Leo ndio siku sahihi kwa Manchester United kulipa kisasi kwa Liverpool

Leo ndio siku sahihi kwa Manchester United kulipa kisasi kwa Liverpool

Acha urongo, Man. Utd hakuwa kwenye posibility yoyote ya kupata ubingwa kwa msimu huo. Possibility pekee ilikuwa ni ama kwa Man. City ama Liverpool. Na kusema ukweli Gerard aliichoma Liverpool kuliko timu nyingine yoyote. Lakini pia man. Utd kwa sasa hana uwezo wowote wa kuifunga timu yoyote iliyo top six na kwa hivyo asitafute kisingizio eti atafungwa kwa makusudi ili kuwakomoa Liver, atafungwa ni vile hana uwezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soka sio mchezo wa wote kufatilia mkuu,ndo nn sasa hiki
 
Mkuu ninachokwambia ndicho kilichopo UK hakuna games ambazo kwenye mji husika zinakuwa na rivaly ya kufa mtu kama mji mmoja.., Liverpool na Man United ni sababu kipindi hicho zote zilikuwa na viwango na zinagombania ubingwa mfano Arsenal na Man United kipindi cha Sir Alex na Wenger wakati Arsenal yupo juu..., ila kwa mji husika Derby is everything.., sema hii watu hawaifeel internationally kutokana na kwamba City kipindi United yupo juu yeye alikuwa kibonde..., ila all in all Man U Fan hawezi kuwapenda City, kama ambavyo Arsenal na Spurs.., mkuu hio ndio habari, kama mshabiki wa Everton ambavyo hawezi kuipenda Liverpool ila sababu Gap ni kubwa ya viwango ndio maana internationally watu hawafuatilii....

Kumbuka its all about Rivarly kama timu mbili zikiwa top 2 kwa kipindi kirefu kunakuwa na Rivary (e.g. Liverpool / Man United ) zimechukua makombe mengi hence rivarly between them... this is temporary mmoja uwezo ukishuka na mwenyewe analoose

Time kutoka sehemu moja Hii rivarly ni ya forever hata iweje mtu hawezi kushabikia mwenzake
Ngoja sasa ni kwambie kitu ambacho maybe hukifahamu rivary ya Manchester united na Liverpool haitokani na vita ya makombe japo nayo yanachagiza uhasimu huo....
Vita ya hizi timu ilitokana na industrial evolution na vita ya uchumi baina ya miji hii miwil ,,,,,
Liverpool wenye bandari na Manchester uliyo endelea ki technolojia,,,,,

Vita ili anza wakati ambapo uongozi wa mji wa Liverpool ku fanya figisu za kupandisha ushuru kwa mizogo iendayo Manchester kupitia bandari yao,,, hapo ndio vitaa ikaanza

Ili walazimu watu wa Manchester kuchimba mfereji hadi mjini kwao kutoka baharini ili meli ziende had Manchester ,,,,,

na hizi timu za Manchester united na city zilikua moja ya chachu za ukombozi wa uchum wa Manchester kutoka kwa liver so hapo meli zikawa zina fika had Manchester kupakua mizigo,,,,

Tazama logo za hizi timu zote mbili zina meli zikimaanisha huo ukombozi wa Manchester hivyo Liverpool na Manchester united ni zadi ya Derby ni zaidi ya mahasimu ni zaidi ya football
 
Hivi unadhani kati ya Man United, Man City na Liverpool nani ni Rivals zaidi ?, Derby technically ni Man United na City; Liverpool na Man United ni sababu tu kipindi kile hizi timu zote zilikuwa juu kwahio rivalry yao ikawa ya nani zaidi, kwahio mkuu hakuna shabiki yoyote wa City atafurahia ushindi wa Man United and vice versa..., this is really Derby kumbuka huu ni mji mmoja mwenzako akishinda kazini, pub au hata nyumba moja unaweza ukajikuta majivuno ya mwenzako yanakukosesha raha
Aseembona uko shaloow hvyo,bifu la man u na liva ninkubwa kulko drama ulizoandika hapa
 
Msimu wa 2009/2010 nahodha wa liverpoolfc wakati huo Seven Gelard alichoma kwa makusu mechi dhidi ya chelseafc wafungwe ili Manchester united wasichukue ubingwa mwaka huo, alipo hojiwa alisema
"Nina jezy za timu zote epl kasoro ya Manchester united"

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Video ya Gelard akichoma kwa makusudi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Manure ni jamvi la wageni...kila anayelalia anakojolea!
 
