Leo ni Kumbukizi ya Nguli wa Muziki Congo DR na Afrika Franco A.K.A Le Grand Mitre

Leo ni Kumbukizi ya Nguli wa Muziki Congo DR na Afrika Franco A.K.A Le Grand Mitre

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Franco Luambo Makiadi A.K.A Le Grand Mitre (Mwalimu Mkuu) atakumbukwa kwa mengi ila makubwa ni haya yafuatayo;

1. Utunzi makini.
2. Upangiliaji wa nyimbo.
3. Upigaji bora wa solo gitaa.
4. Uibuaji wa vipaji vya muziki.
5. Nidhamu kwa wanamuziki.
6. Sebene la muda mrefu.
7. Kuchomekea majina katika nyimbo.

Sifa yake nyingine binafsi alikuwa ni mtu wa kupenda sana kula ugali, kisamvu, samaki na pilipili nyingi.

Marehemu Franco ndiyo icon ya muziki wa Congo DR (zamani Zaire) na ndiyo maana mpaka leo 99% ya wanamuziki wakubwa na maarufu wa huko huenda kuhiji katika kaburi lake ili kupata baraka zaidi kimuziki kama Jean Bedele Tshituka Mpiana (JB Mpiana) A.K.A Bin Adam A.K.A Souverain Premiere A.K.A Moto Pamba A.K.A Mareshale Mukulu A.K.A Papa Cherie A.K.A Lonkia Milo Dan Kokoo A.K.A Sulutane A.K.A Mukulu ya Bamukulu na A.K.A De La Patria.

R.I.P Fundi Franco Luambo Makiadi.
 
Franco Luambo Makiadi a.k.a Le Grand Mitre ( Mwalimu Mkuu ) atakumbukwa kwa mengi ila makubwa ni haya yafuatayo....

1. Utunzi makini
2. Upangiliaji wa Nyimbo
3. Upigaji bora wa Solo Gitaa
4. Uibuaji wa Vipaji vya Muziki
5. Nidhamu kwa Wanamuziki
6. Sebene la muda mrefu
7. Kuchomekea Majina katika Nyimbo

Sifa yake nyingine Binafsi alikuwa ni Mtu wa kupenda sana kula Ugali, Kisamvu, Samaki na Pilipili nyingi.

Marehemu Franco ndiyo Icon ya Muziki wa Congo DR ( zamani Zaire ) na ndiyo maana mpaka leo 99% ya Wanamuziki Wakubwa na Maarufu wa huko huenda Kuhiji katika Kaburi lake ili kupata Baraka zaidi Kimuziki kama Jean Bedele Tshituka Mpiana ( JB Mpiana ) a.k.a Bin Adam a.k.a Souverain Premiere a.k.a Moto Pamba a.k.a Mareshale Mukulu a.k.a Papa Cherie a.k.a Lonkia Milo Dan Kokoo a.k.a Sulutane a.k.a Mukulu ya Bamukulu na a.k.a De La Patria

R.I.P Fundi Franco Luambo Makiadi.
Kweli nimeamini humjui vzr huyu mwanamuziki ,hat nyimbo yake moja maharufu ujaiwekaa ya 'mamou, naona umeiokoteza tu hi hbr
 
Franco Luambo Makiadi a.k.a Le Grand Mitre ( Mwalimu Mkuu ) atakumbukwa kwa mengi ila makubwa ni haya yafuatayo....

1. Utunzi makini
2. Upangiliaji wa Nyimbo
3. Upigaji bora wa Solo Gitaa
4. Uibuaji wa Vipaji vya Muziki
5. Nidhamu kwa Wanamuziki
6. Sebene la muda mrefu
7. Kuchomekea Majina katika Nyimbo

Sifa yake nyingine Binafsi alikuwa ni Mtu wa kupenda sana kula Ugali, Kisamvu, Samaki na Pilipili nyingi.

