Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Hivi hiyo mvua ikowapi? Kama iko darisalama mbona mnataka kufanya kama imenyesha kote tz...sisi huku mikoani hamna mafuriko wala mvua mambo ni safi na inanyeesha kistaarabu....
Msilete mambo ya nuhu na ndugu zake yalitokea mafuriko huko kwao basi waka assume kama basi dunia nzima kulikua na mafuriko...
Unapotoa habari kua specific
[emoji23] [emoji23] [emoji23] HAKIKA