Msimu wa 2009/2010 nahodha wa liverpoolfc wakati huo Seven Gelard alichoma kwa makusu mechi dhidi ya chelseafc wafungwe ili Manchester united wasichukue ubingwa mwaka huo, alipo hojiwa alisema
"Nina jezy za timu zote epl kasoro ya Manchester united"

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Video ya Gelard akichoma kwa makusudi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Mechi inapigwa saa ngapi mazee?

Vv
 
Mkuu ninachokwambia ndicho kilichopo UK hakuna games ambazo kwenye mji husika zinakuwa na rivaly ya kufa mtu kama mji mmoja.., Liverpool na Man United ni sababu kipindi hicho zote zilikuwa na viwango na zinagombania ubingwa mfano Arsenal na Man United kipindi cha Sir Alex na Wenger wakati Arsenal yupo juu..., ila kwa mji husika Derby is everything.., sema hii watu hawaifeel internationally kutokana na kwamba City kipindi United yupo juu yeye alikuwa kibonde..., ila all in all Man U Fan hawezi kuwapenda City, kama ambavyo Arsenal na Spurs.., mkuu hio ndio habari, kama mshabiki wa Everton ambavyo hawezi kuipenda Liverpool ila sababu Gap ni kubwa ya viwango ndio maana internationally watu hawafuatilii....

Kumbuka its all about Rivarly kama timu mbili zikiwa top 2 kwa kipindi kirefu kunakuwa na Rivary (e.g. Liverpool / Man United ) zimechukua makombe mengi hence rivarly between them... this is temporary mmoja uwezo ukishuka na mwenyewe analoose

