Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
Wanajamvi leo ndiyo siku ya kusikiliza kwa mara nyingine kesi iliyokwisha kutolewa hukumu.
Hukumu iligubikwa na mambo mengi ya sitofahamu kama vile kuonewa na kukomoana.
Macho na masikio ya watanzania karibu wote watataka kujua kipi kitakocho tokea leo mahakamani kumuhusu babu seya na mwanae.
Kwa upande mwingine watu wanasema kwanini li kapuya achukuliwi hatua yeyote hadi dakika hii,au kwa vile amesema yeye ndiye atakuja kuwa pm mtarajwa?! Shame on him kapu head mtaaramu wa down.
Hukumu iligubikwa na mambo mengi ya sitofahamu kama vile kuonewa na kukomoana.
Macho na masikio ya watanzania karibu wote watataka kujua kipi kitakocho tokea leo mahakamani kumuhusu babu seya na mwanae.
Kwa upande mwingine watu wanasema kwanini li kapuya achukuliwi hatua yeyote hadi dakika hii,au kwa vile amesema yeye ndiye atakuja kuwa pm mtarajwa?! Shame on him kapu head mtaaramu wa down.