Leo ni final ya bongo star search

Leo ni final ya bongo star search

Talent ya Ruby ni kubwa mnoo na mtizama hapa ktk fainal za bongo star search ana imba live kwa kifupi ktk historia ya bongo fleva,hamna anaye mfikia Ruby upande wa vocal.

Anajua kupanda na kushuka ,ana upepo wa kutosha.Angezaliwa mbele Ruby sasa hivi milionea.

Kwa kifupi Ruby ni CLASSIC material.
Na Ruby amekua mshindi no.2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruby ni habari nyingine hakuna hata mmoja anayemfikia hapa bongo sema cos yupo hapa bongo ndomaana wanamchulia poa yule angekuwa ni mmarekani huyo jamaa asingelitaja jina la jide mbele ya Ruby.huyo jide hata robo ya uwezo wa Ruby Hana
👍
 
hakuna hata picha mkuu...nilikuwa hata sijui kama mashindano yapo.
 
Talent ya Ruby ni kubwa mnoo na mtizama hapa ktk fainal za bongo star search ana imba live kwa kifupi ktk historia ya bongo fleva,hamna anaye mfikia Ruby upande wa vocal.

Anajua kupanda na kushuka ,ana upepo wa kutosha.Angezaliwa mbele Ruby sasa hivi milionea.

Kwa kifupi Ruby ni CLASSIC material.
Umesema milionea au ulikuwa unaamaanisha bilionea coz hizo million analipwa sana sana so ruby ni milionea kina honks a misha ni nidhamu tu,
 
Umesema milionea au ulikuwa unaamaanisha bilionea coz hizo million analipwa sana sana so ruby ni milionea kina honks a misha ni nidhamu tu,
Hizo milioni anazolipwa unazipokea WEWE?

Nidhamu we mzazi wake?

Tatizo system yenu ya mziki bongo ni mbovu,Miungu watu kibao,ukizinguana nao utasikia "dogo jeuri,ana kiburi,tumemtoa sisi,tutaona kama atafika mbali".
 
Hizo milioni anazolipwa unazipokea WEWE?

Nidhamu we mzazi wake?

Tatizo system yenu ya mziki bongo ni mbovu,Miungu watu kibao,ukizinguana nao utasikia "dogo jeuri,ana kiburi,tumemtoa sisi,tutaona kama atafika mbali".
Acha kufikiria kwa kutumia matako mkuu, ruby alivyokuja kuperfom club 84 pale area d, brother angu George tingisha ambaye ni promota alimlipa milion3, nidhamu ni muhimu kwenye kila kitu narudia tena ktk kila kitu mond wakati anatoboa alishaperfom sana bure kwenye fiesta na show nyingi zilizokuwa zinaandaliwa na clouds zikiwemo show zote za escape one na next door, but hakuwahi kuwavimbia hata kuwa disrespect coz alikuwa anajua nidhamu ni kila kitu kwenye career yake, huyo ruby ambaye anawavimbia clouds wao ndio waliomtoa matopeni,wakamfanya awe famous nyimbo walikuwa wanamtungia wao,pesa ya audio na video walikuwa wanamlipia wao, tembea na yule ilikuwa ni nyimbo ya barnaba na alishairekodi lakini ruge akamnyang'anya akampa ruby ili tu na yeye ashine anawezaje kuwavimbia? Mbona alivyoondoka clouds alipotea? Ruge ndio alikuwa kila kitu kwa ruby kupitia THT
 
Acha kufikiria kwa kutumia matako mkuu, ruby alivyokuja kuperfom club 84 pale area d, brother angu George tingisha ambaye ni promota alimlipa milion3, nidhamu ni muhimu kwenye kila kitu narudia tena ktk kila kitu mond wakati anatoboa alishaperfom sana bure kwenye fiesta na show nyingi zilizokuwa zinaandaliwa na clouds zikiwemo show zote za escape one na next door, but hakuwahi kuwavimbia hata kuwa disrespect coz alikuwa anajua nidhamu ni kila kitu kwenye career yake, huyo ruby ambaye anawavimbia clouds wao ndio waliomtoa matopeni,wakamfanya awe famous nyimbo walikuwa wanamtungia wao,pesa ya audio na video walikuwa wanamlipia wao, tembea na yule ilikuwa ni nyimbo ya barnaba na alishairekodi lakini ruge akamnyang'anya akampa ruby ili tu na yeye ashine anawezaje kuwavimbia? Mbona alivyoondoka clouds alipotea? Ruge ndio alikuwa kila kitu kwa ruby kupitia THT
We ndio unafikiria kwa kutumia MATAKO,wewe kaka yako kumpa milion 3 unazani kila mtu anampa milion tatu.?

Kumtoa matopeni sio issue,bali unatakiwa umfanye apate pesa kupitia kipaji chake ndio cha muhimu,unamfanya mtu kuwa super star ambaye mfukoni hana kitu,akishuka hujui kwamba una mpa msalaba,manake hawezi kuishi maisha yake kama zamani,kula kwenye vibanda,kupanda daladala nk mwisho wa siku ana kuwa na stress na kujuta.