Time kutoka sehemu moja Hii rivarly ni ya forever hata iweje mtu hawezi kushabikia mwenzake
The Liverpool F.C.–Manchester United F.C. rivalry , also known as the North West Derby , is a high-profile inter-city rivalry between English professional association football clubs Liverpool and Manchester United . It is considered to be one of the biggest rivalries in the association football world along with the
Old Firm derby in Scotland, Superclásico in Argentina, El Clásico in Spain, and Derby della Madonnina in Italy, and is considered the most famous fixture in English football. [5][6][7]
[8][9] Players, fans and the media alike often consider games between the two clubs to be their biggest rivalry, above even their own local derby competitions with Everton and
Manchester City , respectively. [10][11][12][13]
The rivalry has been fuelled by the proximity of the two major cities that they represent, their historic economic and industrial rivalry, significant periods of domestic footballing dominance and European success, and their popularity at home and abroad, as two of the biggest-earning and widely supported football clubs in the world. [14][15][16][17]
The two clubs are the most successful English teams in both domestic and European competitions; and between them they have won 38 league titles, 8 European Cups , 4
UEFA Cups , 4 UEFA Super Cups , 19 FA Cups , 13 League Cups , 1 FIFA Club World Cup , 1
Intercontinental Cup and 36 FA Community Shields.[18][19][20]
Each club can claim historical supremacy over the other: United for their 20 league titles to Liverpool's 18 and Liverpool for being European champions five times to United's three. Manchester United have won more total trophies than Liverpool, [21][18][22][23] and they also lead the Merseysiders in "major" honours as well. [24][25][26][27]
Inter-city rivals
Main article: Liverpool–Manchester rivalry
The cities of Liverpool and Manchester are located in the north west of England, 35 miles (56 km) apart. Since the industrial revolution there has been a consistent theme of rivalry between the two cities based around economic and industrial competition. Manchester through to the 18th century was the far more populous city, and held a position of significance and notability as representative of the north. By the late 18th century, Liverpool had grown as a major sea port – critical to the growth and success of the northern cotton mills. Over the next century, Liverpool grew to supersede Manchester and throughout the late 19th and early 20th century was often described as the British Empire's second city.[16] The links between the two cities were strengthened with the construction of the Bridgewater Canal, the Mersey and Irwell Navigation and the Liverpool and Manchester Railway for the transport of raw materials inland.
The Manchester coat of arms formed the foundation of the original Manchester United badge
The construction of the Manchester Ship Canal, funded by Manchester merchants, was opposed by Liverpool politicians and bred resentment between the two cities. Tension between working class Liverpool dockers and labourers in Manchester was heightened after its completion in 1894, just three months prior to the first meeting between Liverpool and Newton Heath in a play-off match that would see Newton Heath relegated to the Second Division.[28]
Today, the crests of both the city of Manchester and Manchester United include stylised ships representing the Manchester Ship Canal and Manchester's trade roots. The ship is also included on the crest of many other Mancunian institutions such as
Manchester City Council and rivals
Manchester City F.C.
Post-war shifts in economic ties, reliance on regional coal, and shifts in transatlantic trade patterns caused by the growth of Asian labour markets caused the gradual decline of British manufacturing. While the city of Liverpool suffered the loss of its primary source of income to southern port cities, Manchester maintained some of its manufacturing heritage. This reversal of fortunes happened against the backdrop of shifting political backgrounds and significant events in British culture and society in the second half of the 20th century.
Both cities were part of the county of
Lancashire until March 1974, upon the enactment of the Local Government Act 1972. Since then, Liverpool and Manchester each respectively anchor the neighbouring
metropolitan counties of Merseyside and
Greater Manchester .
The two cities continue to be strong regional rivals, vying for influence of surrounding areas. Their continued importance to the UK economy has been reflected with the awarding of the 2002 Commonwealth Games to Manchester, while Liverpool was awarded the title of 2008 European Capital of Culture as part of its ongoing regeneration.
More recent projects by Peel Ports have sought to re-establish the economic links between the Port of Liverpool and Port of Manchester, including re-developing trade links via the Manchester Ship Canal.
Football rivals
See also: List of Liverpool F.C. seasons and List of Manchester United F.C. seasons
Formation to 1945
The Manchester United team at the start of the 1905–06 season.
Manchester United F.C. was formed in
Newton Heath in 1878 as Newton Heath LYR F.C., and played their first competitive match in October 1886, when they entered the First Round of the 1886–87 FA Cup .[29]
Liverpool's team during its first season, 1892–93
Liverpool F.C. was formed in 1892 following a disagreement between the board of Everton and club president John Houlding , who owned the club's ground, Anfield . The disagreement between the two parties over rent resulted in Everton moving to Goodison Park from Anfield, and Houlding founded Liverpool F.C. to play in the vacated stadium. [30]
Liverpool's first season was in the Second Division in 1893. The team went undefeated all season, winning the title and being put up for election to the First Division, which would see them play a one-off test match against the bottom side of the First Division for their place. The team that Liverpool were to face was Newton Heath, whom they beat 2–0 to take their place in the first tier. [31]
Liverpool won their first Football League Championship trophy in 1901 and followed it up in 1906, the same season that saw the newly renamed Manchester United promoted to the top flight after finishing as Second Division runners-up behind Bristol City . Two seasons later, by which time Liverpool had fallen into mid-table, Manchester United secured their first league title, winning the
