Jamaa aliwaweza sanaLage alikua mwamba kwelikweli yaani aliweza kutamka neno ilo katika mkutano mkuu wa matawi yote na akatoka salama!!,[emoji1][emoji1][emoji1]
Halafu hamkawii kupiga mayowe. Mkiwashwa huko lazima muwakumbuke wakunaji wenuNichukue nafasi kutuma salamu kwa mbumbumbu wafuatao:-
1. Mbumbumbu Kalpana
2. Mbumbumbu pwilo
3. Mbumbumbu SAGAI GALGANO
4. Mbumbumbu Waminyato
5. Mbumbumbu DullyJr
6. Mbumbumbu Mshana Jr
7. Mbumbumbu Scars
8. Mbumbumbu Ghazwat
9. Mbumbumbu OKW BOBAN SUNZU
10. Mbumbumbu Proved
11. Na mwisho kabisa kwa mbumbumbu wote ambao sijafanikiwa kuwataja hapo juu.
Ujumbe; Sisi mashabiki kutoka upande wa pili tuko tayari kuwachangia chochote, ili ipatikane fedha ya kumjengea yule mwamba mnara wa kumbukumbu kwa ujasiri wake wa kuwaita mbumbumbu mbele yenu, halafu mkashindwa kumfanya kitu.
Kuna MBUMBUMBU GENTAMYCINE umemtia kapuniNichukue nafasi kutuma salamu kwa mbumbumbu wafuatao:-
1. Mbumbumbu Kalpana
2. Mbumbumbu pwilo
3. Mbumbumbu SAGAI GALGANO
4. Mbumbumbu Waminyato
5. Mbumbumbu DullyJr
6. Mbumbumbu Mshana Jr
7. Mbumbumbu Scars
8. Mbumbumbu Ghazwat
9. Mbumbumbu OKW BOBAN SUNZU
10. Mbumbumbu Proved
11. Na mwisho kabisa kwa mbumbumbu wote ambao sijafanikiwa kuwataja hapo juu.
Ujumbe; Sisi mashabiki kutoka upande wa pili tuko tayari kuwachangia chochote, ili ipatikane fedha ya kumjengea yule mwamba mnara wa kumbukumbu kwa ujasiri wake wa kuwaita mbumbumbu mbele yenu, halafu mkashindwa kumfanya kitu.
Ambaye ni Basha wako wa Kutukuka.Kuna MBUMBUMBU GENTAMYCINE umemtia kapuni
Haya ndo majibu ya mambumbumbuAmbaye ni Basha wako wa Kutukuka.
Ambao ni Basha zako wa Kutukuka.Haya ndo majibu ya mambumbumbu
Na hizi ndiyo post za mataahira ya utopolo, mambo yenu ya kidemu demu tuHaya ndo majibu ya mambumbumbu
Kwa hiyo mashabiki wa mbumbumbu wa kike umewakana?Na hizi ndiyo post za mataahira ya utopolo, mambo yenu ya kidemu demu tu
muulize huyo choko mwenzako mnaye share naye bashaKwa hiyo mashabiki wa mbumbumbu wa kike umewakana?
Mbumbumbu umepaniki Ahahahahahaaa..!!muulize huyo choko mwenzako mnaye share naye basha
Siwezi kuhamaki kwa watu wa jinsia ya tatu kama weweMbumbumbu umepaniki Ahahahahahaaa..!!
Salamu za kwanza kwa Master jeans,za pili kwa Maharamia na Rafiki yake Cambiasso shitukaa🚶Leo tunaadhimisha kuasisiwa kwa jina la mbumbumbu kwa wahusikaView attachment 2416818
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Mbumbumbu fc ameota mchana amefunga mwananchi hamsaaa🤚🥱
Usinipangie matumizi ya simu yangu,na hata wewe japo mjomba wangu ukibong'oa nakuwekaHivi inawezekana vipi mtu na akili zako timamu unakaa na picha za mashoga kwenye gallery ya simu yako! Au ndiyo tujiongeze na ule msemo wa Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba?