Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 4,460 Reaction score 13,715 Sep 16, 2024 #1 Leo ni mwanzo wa hearing ya man shitty kutokana tuhuma zao za kitapeli tapeli katika soka. Unaweza kununua makombe lakini hauwezi kununua historia na class. Ndio maana nabaki kusema man utd, liverpool na Arsenal ndio sura ya Epl.
Leo ni mwanzo wa hearing ya man shitty kutokana tuhuma zao za kitapeli tapeli katika soka. Unaweza kununua makombe lakini hauwezi kununua historia na class. Ndio maana nabaki kusema man utd, liverpool na Arsenal ndio sura ya Epl.