1907–08 Football League by nine points from
Aston Villa and Manchester City. They followed this up by winning the first ever FA Charity Shield match when they defeated
Queens Park Rangers over two legs in
1908.[32] The following season, they won the
1909 FA Cup Final , and followed this up with another league title and Charity Shield in 1911.
The outbreak of the First World War disrupted domestic football, and following the resumption of competitions in 1919 Liverpool asserted themselves on domestic football with a brace of league Championships while United found themselves in steep decline that saw them relegated in 1923. Between 1923 and the outbreak of the Second World War, neither team won any more competitive trophies outside of local regional trophies, with Manchester United spending three separate periods in the Second Division.
1945 to 1992
A comparative chart showing yearly table positions of Manchester United F.C. and Liverpool F.C. in the
English football league system from 1892–93 to the present
After the Second World War, Liverpool again became English champions in 1947 before the clubs' roles reversed once more, with the Merseysiders dropping into the second tier as Manchester United found stability under the management of former Liverpool captain Matt Busby, winning the FA Cup in 1948 and then three league titles and Charity Shields apiece in the 1950s. During this time, future Liverpool manager Bill Shankly was approached by then Liverpool chairman Tom Williams and asked, "How would you like to manage the best club in the country?". "Why?" Shankly replied. "Is Matt Busby packing it in?". [33]
Following Liverpool's promotion under Shankly in 1962, the two clubs found themselves in direct competition with each other for the first time, sharing four league titles between 1964 and 1967, as well as the 1965 FA Charity Shield. Following this, though, the two sides began to drift in opposite directions once more. United's title victory of 1967 would be their last for 26 years, [34] while Liverpool would enjoy nearly 20 years of sustained success, winning 11 league titles, 19 domestic cups and seven European trophies from 1972 to 1992.[35] United's main reprieves during this time came through cup competitions, such as their triumphs over the Merseysiders in the 1977 FA Cup Final and the 1979 FA Cup semi-final replay at Goodison Park. It was during this period, in the late 70s and early 80s, that the modern day rivalry between the two clubs truly began to get heated. According to football sociologist John Williams, United had developed a "glamour and media profile" but didn't have the success to match it and Liverpool fans felt the Red Devils were "media darlings who got far too much publicity". There was a perception in Liverpool that their hugely successful but 'professional' and 'workmanlike' teams were always somehow in the shadow of the stars at Old Trafford. This led to a derisory United nickname in Liverpool; "The Glams". [36]
1992–present
Manchester United's 26-year spell without a league title has been mirrored by Liverpool since 1990, when the Reds clinched their last league title. Meanwhile, United's dominance since 1990 has seen them win 13 league titles, 23 domestic cups and seven European trophies. [35] Once again, cup glories such as the 2003 League Cup and 2006 FA Cup allowed Liverpool some retribution against their rivals. Despite their contrasting fortunes, though, only six times since 1972 have neither Liverpool nor United finished in the top two of the league table – in 1980–81, 2003–04, 2004–05, 2014–15, 2015–16 and 2016-17 – and even during five of those six campaigns, another piece of silverware was still taken home by one of the two clubs; Liverpool paraded the European Cup and League Cup in 1981, while Manchester United lifted the FA Community Shield and FA Cup in the 2004 season and Liverpool claimed the Champions League in 2005. United brought home the FA Cup again in 2016 and they won a treble of trophies consisting of the Community Shield, League Cup and UEFA Europa League in 2016-17. [37][38]
Managers
Notable managers
“ "If you are first you are first. If you are second you are nothing." ”
— Bill Shankly
While Liverpool and Manchester United's successes are almost identical in number, their systems of achieving these successes vary considerably. Liverpool built their dominance on a dynasty known as the Anfield Boot Room. The boot room itself was where strategy for future matches was planned, however, it became a breeding ground for future Liverpool managers following the arrival of Bill Shankly in 1959. The original members were Shankly himself, Bob Paisley ,
Joe Fagan and Reuben Bennett , although the likes of Kenny Dalglish joined later on. [39]
Following Shankly's retirement in 1974, having secured eight trophies in 15 years, Bob Paisley stepped into the vacant manager's position and amassed 20 trophies in 9 seasons.[40] Following his retirement, Joe Fagan took over and in the first of two seasons at the club, won a treble of trophies. Kenny Dalglish, while not an original member, was accepted into the group as the next in line for the role of manager, and he combined it with his playing duties to win Liverpool 10 trophies. The boot room connection was finally broken in 1991, 32 years after Shankly's arrival, with the appointment of Graeme Souness , who actually demolished the boot room itself to make way for a press room.[41] It did still manage to produce a final Liverpool manager in Roy Evans, who won the League Cup, but upon his resignation in 1998, the era was over.
In contrast, Manchester United have succeeded thanks to the services of three extraordinary men, all decades apart, without the need for continuity and sustained success beyond each man's departure. Out of the 66 trophies that United have won, 56 have come thanks to the exploits of Ernest Mangnall, Sir
Matt Busby and Sir Alex Ferguson . Mangnall was the first great manager of Manchester United, securing five trophies within a three-year time span of 1908–11. [42] Following his departure to local rivals Manchester City a year later, [43] it would not be until Busby's arrival 33 years later that the club would be on the trophy trail again.
Busby became United's second most decorated manager of all time (ironically as an ex-Liverpool player and captain), winning 13 trophies at the club [44] including the 1968 European Cup, which saw an English team secure European football's top prize for the first time. [45] After Busby's retirement in 1969 though, Manchester United saw their fortunes slip and the club struggled to stay successful until Alex Ferguson's arrival 17 years later, during which time United only won three FA Cups and two Charity Shields.