Marehemu Franco ndiyo Icon ya Muziki wa Congo DR ( zamani Zaire ) na ndiyo maana mpaka leo 99% ya Wanamuziki Wakubwa na Maarufu wa huko huenda Kuhiji katika Kaburi lake ili kupata Baraka zaidi Kimuziki kama Jean Bedele Tshituka Mpiana ( JB Mpiana ) a.k.a Bin Adam a.k.a Souverain Premiere a.k.a Moto Pamba a.k.a Mareshale Mukulu a.k.a Papa Cherie a.k.a Lonkia Milo Dan Kokoo a.k.a Sulutane a.k.a Mukulu ya Bamukulu na a.k.a De La Patria

R.I.P Fundi Franco Luambo Makiadi.
Nadhani siyo kwa Congo tu mi naweza kusema ni kwa Afrika nzima. The guy was exceptional!
 

Attachments

Kweli nimeamini humjui vzr huyu mwanamuziki ,hat nyimbo yake moja maharufu ujaiwekaa ya 'mamou, naona umeiokoteza tu hi hbr
Unapenda sana Kujipendekeza ( Kushoboka ) Kwangu Kutwa uwapo hapa Jamiiforums kama Paka aliyeko katika 'Heat: tayari Kupandwa na Dume na azae ( amzalie ) Watoto wengi.

Unaboa badilika kwani hujachelewa.
 
Mm mwenyewe naamini kuwa uwezi fananishwa na mapopoma nilibaini kuwa huna multiple IDs
Unapenda sana Kujipendekeza ( Kushoboka ) Kwangu Kutwa uwapo hapa Jamiiforums kama Paka aliyeko katika 'Heat: tayari Kupandwa na Dume na azae ( amzalie ) Watoto wengi.

Unaboa badilika kwani hujachelewa.
 
Unapenda sana Kujipendekeza ( Kushoboka ) Kwangu Kutwa uwapo hapa Jamiiforums kama Paka aliyeko katika 'Heat: tayari Kupandwa na Dume na azae ( amzalib Watoto wengi.

Unaboa badilika kwani hujachelewa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Le Grande Maitre. Umenikumbusha majonzi makubwa sana October 12 1989 nikiwa kijana mdogo sana nilipata habari za kifo cha Franco nikiwa Matadi Congo DRC kikitangazwa na Mobutu kupitia Redia France RFI.
Kifo cha Franco kilinisikitisha sana mpaka leo huwa nahudhunika na kufika mbali.

Verckys Kiambukuta saxophone wa O.K Jazz na yeye amefariki leo tarehe 13/10/2022 majira ya jioni jijini Kinshasa. Amekufa siku moja sawa na tarehe ya mwalimu wake Makiadi.
Nalela mabele richie (hakika udongo ni tajiri).

Nitakukumbuka Franco na nyimbo hizi Attention na Sida (Beware of AIDS)
Azda. (A praise to a then VW car brand)
Pesa position.
Mario.
Mamuu.
Matata ya mwasi na mobali silate na mokili mama...

R.I.P Le grand Maitre (Mwalimu mkuu/Mwalimu wa walimu),mwalimu wa Vicky Longomba (Baba yake Awilo).
Mwalimu wa Madilu System (He gave him the name systeme)
Mwalimu wa Sam Mangwana.
Mwalimu wa Simaro Lutumba.
Mwalimu wa Wuya Mayi.
Mwalimu wa Verckys Kiambukuta.
Mwalimu wa Mpongo Love.

Kweli udongo ni tajiri.

CHIVUNDU
 
franco-luambo-makiadi-dinitiatives-perpetuer--L-gZ7ouu.jpeg

Franco Luambo Makiadi RIP.

Nilianza nikiw mdogo kupenda mziki wa congo kwa ajili ya Franco,
Mzee wangualikua na santuri visahani nyingi sana,
Franco,Sam Mangwana,Tabu ley,ochestra veve na nyingi sana zingine.
Ila hii ya Franco picha hapo juu ilikua komesha na favourite yake kila akiwa home tutaisikia huku akigonga safari.
Na mimi nikiambulia harufu ya visoda vya safari kila akifungua lazima anipe ninuse aroma😁😂😂😂 huku tunakula rhumba.
 
Le Grande Maitre. Umenikumbusha majonzi makubwa sana October 12 1989 nikiwa kijana mdogo sana nilipata habari za kifo cha Franco nikiwa Matadi Congo DRC kikitangazwa na Mobutu kupitia Redia France RFI.
Kifo cha Franco kilinisikitisha sana mpaka leo huwa nahudhunika na kufika mbali.

