LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
NakaziaKweli nimeamini humjui vzr huyu mwanamuziki ,hat nyimbo yake moja maharufu ujaiwekaa ya 'mamou, naona umeiokoteza tu hi hbr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaKweli nimeamini humjui vzr huyu mwanamuziki ,hat nyimbo yake moja maharufu ujaiwekaa ya 'mamou, naona umeiokoteza tu hi hbr
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], popoma ni hodari sana wa kureport wenzake, kumbe ye ndo namba moja kwenye matusiUzi wa popoma bila matusi ni makamasi
Sijui ni kweli au dingi alinipanga eti "Huyu gwiji alikufa kwa ngoma alafu wakati anaugua UKIMWI alisingizia wachawi wamemroga...aliwahi watukana kwenye ngoma yake ya KIMPA KISA..."Franco Luambo Makiadi A.K.A Le Grand Mitre (Mwalimu Mkuu) atakumbukwa kwa mengi ila makubwa ni haya yafuatayo;
1. Utunzi makini.
2. Upangiliaji wa nyimbo.
3. Upigaji bora wa solo gitaa.
4. Uibuaji wa vipaji vya muziki.
5. Nidhamu kwa wanamuziki.
6. Sebene la muda mrefu.
7. Kuchomekea majina katika nyimbo.
Sifa yake nyingine binafsi alikuwa ni mtu wa kupenda sana kula ugali, kisamvu, samaki na pilipili nyingi.
Marehemu Franco ndiyo icon ya muziki wa Congo DR (zamani Zaire) na ndiyo maana mpaka leo 99% ya wanamuziki wakubwa na maarufu wa huko huenda kuhiji katika kaburi lake ili kupata baraka zaidi kimuziki kama Jean Bedele Tshituka Mpiana (JB Mpiana) A.K.A Bin Adam A.K.A Souverain Premiere A.K.A Moto Pamba A.K.A Mareshale Mukulu A.K.A Papa Cherie A.K.A Lonkia Milo Dan Kokoo A.K.A Sulutane A.K.A Mukulu ya Bamukulu na A.K.A De La Patria.
R.I.P Fundi Franco Luambo Makiadi.
100% Sure.Sijui ni kweli au dingi alinipanga eti "Huyu gwiji alikufa kwa ngoma alafu wakati anaugua UKIMWI alisingizia wachawi wamemroga...aliwahi watukana kwenye ngoma yake ya KIMPA KISA..."