Leo ndio siku ya matapeli wa soccer kujibu tuhuma 115

Leo ndio siku ya matapeli wa soccer kujibu tuhuma 115

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Leo ni mwanzo wa hearing ya man shitty kutokana tuhuma zao za kitapeli tapeli katika soka.

Unaweza kununua makombe lakini hauwezi kununua historia na class.

Ndio maana nabaki kusema man utd, liverpool na Arsenal ndio sura ya Epl.
20240916_122046.jpg
 
Back
Top Bottom