Leo ndio siku sahihi kwa Manchester United kulipa kisasi kwa Liverpool

Leo ndio siku sahihi kwa Manchester United kulipa kisasi kwa Liverpool

Bado hiyo haimfanyi kutokuwa mchezaji mzuri kwangu mimi!! Rooney hakuwa mchezaji mwenye skills nyingi km gaucho, rooney hakuwa mfungaji mzuri kama thierry henry kichogo, hakuchukua kiatu cha dhahabu ila wastani wake wa ufungaji unaridhisha, kaangalie epl kafunga goli ngapi, uefa na national team..

Yote tisa 10 sikumpendea Rooney kwa hayo, nilimpenda rooney kwa ile roho yake ngumu ya upambanaji, jinsi anavyohaha uwanja mzima, alikuwa ni mchezaji mzuri akicheza namb 10 sometimes anashuka chini anacheza km 8, anashuka anakaba, anaenda kushambulia, anapiga pasi ndefu, anapiga mashuti.. Kwake kulikuwa hakuna kitu unaweza kukikosa.
Umetaja sifa halisi za wazza (rooney )kupata wapambanaji kama wazza au effenberg au Keane watu kama Gerrard ni kazi kubwa mpaka uwe unaujua mpira ndio utawatambua michango yao. Hata baadhi ya makocha hushawishiwa kuwa na wachezaji wa aina hiyo ambao hupigania nembo ya timu muda wote.
 
Man Utd walidhaminiwa na Sharp (Tv) halafu baadae Vodafone ilikuwa hatari sana huku Liverpool wakidhaminiwa na Calsberg (bia) wakiwa wadhamini wa muda mrefu sana wa Liver.

Hiyo jezi yenye nembo ya Calsberg nawakumbuka Spice Boys akina Michael Owen ( The Golden Boy ), Robbie Fowler ( God ) mashabiki wa Liverpool walimuita jina la utani Mungu. Alikuwa na kipaji kikubwa sana cha kufunga.

Halafu kuna mtu wa kuitwa Stan Collymore... we acha utani kabisaa bila kumsahau Mc Manaman. Hapo nazungumzia miaka ile ya 97 mpk 2000!

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakaja watu kama akina Aboubacar Titi Camara, huyo alikuwa Mguinea, mtukutu El Hadji Diouf, Salif Diao japo hakutamba sana, pia alikuwepo mwamba wa Finland, Sammy Happya! Bila kumsahau Mkongwe Danny Murphy.

Cc
Guasa Amboni
Shukran mzee mwenzangu kunijumuisha hapa kiukweli pana ladha na uchungu mwingi kati ya timu hizi kwa muda wote. Historia na mafanikio yake yapo bayana manguli walipata kupitia vilabu hivi ni burudani tosha umewataja robbie na steve aaah nami nimewakumbuka akina paul parker alikuwa fullback kauzu sana kisha Liverpool walikuwa na mtu wa kuitwa Michael Thomas ilikuwa burdan kumtizama achilia mbali John burnes mtu alie kuwa unajua kabisa huyu ni mfia timu. Ladha siwezi kusema imepungua acha niishie kusema imebadilika nawapongeza wadau wote walioshiriki kutoa dondoo muhimu kabisa kuhusu u pinzani wa jadi na uchu wa mafanikio kwa vilabu hivi.
 
Umetaja sifa halisi za wazza (rooney )kupata wapambanaji kama wazza au effenberg au Keane watu kama Gerrard ni kazi kubwa mpaka uwe unaujua mpira ndio utawatambua michango yao. Hata baadhi ya makocha hushawishiwa kuwa na wachezaji wa aina hiyo ambao hupigania nembo ya timu muda wote.
Na hii inamgharimu mesut ozil kila mara anaonekana hovyo japo anakipaji kizur na jicho la pekee... Kina gerrard walikuwa wanacheza hasa wakionesha kwanini nembo ya timu kwenye jezi wameweka upande wa moyo, wanacheza as if timu ni ya baba yao mzazi.
 
Man Utd walidhaminiwa na Sharp (Tv) halafu baadae Vodafone ilikuwa hatari sana huku Liverpool wakidhaminiwa na Calsberg (bia) wakiwa wadhamini wa muda mrefu sana wa Liver.