Bora umwache afanye maisha yake ya kawaida,hujui kesho angefikiria nini kwa ajili ya maisha yake.

Hayo maswala ya nidhamu yanatengenezwa na washika dau,kuharibu brand ya msanii kisa kakataa kufanya show kwa hela kidogo na kwa kuwa wao wana sauti ktk media watasambaza uongo wa kila aina "mara hana nidhamu,kiburi ,jeuri,hatusikilizi".

SANAA ISIWE NI KAZI YA KUTENGENEZA MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA.
 
We ndio unafikiria kwa kutumia MATAKO,wewe kaka yako kumpa milion 3 unazani kila mtu anampa milion tatu.?

Kumtoa matopeni sio issue,bali unatakiwa umfanye apate pesa kupitia kipaji chake ndio cha muhimu,unamfanya mtu kuwa super star ambaye mfukoni hana kitu,akishuka hujui kwamba una mpa msalaba,manake hawezi kuishi maisha yake kama zamani,kula kwenye vibanda,kupanda daladala nk mwisho wa siku ana kuwa na stress na kujuta.

Bora umwache afanye maisha yake ya kawaida,hujui kesho angefikiria nini kwa ajili ya maisha yake.

Hayo maswala ya nidhamu yanatengenezwa na washika dau,kuharibu brand ya msanii kisa kakataa kufanya show kwa hela kidogo na kwa kuwa wao wana sauti ktk media watasambaza uongo wa kila aina "mara hana nidhamu,kiburi ,jeuri,hatusikilizi".

SANAA ISIWE NI KAZI YA KUTENGENEZA MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA.
Huna akili wewe hayo mafanikio ulitaka ayapate ndani ya siku moja au mwaka mmoja je Tanzania show ni fiesta tu peke yake? By that time ruby alikuwa na wimbo mmoja tu tembea na yule ulitaka wamlipe sh ngapi milion5 au 10? Ni msanii gani Tanzania ambaye show yake ya kwanza alilipwa milioni 3,4 au 5? Mbona wakina nandy waliweza kuvumilia sasa HV wanapiga show mpk Dubai? Kenya? Mpk ulaya?
 
Huna akili wewe hayo mafanikio ulitaka ayapate ndani ya siku moja au mwaka mmoja je Tanzania show ni fiesta tu peke yake? By that time ruby alikuwa na wimbo mmoja tu tembea na yule ulitaka wamlipe sh ngapi milion5 au 10? Ni msanii gani Tanzania ambaye show yake ya kwanza alilipwa milioni 3,4 au 5? Mbona wakina nandy waliweza kuvumilia sasa HV wanapiga show mpk Dubai? Kenya? Mpk ulaya?

Nandy aliweza vumilia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na kweli alivumilia mengi,kavumilia haswa.

Jiulize Nandy na Barnaba nani ana uwezo mkubwa wa kuimba,alafu pima mafanikio ya Barnaba na Nandy jiulize mafanikio ya Nandy source yake nini?

Barnaba pamoja na uwezo wake wa kutunga na kuwatungia wenzake nyimbo na uwezo mkubwa wa kuimba na kupiga gita lkn leo ana nini.

Mda si mrefu atarudi kwao Kigogo Luhanga kwao.Alafu kesho wataanza kumcheka HANA WADHIFA.
 
Nandy aliweza vumilia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na kweli alivumilia mengi,kavumilia haswa.

Jiulize Nandy na Barnaba nani ana uwezo mkubwa wa kuimba,alafu pima mafanikio ya Barnaba na Nandy jiulize mafanikio ya Nandy source yake nini?

Barnaba pamoja na uwezo wake wa kutunga na kuwatungia wenzake nyimbo na uwezo mkubwa wa kuimba na kupiga gita lkn leo ana nini.

Mda si mrefu atarudi kwao Kigogo Luhanga kwao.Alafu kesho wataanza kumcheka HANA WADHIFA.
Kwenye huu muziki wa bongo ukiwa msanii mchanga na haujakita vizuri mizizi na haujaji establish vizuri usiwavimbie wadau utapotea tu, we vumilia tu pigs kazi kweli kweli Fanya muziki kweli kweli siku moja watakuheshimu tu,
 
Kwenye huu muziki wa bongo ukiwa msanii mchanga na haujakita vizuri mizizi na haujaji establish vizuri usiwavimbie wadau utapotea tu, we vumilia tu pigs kazi kweli kweli Fanya muziki kweli kweli siku moja watakuheshimu tu,
Nimekuuliza Barnaba ana nini?Tena ni msanii mwenye Talent kubwa.

Siku ukimwona karudi kwao Kigogo Luhanga usishangae,pamoja kuji establish kwake.
 
Back
Top Bottom