Verckys Kiambukuta saxophone wa O.K Jazz na yeye amefariki leo tarehe 13/10/2022 majira ya jioni jijini Kinshasa. Amekufa siku moja sawa na tarehe ya mwalimu wake Makiadi.
Nalela mabele richie (hakika udongo ni tajiri).

Nitakukumbuka Franco na nyimbo hizi Attention na Sida (Beware of AIDS)
Azda. (A praise to a then VW car brand)
Pesa position.
Mario.
Mamuu.
Matata ya mwasi na mobali silate na mokili mama...

R.I.P Le grand Maitre (Mwalimu mkuu/Mwalimu wa walimu),mwalimu wa Vicky Longomba (Baba yake Awilo).
Mwalimu wa Madilu System (He gave him the name systeme)
Mwalimu wa Sam Mangwana.
Mwalimu wa Simaro Lutumba.
Mwalimu wa Wuya Mayi.
Mwalimu wa Verckys Kiambukuta.
Mwalimu wa Mpongo Love.

Kweli udongo ni tajiri.

CHIVUNDU
Siku tatu mbele mie nazaliwa
 
Le Grande Maitre. Umenikumbusha majonzi makubwa sana October 12 1989 nikiwa kijana mdogo sana nilipata habari za kifo cha Franco nikiwa Matadi Congo DRC kikitangazwa na Mobutu kupitia Redia France RFI.
Kifo cha Franco kilinisikitisha sana mpaka leo huwa nahudhunika na kufika mbali.

Verckys Kiambukuta saxophone wa O.K Jazz na yeye amefariki leo tarehe 13/10/2022 majira ya jioni jijini Kinshasa. Amekufa siku moja sawa na tarehe ya mwalimu wake Makiadi.
Nalela mabele richie (hakika udongo ni tajiri).

Nitakukumbuka Franco na nyimbo hizi Attention na Sida (Beware of AIDS)
Azda. (A praise to a then VW car brand)
Pesa position.
Mario.
Mamuu.
Matata ya mwasi na mobali silate na mokili mama...

R.I.P Le grand Maitre (Mwalimu mkuu/Mwalimu wa walimu),mwalimu wa Vicky Longomba (Baba yake Awilo).
Mwalimu wa Madilu System (He gave him the name systeme)
Mwalimu wa Sam Mangwana.
Mwalimu wa Simaro Lutumba.
Mwalimu wa Wuya Mayi.
Mwalimu wa Verckys Kiambukuta.
Mwalimu wa Mpongo Love.

Kweli udongo ni tajiri.

CHIVUNDU

Ni moja ya vijana wa Africa walioacha alama kubwa sanaa hakika nampenda toka nmezifahamu nyimbo zake.
 
Le Grande Maitre. Umenikumbusha majonzi makubwa sana October 12 1989 nikiwa kijana mdogo sana nilipata habari za kifo cha Franco nikiwa Matadi Congo DRC kikitangazwa na Mobutu kupitia Redia France RFI.
Kifo cha Franco kilinisikitisha sana mpaka leo huwa nahudhunika na kufika mbali.

Verckys Kiambukuta saxophone wa O.K Jazz na yeye amefariki leo tarehe 13/10/2022 majira ya jioni jijini Kinshasa. Amekufa siku moja sawa na tarehe ya mwalimu wake Makiadi.
Nalela mabele richie (hakika udongo ni tajiri).

Nitakukumbuka Franco na nyimbo hizi Attention na Sida (Beware of AIDS)
Azda. (A praise to a then VW car brand)
Pesa position.
Mario.
Mamuu.
Matata ya mwasi na mobali silate na mokili mama...

R.I.P Le grand Maitre (Mwalimu mkuu/Mwalimu wa walimu),mwalimu wa Vicky Longomba (Baba yake Awilo).
Mwalimu wa Madilu System (He gave him the name systeme)
Mwalimu wa Sam Mangwana.
Mwalimu wa Simaro Lutumba.
Mwalimu wa Wuya Mayi.
Mwalimu wa Verckys Kiambukuta.
Mwalimu wa Mpongo Love.

Kweli udongo ni tajiri.

CHIVUNDU
Nasikia hawa wasanii wa kikongo wanaksumba ya kujitoa kafara ni kweli au uzushi
 
Back
Top Bottom