Leo ndiyo leo: Messi, Ronaldo vitani kupambania mataifa yao

Mungu ibariki Albiceleste. Hope watafanya wonders kama watapita.



1 King Messi
2 mchawi Dybala
3 Kun Aguero
4 Higuain
5 De Maria
6 lcardi
7 Mascherano
8 Maidana
9 Nicolas Gaitan
10 Javier Pastore
11 Fernando Gago
12 Marcos Rojo.
13 emanuel Mammana
14 angel correa
15 ezequiel lavezi n.k
16 Jonathan Maidana

Wana majembe yakufa m2. Mungu ibariki Argentina wapite na wabebe ndoo.
 

Katika ubora wako mzee PETRO. big up kiongozi

Vivaa Argentina
Vivaa King
 
Hapo ndipo utagundus America hawana utani linapokuja suala la soka.

Inauma kuikosa Argentina kwenye michuano kama hiyo,Upande wa Ureno namiss vipaji vyao miaka 12 kurudi nyuma
 
King Leo Messi lazima afanye kweli leo...

Kila la kheri uswisi Granit Xhaka we can do this...
 
Reactions: PNC

Maajabu hayaishi duniani timu ina King na inampaka mchawi lakini wanakaribia kukata roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…