyu😂Yani huyu ni kidney mtupu hadi kutoa namba ni vile vile 😂
Oya.. uyo mwamba dp nacheki movie yake ya 2023.. Maisha yanakimbiaMbona nimetuma
Maswali mengi kama upo kwenye interview 🤣Humu wa kutuma pesa hayupo ni kuchoshana na msg za uko mkoa gani? As if yy mwenyewe yupo Ulaya 🤣
Speaking from experience 😁😁Humu wa kutuma pesa hayupo ni kuchoshana na msg za uko mkoa gani? As if yy mwenyewe yupo Ulaya 🤣
We muongo mbona haipoNshaweka PM
Em sema kweli? Niunge vocha bhanaa.Mwenyewe siku hizi nimefukia nalelewa na Sport ladyy
😂 ila hata kama sio yeye huu uandishi wa hiyo ID ni wa mwanaume kabisa, matumizi ya mpendwa, dear n.k yamezidiTatizo hafikirii, ankurupuka mpenda savanna huyu😂
OyaaaaEm sema kweli? Niunge vocha bhanaa.
Au unataka na mie nilete uzi humu?
Mbona ameweka huko juu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeambiwa weka namba tukuchangie unasubiri nini
Maisha ndivyo yalivyo hata sisi mwaka 2070 wote humu tutakuwa tumekufa😅
Ngoja nikachekiiiii chaap.We kolo soma PM
100% ni kidney. Hiyo namba anaitumia sana.😂 ila hata kama sio yeye huu uandishi wa hiyo ID ni wa mwanaume kabisa, matumizi ya mpendwa, dear n.k yamezidi
Jamaniiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]K tu tunakopa sembuse nauli [emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona hiyo iko wazi sema anawaingiza kwenye mfumo wajae, pesa na baridi hii apewe na nani??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute hata hela hajatumiwa, kwa JF hii thubutuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nani huyooo?Mbona paragraph ya kupigwa na kidney ni mbili tofauti, una ugomvi na bwana kidney?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimia kwenye gia.Leo nimemuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kuzimia, haha
Cc Sport ladyy