Hiyo jezi yenye nembo ya Calsberg nawakumbuka Spice Boys akina Michael Owen ( The Golden Boy ), Robbie Fowler ( God ) mashabiki wa Liverpool walimuita jina la utani Mungu. Alikuwa na kipaji kikubwa sana cha kufunga.

Halafu kuna mtu wa kuitwa Stan Collymore... we acha utani kabisaa bila kumsahau Mc Manaman. Hapo nazungumzia miaka ile ya 97 mpk 2000!

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakaja watu kama akina Aboubacar Titi Camara, huyo alikuwa Mguinea, mtukutu El Hadji Diouf, Salif Diao japo hakutamba sana, pia alikuwepo mwamba wa Finland, Sammy Happya! Bila kumsahau Mkongwe Danny Murphy.

Cc
Guasa Amboni


MacManaman nilikuwa namkubali sanaa...Walikuwepo akina Phil Neville, Gary Neville, Gigs, Wes Brown, Andy Cole, Yorky, Sheringham, Batez golikipa wa ufaransa alikuwa fire sanaa, Peter shmeichel alikuwa hana mpinzani, ole guna..ingawa Man u sikuwa naipenda na haitatokea niipende, ila walikuwa hawakamatiki.

LEEDS UNITED moja ya timu nilikuwa naipenda sana pamoja na New castle united... nawakumbuka akina Mark Viduka, Harry Kewell na Jimmy Floyd Hasselbaink huyu ashawahi kuzichezea Leeds, Atletico Madrid and Chelsea, Alan shearer, Eiður Smári Guðjohnsen is an Icelandic former professional footballer who played as a forward nilikuwa namkubali kinoma, Freddie Ljungberg ashawahi chezea Arsenal, Crespo mwajentina huyu pale chelsea alikuwa hakamatiki n.k....aise miaka imepita kamanda...
 

MacManaman nilikuwa namkubali sanaa...Walikuwepo akina Phil Neville, Gary Neville, Gigs, Wes Brown, Andy Cole, Yorky, Sheringham, Batez golikipa wa ufaransa alikuwa fire sanaa, Peter shmeichel alikuwa hana mpinzani, ole guna..ingawa Man u sikuwa naipenda na haitatokea niipende, ila walikuwa hawakamatiki.
LEEDS UNITED moja ya timu nilikuwa naipenda sana pamoja na New castle united... nawakumbuka akina Mark Viduka, Harry Kewell na Jimmy Floyd Hasselbaink huyu ashawahi kuzichezea Leeds, Atletico Madrid and Chelsea, Alan shearer, Eiður Smári Guðjohnsen is an Icelandic former professional footballer who played as a forward nilikuwa namkubali kinoma, Freddie Ljungberg ashawahi chezea Arsenal, Crespo mwajentina huyu pale chelsea alikuwa hakamatiki n.k....aise miaka imepita kamanda...

Kwa Man Utd ongezea Roy Keane, Irwin, Nick Butt, Beckham, Ryan Giggs, Jaap Stam, Teddy Sherringham etc.

Shida sana hawa watu.

Nasikitika Canthona nimeishia kumsikia tu, sikuwahi kumwona akicheza United.
 
Rivalry ya Man United vs Liverpool goes way back, nenda Wikipedia bosi, inagusa mpaka issues za industrialization na economic issues.

Ukiamua kusoma utaelewa, ila ukiamua kubaki na msimamo wako ni sahihi pia.

Humu JF wadau wengi wanapenda kuwa wabishi wa asili hicho kitu kipo wazi derby ni Man united na Liverpool ni kubwa sana

Mfano mdogo baada ya Man united kuwaondoa psg Steven Gerard aliojiwa na akasema wazi kwamba hakupenda Man United walivyo advance quarter final
 
We umeielewaje hio au labda me nimekosea kutafsiri


The Madrid Derby....Real Madrid vs Atlético Madrid

For long periods, this was one of those lopsided rivalries we talked about but there are few things Atléti fans enjoy more than getting one over on their illustrious neighbours. In the 2010’s it has been an increasingly important and even fixture with Atlético rising to become a serious European force that has led to two Champions League Final Madrid derbies, both won in dramatic circumstances by Los Blancos. While we’d dispute the notion that this match is bigger than El Clásico, in terms of the quality of the two teams, this is perhaps now the premier city derby in world football.




