Hivi hiyo mvua ikowapi? Kama iko darisalama mbona mnataka kufanya kama imenyesha kote tz...sisi huku mikoani hamna mafuriko wala mvua mambo ni safi na inanyeesha kistaarabu....
Msilete mambo ya nuhu na ndugu zake yalitokea mafuriko huko kwao basi waka assume kama basi dunia nzima kulikua na mafuriko...
Unapotoa habari kua specific
109 huwa naona yale ma breakdown truck tu!Na Land Rover 109 v8 langu sina habari.Kuna sehemu nawaonea huruma wenye vitz,ist na passo wanapata tabu kweli.
Jana niliamua kutoa msaada wa kuvuta hayo magari tena navuta gari mbili kwa mpigo.Kuna kamlima kana udongo wa mfinyanzi halafu pamechimbika.
Hahahaa yale yamechoka!Yangu iko tofauti.109 huwa naona yale ma breakdown truck tu!
"Daraja limevunjika njia haipitiki" watusamehe tu na mvua tuende wapi?Mkuu hali ni mbaya na waajiri wamesisitiza hamna kutega
umejeua kunichekesha hahahaahaha na baridi hili i needed some gud laughUkiskia shogaako anaetaka mwendesha
Tractor uniambie
Hii yang hata jangwaaaan inapta
Toyota kwenye dash board wamezingua sana..Niliwaambia wanaume wanunue magar wakanijazia mapovu leo sasa ndo wajue umuhimu unaenda kazin umechafuka chapachapaaaa
Wadada oleweni na wanaume wenye magar jaman mateso ya nn
View attachment 746006
Kwani hamna mwenye gari aliejiajiri? Dua la kuku...Mwenye gari anaepambana kwenye foleni ili awahi kwa mwajiri wake kumfanyia kazi ili apate kodi ya kulipa nyumba na mwenye nyumba aliyejiajiri ameamua kulala tu leo maana hakuna anaempangia shughuli zake yupi ana maisha?
Ngoja hizo Passo na Vitz zenu ziingie maji kwenye engine zizime halafu mchelewe makazini kama hamkukutana na barua za kupumzishwa kazi kama sio kufukuzwa kazi kwa uzembe.
ha haaaaa....hapo wenye magari leo ndo utawajua majirani zako..Mkuu hali ni mbaya na waajiri wamesisitiza hamna kutega
Sijui naionaje hyo dashboard. Kama imepunjwa vitu hivi.Kwanini?
Yah wapo,hapo nilizungumzia wale wenye ya kukopa.Kwani hamna mwenye gari aliejiajiri? Dua la kuku...
Mwenye gari anaepambana kwenye foleni ili awahi kwa mwajiri wake kumfanyia kazi ili apate kodi ya kulipa nyumba na mwenye nyumba aliyejiajiri ameamua kulala tu leo maana hakuna anaempangia shughuli zake yupi ana maisha?
Ngoja hizo Passo na Vitz zenu ziingie maji kwenye engine zizime halafu mchelewe makazini kama hamkukutana na barua za kupumzishwa kazi kama sio kufukuzwa kazi kwa uzembe.
Hahah...Haya mkuu...tembea na nyumba yako kama kobeπππ
Usipokuwa makini unatumbukia mtaro tena mitaro mingine ki Passo kinazama kabisa