“ "My greatest challenge was knocking Liverpool right off their fucking perch, and you can print that." ”
— Alex Ferguson in response to an Alan Hansen comment in 2002[46]
It was only under the Scot that United regained their glory days, winning 38 trophies during his 26-year tenure to scale the pinnacles of both English and European football. [47] However, since Ferguson's retirement in 2013, the club has gone on the wane again, finishing in the top four of the league just twice in five seasons, although there has been frequent success in cup competitions.
Players
Players' rivalry
“ "A mate owned a [Manchester United captain] Bryan Robson top. We were kicking about, and I asked if I could be Robbo for a while. My dad looked out and went ballistic. He wasn’t having his kid dragging the Gerrard name through the gutter. I thought we’d have to move!" ”
— Steven Gerrard
The rivalry has extended to the players as well: Wayne Rooney , a product of Liverpool's city rivals Everton who played for United from 2004 to 2017, described how he grew up hating the Reds (Liverpool), [48] while Liverpool's Steven Gerrard took a film crew on tour of his home where he showed off a collection of football shirts he had swapped with opposing players as part of the after match routine; he pointed out that there were no Manchester United shirts in there and he would never have one of them in his house. Former Liverpool goalkeeper David James said: "I could never say I hated any United players just for being United players... But the rivalry became a habit, I suppose; on England trips Liverpool lads would eat at one table, United boys at another. There was tension there and we avoided one other". Liverpool defender Neil Ruddock once broke both of United forward Andy Cole 's legs in a reserve match, later saying that "I didn’t meant to break both legs, I only meant to break one... I absolutely destroyed him... I know it’s not big and it’s not clever but it was great". [49] Manchester United's Gary Neville has been publicly vocal in the past with regards to his dislike of Liverpool. He notably drew the ire of Liverpool fans during the 2006 match at Old Trafford during which he celebrated Rio Ferdinand 's last-gasp winner[50] by running to the stand where the away fans were seated while kissing the crest on his jersey and appearing to shout angrily towards them; he was fined and given a two-match ban by The Football Association but has stated on multiple occasions that he has never regretted his actions. [51][52][53] Following a fixture in which John O'Shea scored a stoppage-time winner in front of the Kop in 2007, Neville described O'Shea's achievement as "a lifelong dream" for himself. Previously in a Manchester derby during the 2003–04 season, Neville was sent off after attempting to headbutt Manchester City's ex-Liverpool midfielder Steve McManaman : as Paul Scholes commented, "It’s fair to say the pair of them never got on too well together". [49] The animosity amongst players has also extended to the fans on a number of occasions, as in the case of Neville, who regularly became the subject of offensive chants from Liverpool supporters after the 2006 badge-kissing incident. In a retrospective special leading up to the January 2017 match up at Old Trafford, Neville and his fellow Monday Night Football pundit and retired Liverpool one-club man
Jamie Carragher both acknowledged that it was actually not uncommon for both United and Liverpool players, particularly locally-born youth academy graduates such as Bury-born Neville and Merseyside natives Gerrard and
Robbie Fowler , to celebrate in front of rival fans and that "you just got to take it in the chin". [53]
“ "I can't stand Liverpool, I can't stand the people, I can't stand anything to do with them." ”
— Gary Neville
In the 2011–12 season, the rivalry was exacerbated by claims that, in the first League meeting of the season at Anfield, Liverpool striker Luis Suárez racially abused United's
Patrice Evra . After considering the evidence, an FA panel found that Suárez had referred to Evra using the term "negrito" seven times (Suárez himself admitted to having done so once, but denied racism); he was banned for eight games. This included the FA Cup fourth round tie between the two clubs (again at Anfield), which Liverpool won. On 11 February 2012, however, United and Liverpool met again at Old Trafford, and Suárez played for Liverpool for the first time since his ban. Prior to kick-off, the two teams were expected to
shake hands , but Suárez ignored Evra's offered hand and moved onto the next United player in line, David de Gea.[54] As a result,
Rio Ferdinand and Danny Welbeck rejected Suárez's handshake. United went on to win 2–1 and Evra celebrated in front of the home supporters, with Suárez close by. Sir Alex Ferguson declared Suárez to be a "disgrace" and suggested that he should not be allowed to play for Liverpool again.[55] Kenny Dalglish vehemently denied having seen the missed handshake. [56] The following day, Suárez, Dalglish and Liverpool all issued statements of apology for the handshake incident, [57] which United accepted. The FA decided against any further action against either club or the players involved. [58]
Player transfers
Since the 1964 transfer of Phil Chisnall from United to Liverpool, no player has been transferred directly between the two clubs. [59] Some players, however, have played for both clubs, but having played elsewhere between each tenure, such as Paul Ince (playing for
Internazionale in between) and Peter Beardsley (Vancouver Whitecaps and
Newcastle United ) and more recently Michael Owen (Real Madrid and Newcastle United), although Beardsley only played once for United, but went on to be a key player during his four years at Liverpool. [60]
In 2007, there was a bid from Liverpool to sign Gabriel Heinze from United, but United refused to allow him to join their biggest rivals due to the ongoing feud. United claimed that it was agreed Heinze would only join a foreign club if he chose to leave. [61] Heinze went public with his request to join Liverpool which was seen as the ultimate betrayal by the Manchester United fans. The Manchester United fans who once chanted "Argentina" in honour of the player then turned their backs on him. Heinze was eventually sold to Real Madrid instead.
 