El Clásico....Barcelona vs Real Madrid

This one doesn’t really need any introduction. It would be silly to even try and summarise the complexities and politics of the Clásico into a short paragraph but it’s safe to say that this remains the biggest game in world football featuring the two biggest clubs on the planet. Unlike many major rivalries and derby matches, the action normally lives up to the hype with attacking football, sublime skill and several goals usually guaranteed. Tickets for this fixture don’t come cheap but if there’s one game you want to experience in your lifetime, it’s surely this one
.

Labda mimi ndie nimekosea kamanda?
 
Kwa Man Utd ongezea Roy Keane, Irwin, Nick Butt, Beckham, Ryan Giggs, Jaap Stam, Teddy Sherringham etc.

Shida sana hawa watu.

Nasikitika Canthona nimeishia kumsikia tu, sikuwahi kumwona akicheza United.

Sheringham na gigs tayari nlishawataja...yeah Beckham, Kane na stam...bila kuwasahau Paul Scholes na striker wao matata Ruud van Nistelrooy 😀


Cantona, hata mimi sikupata bahati yakumuona. Man u walikuwa na majembe bwana
....
 
Acha urongo, Man. Utd hakuwa kwenye posibility yoyote ya kupata ubingwa kwa msimu huo. Possibility pekee ilikuwa ni ama kwa Man. City ama Liverpool. Na kusema ukweli Gerard aliichoma Liverpool kuliko timu nyingine yoyote. Lakini pia man. Utd kwa sasa hana uwezo wowote wa kuifunga timu yoyote iliyo top six na kwa hivyo asitafute kisingizio eti atafungwa kwa makusudi ili kuwakomoa Liver, atafungwa ni vile hana uwezo.
Tuliaa kijanaaa unavuta Gongo au???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15]
 
Shukran mzee mwenzangu kunijumuisha hapa kiukweli pana ladha na uchungu mwingi kati ya timu hizi kwa muda wote. Historia na mafanikio yake yapo bayana manguli walipata kupitia vilabu hivi ni burudani tosha umewataja robbie na steve aaah nami nimewakumbuka akina paul parker alikuwa fullback kauzu sana kisha Liverpool walikuwa na mtu wa kuitwa Michael Thomas ilikuwa burdan kumtizama achilia mbali John burnes mtu alie kuwa unajua kabisa huyu ni mfia timu. Ladha siwezi kusema imepungua acha niishie kusema imebadilika nawapongeza wadau wote walioshiriki kutoa dondoo muhimu kabisa kuhusu u pinzani wa jadi na uchu wa mafanikio kwa vilabu hivi.
Asante mkuu
 
Humu JF wadau wengi wanapenda kuwa wabishi wa asili hicho kitu kipo wazi derby ni Man united na Liverpool ni kubwa sana
Mfano mdogo baada ya Man united kuwaondoa psg Steven Gerard aliojiwa na akasema wazi kwamba hakupenda Man United walivyo advance quarter final

Watanzania asilimia kubwa tuna tatizo la kutopenda kusoma (kujiongezea knowledge) hata kama ni ya vitu vidogo. Tukishakariri kitu basi tunaendelea kubaki hivyo hivyo.

Jamaa kakopi Wikipedia kamwekea, hapo inasema Man Utd vs Liverpool ni North West Derby na ni one of the biggest football rivalry, jamaa bado anaendelea kukomaa.

Mtu kama huyo unamsaidiaje?
 
Msimu wa 2009/2010 nahodha wa liverpoolfc wakati huo Seven Gelard alichoma kwa makusu mechi dhidi ya chelseafc wafungwe ili Manchester united wasichukue ubingwa mwaka huo, alipo hojiwa alisema
"Nina jezy za timu zote epl kasoro ya Manchester united"

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Video ya Gelard akichoma kwa makusudi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Acha kujifariji United haina Timu ya kuifunga city
 
Leeds anaendeleaje sijui, around Feb alikuwa ana dalili za kuweza kupanda EPL.

Walianza vizuri, Juzi tena walifungwa na Brentford, na msimamo wao uko 👇
Screenshot_20190425-134328_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom