Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

Ha ha ha ukikuta watu pembeni ya dimbwi unawasalimia kwa adabu unawauliza hapa vipi..unaambiwa pita pembenipembeni kaka!
Acha dharau wewe...lisalimie X6 lako[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Haya mkuu...tembea na nyumba yako kama kobeπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
hahaa watu mnamaneno..MVUA jinsi zilivyokiwa na majaribu kama umeoa halafu huna Gari lazima uchapiwe tu mkeo "" maana sidhani kama mkeo ataweza kukataa lifti akiwa anarudi kutoka kazini "" wakati mvua ya mnyeshea na bado anachelewa kurudi nyumbani""

hapo ndio utakapo ijua NGUVU ya GARI"" na ndio utaijua haswaaa maana halisi haswaa YA MSAMIATI USEMAO YAJAYO YANAFURAJISHA
 
Kama upo Dar sasa hivi kuna mvua inamwagika balaa! Kitakuwa kifurushi cha mwezi hiki!
 
Hapa kwtu mambo safi wanawake wanakwambia muda bado had mavuno ndo wanawakumbuka wanaume maan sas hiv usawa unakaba
 
Hii mvua imeleta balaa, usafiri hamna watu wamezagaa barabarani na miamvuli kwa kweli hata kutoa lift ni ngumu maana utamchukua yupi utamuacha yupi?

Leo ndio baba mwenye gari anatembea kifua mbele
bado nakuwaza mkuu maana hali ndio kama unavyoina tena siku ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…