Rivalry ya Man United vs Liverpool goes way back, nenda Wikipedia bosi, inagusa mpaka issues za industrialization na economic issues.

Ukiamua kusoma utaelewa, ila ukiamua kubaki na msimamo wako ni sahihi pia.
Nrudia tena internationally na locally.., na neno Rivalry na sehemu husika..., moja UK tofauti na nchi nyingi pengine UK watu ni mashabiki wa local teams na hapo kuna kutambiana sana...

Pili Liverpool na Man United kuna kipindi zote zipo juu walikuwa na Rivarly kubwa vilevile na Man United na Arsenal kipindi wote wapo juu ila locally hakuna game kubwa Manchester kama City na Man United hence hakuna kuachiana hapo na hata kama hakuna mtu anaangalia Everton na Liverpool duniani pengine ila locally that is the biggest match...

Kwahio mkuu no matter the case hakuna shabiki wa United atakayefurahia leo kufungwa eti anamkoa liverpool
 
Acha kulinganisha mpira wa nchi yoyote ile na England mkuu, England watu wengi wanapenda their local teams na sii vinginevyo..., Hivi unajua timu gani ina washabiki wengi Manchester ?, City ni kama timu ya mji United ni nje ya mji kwahio mkuu ndio maana mashabiki huwa wanaimba Glory Glory Alleluyah..., Au Glory Hunters kwamba mashabiki wa United wanaipenda sababu ya kupata vikombe na sio vinginevyo..., na United ina mashabiki wengi nje ya Manchester kuliko ndan..., kwahio mkuu story za kuachia local Derby ili timu ishinde sababu ya Gerald au huyu ana makombe mengi ni habari za kufikilika, internationally mashabiki wanaweza kupenda zaidi hilo game ila locally nothing beats Liverpool vs Everton; Man United vs Man City au Birmingham vs Villa.., achana na habari za Simba Yanga na Azam..
Imebidi nikuwekee hilo jamvi ili upitiepitie hata robo tu. Ukweli ni kwamba Liverpool ni adui Mkuu wa Man U kuliko uadui alionao city kwa Man U
 
Msimu wa 2009/2010 nahodha wa liverpoolfc wakati huo Seven Gelard alichoma kwa makusu mechi dhidi ya chelseafc wafungwe ili Manchester united wasichukue ubingwa mwaka huo, alipo hojiwa alisema
"Nina jezy za timu zote epl kasoro ya Manchester united"

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Video ya Gelard akichoma kwa makusudi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Duh!
 
Nrudia tena internationally na locally.., na neno Rivalry na sehemu husika..., moja UK tofauti na nchi nyingi pengine UK watu ni mashabiki wa local teams na hapo kuna kutambiana sana...

Pili Liverpool na Man United kuna kipindi zote zipo juu walikuwa na Rivarly kubwa vilevile na Man United na Arsenal kipindi wote wapo juu ila locally hakuna game kubwa Manchester kama City na Man United hence hakuna kuachiana hapo na hata kama hakuna mtu anaangalia Everton na Liverpool duniani pengine ila locally that is the biggest match...

Kwahio mkuu no matter the case hakuna shabiki wa United atakayefurahia leo kufungwa eti anamkoa liverpool

Cool, baki na msimamo wako.

Kuna mdau kaweka write-up ya Wikipedia, it costs nothing to go through it, you can learn one or two things from there, only if you want to learn.
 
Hivi unadhani kati ya Man United, Man City na Liverpool nani ni Rivals zaidi ?, Derby technically ni Man United na City; Liverpool na Man United ni sababu tu kipindi kile hizi timu zote zilikuwa juu kwahio rivalry yao ikawa ya nani zaidi, kwahio mkuu hakuna shabiki yoyote wa City atafurahia ushindi wa Man United and vice versa..., this is really Derby kumbuka huu ni mji mmoja mwenzako akishinda kazini, pub au hata nyumba moja unaweza ukajikuta majivuno ya mwenzako yanakukosesha raha
Kwenye jiji la manchester mashabiki wengi ni wa man city ila nje ya manchester utawapata mashabiki wa utd ambao ni wengi haswa.
Hii haiondoi uhasama uliopo baina ya liver na utd.
Ndio maana watu kama scholes wanaona ni bora city achukue kuliko liverpool na mimi nina ungananae kwa asilimia zote!!
 
[8][9] Players, fans and the media alike often consider games between the two clubs to be their biggest rivalry, above even their own local derby competitions with Everton and
Manchester City , respectively. [10][11][12][13]
Players ; apart from kina Rooney, Gerald, Owen, na Carragher ambao wamekulia Liverpool na Scoursers wa ukweli players ni mercenaries and professional kwahio kwa kipindi kirefu Man City walikuwa chini obvious kwao hii game sio kubwa kama local fans, apart kwa hao niliowataja hapo juu hawawezi chukulia poa game yao na Everton

Media.., Which Media Local au International...

Fans..., which fans ?, Glory Hunters wa United waliopo Africa, na London au Local fans wa Manchester ?

Narudia Locally hakuna game kubwa zaidi ya Local Teams na ndio maana game nyingi zilikuwa zinaanza mapema saa sita kabla watu hawajanywa pombe na kufanya fujo wakishalewa na kufungwa...

Hence the statement kwamba United anaweza kufurahia kungwa na local rivarly wake City sababu ya U rivaly wake na Liverpool ni non starter
 
Players ; apart from kina Rooney, Gerald, Owen, na Carragher ambao wamekulia Liverpool na Scoursers wa ukweli players ni mercenaries and professional kwahio kwa kipindi kirefu Man City walikuwa chini obvious kwao hii game sio kubwa kama local fans, apart kwa hao niliowataja hapo juu hawawezi chukulia poa game yao na Everton

Media.., Which Media Local au International...

Fans..., which fans ?, Glory Hunters wa United waliopo Africa, na London au Local fans wa Manchester ?

Narudia Locally hakuna game kubwa zaidi ya Local Teams na ndio maana game nyingi zilikuwa zinaanza mapema saa sita kabla watu hawajanywa pombe na kufanya fujo wakishalewa na kufungwa...

Hence the statement kwamba United anaweza kufurahia kungwa na local rivarly wake City sababu ya U rivaly wake na Liverpool ni non starter
Alisema haya maneno lini wakati City ameshachukua makombe mangapi ? Kumbuka Liverpool kabla ya Premier League ndio alikuwa anaongoza kwa makombe kwahio kuna ile wasitufikie, pili huenda anasema kama defense mechanism kama wakichakazwa...

all in all unadhani yule mshabiki ndakindaki local wa pale Old Trafford atashangilia leo kipigo eti sababu ya Liverpool akijua kesho kazini kwenye bus na pub the Blue part of city watakuwa wanamcheka kuanzia leo mpaka hapo mwaka kesho ?...., Its all about local bragging rights
 
Ngoja sasa ni kwambie kitu ambacho maybe hukifahamu rivary ya Manchester united na Liverpool haitokani na vita ya makombe japo nayo yanachagiza uhasimu huo....
Vita ya hizi timu ilitokana na industrial evolution na vita ya uchumi baina ya miji hii miwil ,,,,,
Liverpool wenye bandari na Manchester uliyo endelea ki technolojia,,,,,

Vita ili anza wakati ambapo uongozi wa mji wa Liverpool ku fanya figisu za kupandisha ushuru kwa mizogo iendayo Manchester kupitia bandari yao,,, hapo ndio vitaa ikaanza

Ili walazimu watu wa Manchester kuchimba mfereji hadi mjini kwao kutoka baharini ili meli ziende had Manchester ,,,,,

na hizi timu za Manchester united na city zilikua moja ya chachu za ukombozi wa uchum wa Manchester kutoka kwa liver so hapo meli zikawa zina fika had Manchester kupakua mizigo,,,,

Tazama logo za hizi timu zote mbili zina meli zikimaanisha huo ukombozi wa Manchester hivyo Liverpool na Manchester united ni zadi ya Derby ni zaidi ya mahasimu ni zaidi ya football
Kama hataki kuelewa, baasiii!
 
Back
Top Bottom